Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Achana na biashara za watu tafuta hela zako, mwanaume unakuwa kama binti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuzoeee tuHizo biashara zipo toka enzi za Tamari na Rahab
Kwanini mkuu?Temeke, Tandika, Buza, Mbagala ni California ya Bongo.
Vitoto vya huko vimechangamka haswaMaeneo ya huko yana vibe sana sijui kwanini ?
Kwa sisi matomaso lazima tukajioneeIli tangazo limekaaa kimkakati sana
Kwanza, wewe ulienda kufuata nini huko kama sio mteja waoView attachment 3143263
Wakuu, habari za mihangaiko
Aisee Kwa wenyeji wa Buza bila shaka mnaelewa Hili.
Hii bar inaitwa New Savoy Iko Buza kanisani, Shughuli zinazoendelea hapa zimevuka utamaduni wetu, Sawa Kila mtu ana uhuru lakini kweli ndio hivi? Ifikapo saa 2 jioni hii njia unaogopa hata kupitia, ni mwendo WA kutembea uchi tu. Yaani kuanzia hii mida ni kama wanawake ndo mida ya kuanza biashara zao, aisee hii sio sawa,
ukizingatia Bar hii Iko njiani, yaani barabarani kabisa, Sasa kama ni Bar aisee shughuli zote si ziendelee ndani???
Kwanini hayo mazingira yageuzwe dangulo??? .
Naamini Kwa wenyeji wa maeneo hayo wananielewa vizuri.
Temeke, Tandika, Buza, Mbagala ni California ya Bongo.
Dar imebadilika... kitambo flan temeke, tandika ilikuwa ikifika saa tatu usiku hutembei ovyo ovyo, lazima ukabwe.. kwahiyo siku hizi mpaka mabinti wanazurura usiku!
Siku binti yako....akitembe uchi na kupigwa mande ndio utaelewa hili jambo ni la kitaifa na linahusu jamii yote ya tzIshi maisha Yako mzee
hata wasio wenyeji wata kuelewa kwa kufika.View attachment 3143263
Wakuu, habari za mihangaiko
Aisee Kwa wenyeji wa Buza bila shaka mnaelewa Hili.
Hii bar inaitwa New Savoy Iko Buza kanisani, Shughuli zinazoendelea hapa zimevuka utamaduni wetu, Sawa Kila mtu ana uhuru lakini kweli ndio hivi? Ifikapo saa 2 jioni hii njia unaogopa hata kupitia, ni mwendo WA kutembea uchi tu. Yaani kuanzia hii mida ni kama wanawake ndo mida ya kuanza biashara zao, aisee hii sio sawa,
ukizingatia Bar hii Iko njiani, yaani barabarani kabisa, Sasa kama ni Bar aisee shughuli zote si ziendelee ndani???
Kwanini hayo mazingira yageuzwe dangulo??? .
Naamini Kwa wenyeji wa maeneo hayo wananielewa vizuri.
Haukatazwi kuongea, ila usipende kuongea upuuzihata wasio wenyeji wata kuelewa kwa kufika.
Umempa nguvu Shetani kwa kua umechangia kwa kiasi flan kutangaza biashara yake.
Mkipewa uhuru WA kuongea mnaongea upuuzi mfyuuuuKwanza, wewe ulienda kufuata nini huko kama sio mteja wao
Pili, umesema ifikapo saa 2 jioni unaogopa kupita ni mwendo wa kutembea uchi. Kwani mtu akitembea uchi anakuzuiaje wewe kupita? Kwani anakuwa amekufunga miguu yako?
Tatu umesema hii mida wanawake huanza biashara zao. Hujasema biashara zipi?
Sawa umesikika ndugu mtangazaji
Kumbuka kuna watoto pia katika mazingira hayo kwa hiyo maadili ni muhimu.Ishi maisha
Huko mjini Telegram kwa mujibu wa matangazo yao wauza 'nyama laini' wengi location yao ni Mbagala hasa Chamanzi au Temeke Buza.Temeke, Tandika, Buza, Mbagala ni California ya Bongo.
Hivi telegram ipo mkuuHuko mjini Telegram kwaujibu wa matangazo yao wauza 'nyama laini' wengi location yao ni Mbagala hasa Chamanzi au Temeke Buza.
Na videm vyote vinatoa ndogoHuko mjini Telegram kwaujibu wa matangazo yao wauza 'nyama laini' wengi location yao ni Mbagala hasa Chamanzi au Temeke Buza.
View attachment 3143263
Wakuu, habari za mihangaiko
Aisee Kwa wenyeji wa Buza bila shaka mnaelewa Hili.
Hii bar inaitwa New Savoy Iko Buza kanisani, Shughuli zinazoendelea hapa zimevuka utamaduni wetu, Sawa Kila mtu ana uhuru lakini kweli ndio hivi? Ifikapo saa 2 jioni hii njia unaogopa hata kupitia, ni mwendo WA kutembea uchi tu. Yaani kuanzia hii mida ni kama wanawake ndo mida ya kuanza biashara zao, aisee hii sio sawa,
ukizingatia Bar hii Iko njiani, yaani barabarani kabisa, Sasa kama ni Bar aisee shughuli zote si ziendelee ndani???
Kwanini hayo mazingira yageuzwe dangulo??? .
Naamini Kwa wenyeji wa maeneo hayo wananielewa vizuri.
Utokomeze ajira asee 😂, wanaume ni kubeti wanawake ni kwa macho makuku.Chalamila si alisema anatokomeza hiyo ishu? Ni Mpuuzi sana sijui hata kama anajua maana ya kutokomeza?