Mambo yanayoendelea Bar ya Savoy, sio tamaduni zetu

Mambo yanayoendelea Bar ya Savoy, sio tamaduni zetu

View attachment 3143263
Wakuu, habari za mihangaiko
Aisee Kwa wenyeji wa Buza bila shaka mnaelewa Hili.
Hii bar inaitwa New Savoy Iko Buza kanisani, Shughuli zinazoendelea hapa zimevuka utamaduni wetu, Sawa Kila mtu ana uhuru lakini kweli ndio hivi? Ifikapo saa 2 jioni hii njia unaogopa hata kupitia, ni mwendo WA kutembea uchi tu. Yaani kuanzia hii mida ni kama wanawake ndo mida ya kuanza biashara zao, aisee hii sio sawa,​

ukizingatia Bar hii Iko njiani, yaani barabarani kabisa, Sasa kama ni Bar aisee shughuli zote si ziendelee ndani???
Kwanini hayo mazingira yageuzwe dangulo??? .

Naamini Kwa wenyeji wa maeneo hayo wananielewa vizuri.
Kwanza, wewe ulienda kufuata nini huko kama sio mteja wao
Pili, umesema ifikapo saa 2 jioni unaogopa kupita ni mwendo wa kutembea uchi. Kwani mtu akitembea uchi anakuzuiaje wewe kupita? Kwani anakuwa amekufunga miguu yako?
Tatu umesema hii mida wanawake huanza biashara zao. Hujasema biashara zipi?
 
View attachment 3143263
Wakuu, habari za mihangaiko
Aisee Kwa wenyeji wa Buza bila shaka mnaelewa Hili.
Hii bar inaitwa New Savoy Iko Buza kanisani, Shughuli zinazoendelea hapa zimevuka utamaduni wetu, Sawa Kila mtu ana uhuru lakini kweli ndio hivi? Ifikapo saa 2 jioni hii njia unaogopa hata kupitia, ni mwendo WA kutembea uchi tu. Yaani kuanzia hii mida ni kama wanawake ndo mida ya kuanza biashara zao, aisee hii sio sawa,​

ukizingatia Bar hii Iko njiani, yaani barabarani kabisa, Sasa kama ni Bar aisee shughuli zote si ziendelee ndani???
Kwanini hayo mazingira yageuzwe dangulo??? .

Naamini Kwa wenyeji wa maeneo hayo wananielewa vizuri.
hata wasio wenyeji wata kuelewa kwa kufika.
Umempa nguvu Shetani kwa kua umechangia kwa kiasi flan kutangaza biashara yake.
 
Kwanza, wewe ulienda kufuata nini huko kama sio mteja wao
Pili, umesema ifikapo saa 2 jioni unaogopa kupita ni mwendo wa kutembea uchi. Kwani mtu akitembea uchi anakuzuiaje wewe kupita? Kwani anakuwa amekufunga miguu yako?
Tatu umesema hii mida wanawake huanza biashara zao. Hujasema biashara zipi?
Mkipewa uhuru WA kuongea mnaongea upuuzi mfyuuuu
 
Kauka wewe kaza koromeo hio nyambafu
View attachment 3143263
Wakuu, habari za mihangaiko
Aisee Kwa wenyeji wa Buza bila shaka mnaelewa Hili.
Hii bar inaitwa New Savoy Iko Buza kanisani, Shughuli zinazoendelea hapa zimevuka utamaduni wetu, Sawa Kila mtu ana uhuru lakini kweli ndio hivi? Ifikapo saa 2 jioni hii njia unaogopa hata kupitia, ni mwendo WA kutembea uchi tu. Yaani kuanzia hii mida ni kama wanawake ndo mida ya kuanza biashara zao, aisee hii sio sawa,​

ukizingatia Bar hii Iko njiani, yaani barabarani kabisa, Sasa kama ni Bar aisee shughuli zote si ziendelee ndani???
Kwanini hayo mazingira yageuzwe dangulo??? .

Naamini Kwa wenyeji wa maeneo hayo wananielewa vizuri.
 
Back
Top Bottom