Mambo yanayoendelea Bar ya Savoy, sio tamaduni zetu

Mambo yanayoendelea Bar ya Savoy, sio tamaduni zetu

View attachment 3143263
Wakuu, habari za mihangaiko
Aisee Kwa wenyeji wa Buza bila shaka mnaelewa Hili.
Hii bar inaitwa New Savoy Iko Buza kanisani, Shughuli zinazoendelea hapa zimevuka utamaduni wetu, Sawa Kila mtu ana uhuru lakini kweli ndio hivi? Ifikapo saa 2 jioni hii njia unaogopa hata kupitia, ni mwendo WA kutembea uchi tu. Yaani kuanzia hii mida ni kama wanawake ndo mida ya kuanza biashara zao, aisee hii sio sawa,​

ukizingatia Bar hii Iko njiani, yaani barabarani kabisa, Sasa kama ni Bar aisee shughuli zote si ziendelee ndani???
Kwanini hayo mazingira yageuzwe dangulo??? .

Naamini Kwa wenyeji wa maeneo hayo wananielewa vizuri.
Kwahiyo unataka mwenye baa awakamate hao watembea uchi barabarani kisha awaingize ndani ya baa yake!
 
Ni bora hao wanaenda jioni. Dubai mitaa ya Deira wako 24 hrs tena wamejazana mitaani na barabarani, Iwe jua au mvua wapo tu. Na hakuna mtu anawanyanyapaa. Hii biashara ngumu kuipiga marufuku
 
Inchi inajipiga kifua kuwa wananch wameelimika kwa kutumia kinga kumbe idadi ya madangulo yameongezeka
 
View attachment 3143263
Wakuu, habari za mihangaiko
Aisee Kwa wenyeji wa Buza bila shaka mnaelewa Hili.
Hii bar inaitwa New Savoy Iko Buza kanisani, Shughuli zinazoendelea hapa zimevuka utamaduni wetu, Sawa Kila mtu ana uhuru lakini kweli ndio hivi? Ifikapo saa 2 jioni hii njia unaogopa hata kupitia, ni mwendo WA kutembea uchi tu. Yaani kuanzia hii mida ni kama wanawake ndo mida ya kuanza biashara zao, aisee hii sio sawa,​

ukizingatia Bar hii Iko njiani, yaani barabarani kabisa, Sasa kama ni Bar aisee shughuli zote si ziendelee ndani???
Kwanini hayo mazingira yageuzwe dangulo??? .

Naamini Kwa wenyeji wa maeneo hayo wananielewa vizuri.
Inamaana wewe umewazidi akili watu wanaoishi maeneo hayo? Huo unaitwa Utalii wa ndani, hahahaa
 
Ni kupoteza muda kupambana na biashara ya ukahaba. Hiyo biashara ipo kabla Nuhu hajajenga Safina. Unaambiwa mvua inaanza kunyesha watu wananyanduana kuja kushtuka lango la safina limefungwa. Makahaba na wateja wao wakawa wanamgongea Nuhu awafungulie kumbe Mungu mwenyewe alishaona Nuhu ataingia udhaifu na kuamua kufunga mwenyewe.
 
Ni kupoteza muda kupambana na biashara ya ukahaba. Hiyo biashara ipo kabla Nuhu hajajenga Safina. Unaambiwa mvua inaanza kunyesha watu wananyanduana kuja kushtuka lango la safina limefungwa. Makahaba na wateja wao wakawa wanamgongea Nuhu awafungulie kumbe Mungu mwenyewe alishaona Nuhu ataingia udhaifu na kuamua kufunga mwenyewe.
Wengine ni makahaba ila wako maofisini, mfano yaliyotokea Equatorial Guinea
 
Back
Top Bottom