Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Hata kama nikiwa mteja ila ishi maisha Yako vunga usifuatilie mambo ya watuWe utakuwa mteja mzuri, nimekukwaza aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama nikiwa mteja ila ishi maisha Yako vunga usifuatilie mambo ya watuWe utakuwa mteja mzuri, nimekukwaza aisee
Kwani kuna mtu analazimishwa kwenda kupewa azumaKiwanda cha Kuzalisha Azuma.
Asubuhi Pako fresh vizuri, ifike saa2 jioni🙌🙌Nimewahi kula mchemsho hapo wiki mbili zilizopita, labda Kwa kuwa ilikuwa ni asubuhi hivyo sikuona hayo unayosema.
Wale matomaso ndiyo muda wa kwenda kuleta ushahidi wa Picha
Ebu nyoosha maelezo mkuu kanisani kwa wapi?View attachment 3143263
Wakuu, habari za mihangaiko
Aisee Kwa wenyeji wa Buza bila shaka mnaelewa Hili.
Hii bar inaitwa New Savoy Iko Buza kanisani.
Shughuli zinazoendelea hapa zimevuka utamaduni wetu.
Sawa Kila mtu ana uhuru lakini kweli ndio hivi? Ifikapo saa 2 jioni hii njia unaogopa hata kupitia, ni mwendo WA kutembea uchi tu.
Yaani kuanzia hii mida ni kama wanawake ndo mida ya kuanza biashara zao, aisee hii sio sawa,
ukizingatia Bar hii Iko njiani, yaani barabarani kabisa, Sasa kama ni Bar aisee shughuli zote si ziendelee ndani??? Kwanini hayo mazingira yageuzwe dangulo??? .
Naamini Kwa wenyeji wa maeneo hayo wananielewa vizuri.
Chalamila si alisema anatokomeza hiyo ishu? Ni Mpuuzi sana sijui hata kama anajua maana ya kutokomeza?View attachment 3143263
Wakuu, habari za mihangaiko
Aisee Kwa wenyeji wa Buza bila shaka mnaelewa Hili.
Hii bar inaitwa New Savoy Iko Buza kanisani.
Shughuli zinazoendelea hapa zimevuka utamaduni wetu.
Sawa Kila mtu ana uhuru lakini kweli ndio hivi? Ifikapo saa 2 jioni hii njia unaogopa hata kupitia, ni mwendo WA kutembea uchi tu.
Yaani kuanzia hii mida ni kama wanawake ndo mida ya kuanza biashara zao, aisee hii sio sawa,
ukizingatia Bar hii Iko njiani, yaani barabarani kabisa, Sasa kama ni Bar aisee shughuli zote si ziendelee ndani??? Kwanini hayo mazingira yageuzwe dangulo??? .
Naamini Kwa wenyeji wa maeneo hayo wananielewa vizuri.
Buza Ina maeneo mengi, kwahiyo hiyo ni buza kanisani.Ebu nyoosha maelezo mkuu kanisani kwa wapi?
Wewe hapo ulipo umevaa Nini??? Tuanzie hapoKwani kuvaa suti,suruali,shati,gauni na kanzu ndio utamaduni wetu?
Wahenga wetu walivaa nini?Utamaduni wetu unaouzungumzia ni upi?
Hii nchi Ina vijana WA hovyo aiseeBei huko zikoje maana huku nilipo naona wanatupiga eti bao tatu laki🤣🤣🤣🤣
Binadamu tunategemeanaIngekuwa hivyo, hata wewe usingekuwa hapa
Hatari, unajua hili Jiji la DSM biashara inayotoka zaidi ni hiyo ya kujiuza.Asubuhi Pako fresh vizuri, ifike saa2 jioni🙌🙌
hata ka video clip hakuna?View attachment 3143263
Wakuu, habari za mihangaiko
Aisee Kwa wenyeji wa Buza bila shaka mnaelewa Hili.
Hii bar inaitwa New Savoy Iko Buza kanisani.
Shughuli zinazoendelea hapa zimevuka utamaduni wetu.
Sawa Kila mtu ana uhuru lakini kweli ndio hivi? Ifikapo saa 2 jioni hii njia unaogopa hata kupitia, ni mwendo WA kutembea uchi tu.
Yaani kuanzia hii mida ni kama wanawake ndo mida ya kuanza biashara zao, aisee hii sio sawa,
ukizingatia Bar hii Iko njiani, yaani barabarani kabisa, Sasa kama ni Bar aisee shughuli zote si ziendelee ndani??? Kwanini hayo mazingira yageuzwe dangulo??? .
Naamini Kwa wenyeji wa maeneo hayo wananielewa vizuri.
Hapo pembeni mtu kaweka bango"MACHO MAKUKU", sijui ndiyo ma nini hayo.View attachment 3143263
Wakuu, habari za mihangaiko
Aisee Kwa wenyeji wa Buza bila shaka mnaelewa Hili.
Hii bar inaitwa New Savoy Iko Buza kanisani.
Shughuli zinazoendelea hapa zimevuka utamaduni wetu.
Sawa Kila mtu ana uhuru lakini kweli ndio hivi? Ifikapo saa 2 jioni hii njia unaogopa hata kupitia, ni mwendo WA kutembea uchi tu.
Yaani kuanzia hii mida ni kama wanawake ndo mida ya kuanza biashara zao, aisee hii sio sawa,
ukizingatia Bar hii Iko njiani, yaani barabarani kabisa, Sasa kama ni Bar aisee shughuli zote si ziendelee ndani??? Kwanini hayo mazingira yageuzwe dangulo??? .
Naamini Kwa wenyeji wa maeneo hayo wananielewa vizuri.