Mambo yanayonikasirisha Kanisani

Mambo yanayonikasirisha Kanisani

Nop, kuna kitu inaitwa Mtaguso, taratibu huwa zinabadirika baadhi, usiooohudhuria misa kwa muda mrefu utakereka tu na mabadliko hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaguso, sinodi na blah blah nyingine hazihitajiki kusuluhisha matatizo tajwa kwenye uzi. Kwaya ziimbe nyimbo zinazojulikana au watoe vitabu vya nyimbo kama kwenye english services, ili waumini washiriki. Matangazo yawe machache mengine kwenye ubao wa matangazo, mahubiri mafupi max 10min, ratiba zifuatwe. Hii siyo rocket science.
 
Mtaguso, sinodi na blah blah nyingine hazihitajiki kusuluhisha matatizo tajwa kwenye uzi. Kwaya ziimbe nyimbo zinazojulikana au watoe vitabu vya nyimbo kama kwenye english services, ili waumini washiriki. Matangazo yawe machache mengine kwenye ubao wa matangazo, mahubiri mafupi max 10min, ratiba zifuatwe. Hii siyo rocket science.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu kanisa Katoliki ni taasisi, haiendeshwi kwa takwa la mtu mmoja lol

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siioni bado mantiki ya muumini wa imani yoyote kukaza shingo kutaka Ibada izingatie muda!

Kiumbe binadamu Mungu amekuzawadia zawadi ya pumzi siku 6 bila kukutoza chochote na halijakupata lolote baya lakini unashindwa kukaa mahali pamoja palipoamuliwa kumuabudu na kumsifu kwa angalao masaa matano?

Wengine wanalalamika sadaka (sitazungumzia nje ya Kanisa Catholic) ila naamini utoaji na matumizi ktk Kanisa yapo wazi sana,mfano;inatangazwa mchango wa pili ni kwa ajili ya maendelo ya Kanisa,haitegemewi leo majengo ya Kanisa yamepata hitilafu ya umeme wasubiri mpaka waumini washtuliwe ktk Ibada kwamba kuna mchango wa kuchangia marekebisho ya wiring au mfumo wa maji!

Ajabu wengi wanaolalamika wana watoto wawili+ wanasomesha shule za 1.5ml per kichwa,wakiwa watatu ni 4.5mil huyu ni muumini anapiga magoti kumuomba Mungu ampe mwanae akili lakini muumini huyu huyu anashindwa kutoa sadaka 10K kwa ajili ya maendelo ya pale anapopigia magoti Mungu amsikie mwisho mtoto akifeli anaona Mungu wa Catholic hana jipya anaenda kulipa 100,000/= kumuona kuhani Musa Mbezi amuombee kwa Mungu wake,ni kutokujitambua tu!

Mimi nasema sitaona aibu au yeyote asijisikie hatia kutoa sadaka as long as nilipotoa mara ya kwanza sikufilisika na nitatoa kadiri kipato kinavyoongezeka Imani siyo kubembelezana
 
Mimi nachukia kunyimwa ekaristi takatifu kisa dhambi zangu lakini hapo hapo sadaka zangu wanazipokea au hata kunidai nisipotoa.

Mkuu samahani....ulinyimwaje ekaristi ikiwa wewe ulikuwa unaamini rohoni ni msafi?padre aliku-point kwamba Bw Zanzibar-ASP toka ktk mstari sikupi ekaristi kwa sababu hujajiandaa au?

Hapo kwa sadaka napo ilikuwaje ulifuatwa ulipokuwa ukaambiwa lazima utoe au namna gani?
 
Back
Top Bottom