M.Rutabo
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 1,031
- 2,647
We jamaa ukwenda shule kusoma ujinga.Hapo nje wanapotembea, nani anapamiliki? Au mwenye bar kauziwa hadi njia ya waenda kwa miguu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa ukwenda shule kusoma ujinga.Hapo nje wanapotembea, nani anapamiliki? Au mwenye bar kauziwa hadi njia ya waenda kwa miguu?
Lipia tangazo.View attachment 3143263
Wakuu, habari za mihangaiko
Aisee Kwa wenyeji wa Buza bila shaka mnaelewa Hili.
Hii bar inaitwa New Savoy Iko Buza kanisani, Shughuli zinazoendelea hapa zimevuka utamaduni wetu, Sawa Kila mtu ana uhuru lakini kweli ndio hivi? Ifikapo saa 2 jioni hii njia unaogopa hata kupitia, ni mwendo WA kutembea uchi tu. Yaani kuanzia hii mida ni kama wanawake ndo mida ya kuanza biashara zao, aisee hii sio sawa,
ukizingatia Bar hii Iko njiani, yaani barabarani kabisa, Sasa kama ni Bar aisee shughuli zote si ziendelee ndani???
Kwanini hayo mazingira yageuzwe dangulo??? .
Naamini Kwa wenyeji wa maeneo hayo wananielewa vizuri.
Hatari sana mkuu.Huko mjini Telegram kwa mujibu wa matangazo yao wauza 'nyama laini' wengi location yao ni Mbagala hasa Chamanzi au Temeke Buza.
Sehemu ya ovyo tu...hapo wanakwenda watu wa ovyoaisee starehe ina tafsiri kubwa. Nilikuwa sijawahi kupita kitambaa cheupe tbt jana nimepita nikaiona sikuamini macho yangu kama pale ndipo kitambaa cheupe maana kwa jinsi nilivyokuwa naisikia nilidhani sehemu moja matata sana kumbe ni kama banda fulani la ng'ombe.
😄Lipia tangazo.
Hapo umechochea zaidi watu wazidi kumiminika hapo
Mkuu kwanza pole ila pia nichukue fursa hii kumshukuru Mungu wa mbinguni kwa kuzidi kukuweka salama.Ebu weka picha ya huo uchi mtupu kwanza, tusije tukaanza kufoka kumbe nikama huku Sinza tu...🤨
Kawachongea Mkuu wa mkoa 'Challa Miller' atatimba hapo na makamera kukamata dada wauza na wateja wao au kuifungia Savoy.Lipia tangazo.
Hapo umechochea zaidi watu wazidi kumiminika hapo
California kuna kila aina ya starehe hasa za umalaya.Kwanini mkuu?
Hapo kama KWA MACHENI enzi hizo jina kubwa sehemu yenyewe mfano wa ubanda wa mama muuza chingiri.aisee starehe ina tafsiri kubwa. Nilikuwa sijawahi kupita kitambaa cheupe tbt jana nimepita nikaiona sikuamini macho yangu kama pale ndipo kitambaa cheupe maana kwa jinsi nilivyokuwa naisikia nilidhani sehemu moja matata sana kumbe ni kama banda fulani la ng'ombe.
Kingozi unaendeleajeEbu weka picha ya huo uchi mtupu kwanza, tusije tukaanza kufoka kumbe nikama huku Sinza tu...🤨
Kwa hiyo huko hakuna viongozi mpaka taarifa hiyo ije kusomwa JF?Kawachongea Mkuu wa mkoa 'Challa Miller' atatimba hapo na makamera kukamata dada wauza na wateja wao au kuifungia Savoy.
Asante sana mkuu, Mungu amekua mwema sana upande wetu na utukufu wake kwetu umekua mkuu sana.Mkuu kwanza pole ila pia nichukue fursa hii kumshukuru Mungu wa mbinguni kwa kuzidi kukuweka salama.
Nazidi kuimarika sanaKingozi unaendeleaje