Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Ndio utamaduni kuuza nyuchi kwa Siri hata jicho halioni!Yaani wakiuza uchi kwa siri ndio itakuwa utamaduni wetu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio utamaduni kuuza nyuchi kwa Siri hata jicho halioni!Yaani wakiuza uchi kwa siri ndio itakuwa utamaduni wetu?
Wazazi wetu walikuwa wa hovyo ndio maana. Wazazi wetu wangekuwa kama Taliban vijana tusingekuwa hovyoHii nchi Ina vijana WA hovyo aisee
Ebu weka picha ya huo uchi mtupu kwanza, tusije tukaanza kufoka kumbe nikama huku Sinza tu...🤨
😂Temeke, Tandika, Buza, Mbagala ni California ya Bongo.
Ngoja nikusaidie kufikiri kidogo, hao wadada wameenda hapo kwa ajili ya kuwa pengine kuna wateja. Hii biashara ya umalaya haimhusu mwenye bar. Ndio maana nikkupa na mfano wa Dodoma ili kuonesha kuwa, saa nyingine eneo linaweza kushamiri kwa hii biashara bila idhini ya wenye eneo.Shida Yako umekurupuka, sijalaumu kanisa , ila kama unaona ni fresh, Haina noma Kila mtu ana notion tofauti
Usisahau kuzaliwa huko kila mbachao na muda wake🏡🏡🏡🏡View attachment 3143263
Wakuu, habari za mihangaiko
Aisee Kwa wenyeji wa Buza bila shaka mnaelewa Hili.
Hii bar inaitwa New Savoy Iko Buza kanisani, Shughuli zinazoendelea hapa zimevuka utamaduni wetu, Sawa Kila mtu ana uhuru lakini kweli ndio hivi? Ifikapo saa 2 jioni hii njia unaogopa hata kupitia, ni mwendo WA kutembea uchi tu. Yaani kuanzia hii mida ni kama wanawake ndo mida ya kuanza biashara zao, aisee hii sio sawa,
ukizingatia Bar hii Iko njiani, yaani barabarani kabisa, Sasa kama ni Bar aisee shughuli zote si ziendelee ndani???
Kwanini hayo mazingira yageuzwe dangulo??? .
Naamini Kwa wenyeji wa maeneo hayo wananielewa vizuri.
Sisi badooooo ni watumwa tunaboresha bar za ulayaaaaaaa magaribi🏡🏡🏡🏡🏡 unaweza panda ndege✈✈✈✈✈✈✈✈ ukawachungulie kama hizo tabia wanazoView attachment 3143263
Wakuu, habari za mihangaiko
Aisee Kwa wenyeji wa Buza bila shaka mnaelewa Hili.
Hii bar inaitwa New Savoy Iko Buza kanisani, Shughuli zinazoendelea hapa zimevuka utamaduni wetu, Sawa Kila mtu ana uhuru lakini kweli ndio hivi? Ifikapo saa 2 jioni hii njia unaogopa hata kupitia, ni mwendo WA kutembea uchi tu. Yaani kuanzia hii mida ni kama wanawake ndo mida ya kuanza biashara zao, aisee hii sio sawa,
ukizingatia Bar hii Iko njiani, yaani barabarani kabisa, Sasa kama ni Bar aisee shughuli zote si ziendelee ndani???
Kwanini hayo mazingira yageuzwe dangulo??? .
Naamini Kwa wenyeji wa maeneo hayo wananielewa vizuri.
Asante sana mkuu....Mkuu pole sana kwa ajali iliokukuta unaendeleaje Mkuu? Pole sana Mkuu na uugue pole
Sio Tabia nzuri kabisa naomba maelekezo vizuri nafikaje apo nikakemee huu ujinga koh koh koh 😋😋😋😋View attachment 3143263
Wakuu, habari za mihangaiko
Aisee Kwa wenyeji wa Buza bila shaka mnaelewa Hili.
Hii bar inaitwa New Savoy Iko Buza kanisani, Shughuli zinazoendelea hapa zimevuka utamaduni wetu, Sawa Kila mtu ana uhuru lakini kweli ndio hivi? Ifikapo saa 2 jioni hii njia unaogopa hata kupitia, ni mwendo WA kutembea uchi tu. Yaani kuanzia hii mida ni kama wanawake ndo mida ya kuanza biashara zao, aisee hii sio sawa,
ukizingatia Bar hii Iko njiani, yaani barabarani kabisa, Sasa kama ni Bar aisee shughuli zote si ziendelee ndani???
Kwanini hayo mazingira yageuzwe dangulo??? .
Naamini Kwa wenyeji wa maeneo hayo wananielewa vizuri.