Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 12,823
- 21,210
Na vinasambaza umeme.Na videm vyote vinatoa ndogo
Ova
Jamaa yetu aliunganishwa kwenye grid na videmu vya hapo hapo Savoy.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na vinasambaza umeme.Na videm vyote vinatoa ndogo
Ova
Mwezi uliopita ilikuwepo niliingia kutafuta connection ya star flani wa Bongo bahati mbaya.Hivi telegram ipo mkuu
Ova
Huyo mshkaji nae mzembe hajui kunnua fiesta za mapele zile inakuwaje anapewa bundle kizembe mno 😂Na vinasambaza umeme.
Jamaa yetu aliunganishwa kwenye grid na videmu vya hapo hapo Savoy.
Hivi pale Kona baa (sahivi vibe lounge) bado kuna Malaya ambao ni pisi Kali kama ilivokua zamani mrangiMamlaka ndiyo inapenda kuona watu wakijichanganya na mambo hayo...
Bongo sahvi watu ni kulewa,kukatika mauno miziki kwishney
Huko savoy vibinti vinatoaa tig kama hawana akili nzr....
Ova
Badala ya kuwasema wanaotembea uchi unaisema bar🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 3143263
Wakuu, habari za mihangaiko
Aisee Kwa wenyeji wa Buza bila shaka mnaelewa Hili.
Hii bar inaitwa New Savoy Iko Buza kanisani, Shughuli zinazoendelea hapa zimevuka utamaduni wetu, Sawa Kila mtu ana uhuru lakini kweli ndio hivi? Ifikapo saa 2 jioni hii njia unaogopa hata kupitia, ni mwendo WA kutembea uchi tu. Yaani kuanzia hii mida ni kama wanawake ndo mida ya kuanza biashara zao, aisee hii sio sawa,
ukizingatia Bar hii Iko njiani, yaani barabarani kabisa, Sasa kama ni Bar aisee shughuli zote si ziendelee ndani???
Kwanini hayo mazingira yageuzwe dangulo??? .
Naamini Kwa wenyeji wa maeneo hayo wananielewa vizuri.
😄 mida sana sijapita pande IleHivi pale Kona baa (sahivi vibe lounge) bado kuna Malaya ambao ni pisi Kali kama ilivokua zamani mrangi
Usitikirie Kwa kutumia miguu, kwani hao wangetoka wapi bila bar kuwepo???? Na kama bar isinge intertain Hilo unahisi wangeendelea?Badala ya kuwasema wanaotembea uchi unaisema bar🤣🤣🤣🤣🤣
aisee starehe ina tafsiri kubwa. Nilikuwa sijawahi kupita kitambaa cheupe tbt jana nimepita nikaiona sikuamini macho yangu kama pale ndipo kitambaa cheupe maana kwa jinsi nilivyokuwa naisikia nilidhani sehemu moja matata sana kumbe ni kama banda fulani la ng'ombe.View attachment 3143263
Wakuu, habari za mihangaiko
Aisee Kwa wenyeji wa Buza bila shaka mnaelewa Hili.
Hii bar inaitwa New Savoy Iko Buza kanisani, Shughuli zinazoendelea hapa zimevuka utamaduni wetu, Sawa Kila mtu ana uhuru lakini kweli ndio hivi? Ifikapo saa 2 jioni hii njia unaogopa hata kupitia, ni mwendo WA kutembea uchi tu. Yaani kuanzia hii mida ni kama wanawake ndo mida ya kuanza biashara zao, aisee hii sio sawa,
ukizingatia Bar hii Iko njiani, yaani barabarani kabisa, Sasa kama ni Bar aisee shughuli zote si ziendelee ndani???
Kwanini hayo mazingira yageuzwe dangulo??? .
Naamini Kwa wenyeji wa maeneo hayo wananielewa vizuri.
Sawa kwa miguu hii hii hauwezi kulaumu bar wakati wateja wa bar ni walevi na sio hao watu wengine. Hata wakija polisi hapo watawakamata hao watu lakini hawatafunga bar.Usitikirie Kwa kutumia miguu, kwani hao wangetoka wapi bila bar kuwepo???? Na kama bar isinge intertain Hilo unahisi wangeendelea?
Hii ndio shida ya kuongea kitu usiyofahamu? Bar unazojua wewe ndo Kuna walevi tu, hizi huku unakunywa na kujipozaSawa kwa miguu hii hii hauwezi kulaumu bar wakati wateja wa bar ni walevi na sio hao watu wengine. Hata wakija polisi hapo watawakamata hao watu lakini hawatafunga bar.
Bar nazijua hata sasa hivi niko bar.🤣🤣🤣🤣Hii ndio shida ya kuongea kitu usiyofahamu? Bar unazojua wewe ndo Kuna walevi tu, hizi huku unakunywa na kujipoza
Basi Endelea kukaza fuvuBar nazijua hata sasa hivi niko bar.🤣🤣🤣🤣
Siku mwanae wa kike akijifunza hiyo biashara akili itakaa sawaWe utakuwa mteja mzuri, nimekukwaza
UuWe utakuwa mteja mzuri, nimekukwaza aisee
Mbagala ni TexasTemeke, Tandika, Buza, Mbagala ni California ya Bongo.
Tatizo lako unalaumu bar badala ya kulaumu wanunizi wa hao wakaa uchi. Wangekosa wateja wasingeenda maeneo hayo. Bar inauza vilevi sio watu ,,🤣🤣🤣Basi Endelea kukaza fuvu