Mambo yanayoendelea Bar ya Savoy, sio tamaduni zetu

Mambo yanayoendelea Bar ya Savoy, sio tamaduni zetu

Umelalamika sana lakini hujaeleza kwa kina ni vitu gani hasa vinavyoendelea hapo ambavyo ni kinyume na utamaduni wetu.
Utamaduni wetu upi mana kwa sasa hatunanutamaduni bali tunatembelea lingi la waarabu na wazungu.

Tamaduni zetu kuvaa nusu uchi ilikua poa tu.
 
View attachment 3143263
Wakuu, habari za mihangaiko
Aisee Kwa wenyeji wa Buza bila shaka mnaelewa Hili.
Hii bar inaitwa New Savoy Iko Buza kanisani, Shughuli zinazoendelea hapa zimevuka utamaduni wetu, Sawa Kila mtu ana uhuru lakini kweli ndio hivi? Ifikapo saa 2 jioni hii njia unaogopa hata kupitia, ni mwendo WA kutembea uchi tu. Yaani kuanzia hii mida ni kama wanawake ndo mida ya kuanza biashara zao, aisee hii sio sawa,​

ukizingatia Bar hii Iko njiani, yaani barabarani kabisa, Sasa kama ni Bar aisee shughuli zote si ziendelee ndani???
Kwanini hayo mazingira yageuzwe dangulo??? .

Naamini Kwa wenyeji wa maeneo hayo wananielewa vizuri.
Naamini kupitia uzi huu wamepata wateja wapya
 
View attachment 3143263
Wakuu, habari za mihangaiko
Aisee Kwa wenyeji wa Buza bila shaka mnaelewa Hili.
Hii bar inaitwa New Savoy Iko Buza kanisani, Shughuli zinazoendelea hapa zimevuka utamaduni wetu, Sawa Kila mtu ana uhuru lakini kweli ndio hivi? Ifikapo saa 2 jioni hii njia unaogopa hata kupitia, ni mwendo WA kutembea uchi tu. Yaani kuanzia hii mida ni kama wanawake ndo mida ya kuanza biashara zao, aisee hii sio sawa,​

ukizingatia Bar hii Iko njiani, yaani barabarani kabisa, Sasa kama ni Bar aisee shughuli zote si ziendelee ndani???
Kwanini hayo mazingira yageuzwe dangulo??? .

Naamini Kwa wenyeji wa maeneo hayo wananielewa vizuri.
Sasa ukimkuta binti ameachia hadi vuzi nje utavumilia kweli mkuu?
Kuwa imara hivyo ni viungo tu.
Ukionana na vile viumbe...uambie moyo wako...chui yuleeee😄
 
View attachment 3143263
Wakuu, habari za mihangaiko
Aisee Kwa wenyeji wa Buza bila shaka mnaelewa Hili.
Hii bar inaitwa New Savoy Iko Buza kanisani, Shughuli zinazoendelea hapa zimevuka utamaduni wetu, Sawa Kila mtu ana uhuru lakini kweli ndio hivi? Ifikapo saa 2 jioni hii njia unaogopa hata kupitia, ni mwendo WA kutembea uchi tu. Yaani kuanzia hii mida ni kama wanawake ndo mida ya kuanza biashara zao, aisee hii sio sawa,​

ukizingatia Bar hii Iko njiani, yaani barabarani kabisa, Sasa kama ni Bar aisee shughuli zote si ziendelee ndani???
Kwanini hayo mazingira yageuzwe dangulo??? .

Naamini Kwa wenyeji wa maeneo hayo wananielewa vizuri.
Utamaduni wetu ni upi na ulianza lini ?
Tumie neno sio ustaarabu wa dini. Angalia wazuru wahimba, wamasai nk wanavyovaa
ndio utamaduni wa watu weusi. Huo mwingine ni utamaduni wa wageni waarabu na wazungu. Kutembea uchi nao ni tamaduni ilioigwa kwa wazungu kama ilivyoigwa kuvaa mavazi marefu.
Utandawazi utaleta kila jambo ksma ukoloni ulivyoleta.
Ni mtizamo wangu sio sheria mkuu.
 
Utamaduni wetu upi mana kwa sasa hatunanutamaduni bali tunatembelea lingi la waarabu na wazungu.

Tamaduni zetu kuvaa nusu uchi ilikua poa tu.
Imebaki kwa wacheza ngoma za asili. Na kila mtu huvutiwa kuziangalia. Wakoloni jau sana.
 
Back
Top Bottom