jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Utamaduni wetu upi mana kwa sasa hatunanutamaduni bali tunatembelea lingi la waarabu na wazungu.Umelalamika sana lakini hujaeleza kwa kina ni vitu gani hasa vinavyoendelea hapo ambavyo ni kinyume na utamaduni wetu.
Tupe ushahid uliishia kula mchemsho tu 😂 😂 😂Nimewahi kula mchemsho hapo wiki mbili zilizopita, labda Kwa kuwa ilikuwa ni asubuhi hivyo sikuona hayo unayosema.
Wale matomaso ndiyo muda wa kwenda kuleta ushahidi wa Picha
Ndiyo Mjukuu, nilikula mchemsho tu.Tupe ushahid uliishia kula mchemsho tu 😂 😂 😂
Naamini kupitia uzi huu wamepata wateja wapyaView attachment 3143263
Wakuu, habari za mihangaiko
Aisee Kwa wenyeji wa Buza bila shaka mnaelewa Hili.
Hii bar inaitwa New Savoy Iko Buza kanisani, Shughuli zinazoendelea hapa zimevuka utamaduni wetu, Sawa Kila mtu ana uhuru lakini kweli ndio hivi? Ifikapo saa 2 jioni hii njia unaogopa hata kupitia, ni mwendo WA kutembea uchi tu. Yaani kuanzia hii mida ni kama wanawake ndo mida ya kuanza biashara zao, aisee hii sio sawa,
ukizingatia Bar hii Iko njiani, yaani barabarani kabisa, Sasa kama ni Bar aisee shughuli zote si ziendelee ndani???
Kwanini hayo mazingira yageuzwe dangulo??? .
Naamini Kwa wenyeji wa maeneo hayo wananielewa vizuri.
Sasa ukimkuta binti ameachia hadi vuzi nje utavumilia kweli mkuu?View attachment 3143263
Wakuu, habari za mihangaiko
Aisee Kwa wenyeji wa Buza bila shaka mnaelewa Hili.
Hii bar inaitwa New Savoy Iko Buza kanisani, Shughuli zinazoendelea hapa zimevuka utamaduni wetu, Sawa Kila mtu ana uhuru lakini kweli ndio hivi? Ifikapo saa 2 jioni hii njia unaogopa hata kupitia, ni mwendo WA kutembea uchi tu. Yaani kuanzia hii mida ni kama wanawake ndo mida ya kuanza biashara zao, aisee hii sio sawa,
ukizingatia Bar hii Iko njiani, yaani barabarani kabisa, Sasa kama ni Bar aisee shughuli zote si ziendelee ndani???
Kwanini hayo mazingira yageuzwe dangulo??? .
Naamini Kwa wenyeji wa maeneo hayo wananielewa vizuri.
Ukitaka umasikini udumu kwenye maisha yako endelea kulala na hao dada poaumeibua chimbo jipya tutaenda kuwasaka
Utamaduni wetu ni upi na ulianza lini ?View attachment 3143263
Wakuu, habari za mihangaiko
Aisee Kwa wenyeji wa Buza bila shaka mnaelewa Hili.
Hii bar inaitwa New Savoy Iko Buza kanisani, Shughuli zinazoendelea hapa zimevuka utamaduni wetu, Sawa Kila mtu ana uhuru lakini kweli ndio hivi? Ifikapo saa 2 jioni hii njia unaogopa hata kupitia, ni mwendo WA kutembea uchi tu. Yaani kuanzia hii mida ni kama wanawake ndo mida ya kuanza biashara zao, aisee hii sio sawa,
ukizingatia Bar hii Iko njiani, yaani barabarani kabisa, Sasa kama ni Bar aisee shughuli zote si ziendelee ndani???
Kwanini hayo mazingira yageuzwe dangulo??? .
Naamini Kwa wenyeji wa maeneo hayo wananielewa vizuri.
Wewe ndio utaongezewa type 2, 3 chronic.Unaweza dhani unamuambukiza mtu kumbe anakucheka ki moyo moyo.Wapi huko jamani sii wazee wakusambaza Ngoma tukaruke na hao lose ball
Imebaki kwa wacheza ngoma za asili. Na kila mtu huvutiwa kuziangalia. Wakoloni jau sana.Utamaduni wetu upi mana kwa sasa hatunanutamaduni bali tunatembelea lingi la waarabu na wazungu.
Tamaduni zetu kuvaa nusu uchi ilikua poa tu.
Hapo ngoma draw mwanawane madini feki noti fekiWewe ndio utaongezewa type 2, 3 chronic.Unaweza dhani unamuambukiza mtu kumbe anakucheka ki moyo moyo.