Umkonto umsizwe
JF-Expert Member
- Feb 7, 2023
- 454
- 949
Nina furaha kuona uwepo wako tena jukwaaniNazidi kuimarika sana
Neema ya mungu imeonekana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina furaha kuona uwepo wako tena jukwaaniNazidi kuimarika sana
😅😅😅😅Kiwanda cha Kuzalisha Azuma.
Right.Hatari, unajua hili Jiji la DSM biashara inayotoka zaidi ni hiyo ya kujiuza.
Almost zaidi ya 65% ya Wanawake watu wazima hapo Mjini wanaishi Kwa kufanya hiyo biashara
Kwahiyo unataka mwenye baa awakamate hao watembea uchi barabarani kisha awaingize ndani ya baa yake!View attachment 3143263
Wakuu, habari za mihangaiko
Aisee Kwa wenyeji wa Buza bila shaka mnaelewa Hili.
Hii bar inaitwa New Savoy Iko Buza kanisani, Shughuli zinazoendelea hapa zimevuka utamaduni wetu, Sawa Kila mtu ana uhuru lakini kweli ndio hivi? Ifikapo saa 2 jioni hii njia unaogopa hata kupitia, ni mwendo WA kutembea uchi tu. Yaani kuanzia hii mida ni kama wanawake ndo mida ya kuanza biashara zao, aisee hii sio sawa,
ukizingatia Bar hii Iko njiani, yaani barabarani kabisa, Sasa kama ni Bar aisee shughuli zote si ziendelee ndani???
Kwanini hayo mazingira yageuzwe dangulo??? .
Naamini Kwa wenyeji wa maeneo hayo wananielewa vizuri.
The KingdomMkuu haya mambo hata wakidhibiti leo, haimalizi week itarudi kama kawaida. Huyo macho makuku kajitahidi sana, yupo na tabata segerea pale stand bar imenitoka jina.
Mwanao hupita hapo pia. Vipi naye aishi maisha yake pia?Ishi maisha Yako mzee
Inamaana wewe umewazidi akili watu wanaoishi maeneo hayo? Huo unaitwa Utalii wa ndani, hahahaaView attachment 3143263
Wakuu, habari za mihangaiko
Aisee Kwa wenyeji wa Buza bila shaka mnaelewa Hili.
Hii bar inaitwa New Savoy Iko Buza kanisani, Shughuli zinazoendelea hapa zimevuka utamaduni wetu, Sawa Kila mtu ana uhuru lakini kweli ndio hivi? Ifikapo saa 2 jioni hii njia unaogopa hata kupitia, ni mwendo WA kutembea uchi tu. Yaani kuanzia hii mida ni kama wanawake ndo mida ya kuanza biashara zao, aisee hii sio sawa,
ukizingatia Bar hii Iko njiani, yaani barabarani kabisa, Sasa kama ni Bar aisee shughuli zote si ziendelee ndani???
Kwanini hayo mazingira yageuzwe dangulo??? .
Naamini Kwa wenyeji wa maeneo hayo wananielewa vizuri.
Wengine ni makahaba ila wako maofisini, mfano yaliyotokea Equatorial GuineaNi kupoteza muda kupambana na biashara ya ukahaba. Hiyo biashara ipo kabla Nuhu hajajenga Safina. Unaambiwa mvua inaanza kunyesha watu wananyanduana kuja kushtuka lango la safina limefungwa. Makahaba na wateja wao wakawa wanamgongea Nuhu awafungulie kumbe Mungu mwenyewe alishaona Nuhu ataingia udhaifu na kuamua kufunga mwenyewe.