Mambo yanayopeleka wengi gerezani.!

Gerezani wanahesabu usiku na mchana kama siku 2. So miaka miwili ni kama mwaka hivi
Achana na hii nadharia ni ya uongo.

Unapoadhibiwa automatically unapunguziwa 1/3 ya adhabu yako hivyo unachukua muda uliofungwa tafuta 1/3 yake ndiyo muda utakaotoka.
 
Gerezani hawahesabu usiku na mchana, mfungwa anapofungwa anatumikia 2/3 ya kifungo chake, sio Tanzania tu, Duniani kote iko hivyo, Kama umehukumiwa miaka 30, utatumikia miaka 20 tu
Siyo 1/3?
 
Kwa hio milioni moja na laki nne yako umeamua kuisamehe?
Twende tukachukue hela yetu, hio ni pesa mingi sana, tena kwa dozi uliyompa mwanzo akikuona lazima atetemeke hawezi kuleta tena ungese.
 
Na je huko ndani Kuna waliokamatwa kwa kesi za bangi na wakafungwa miaka mingapi?
 
Iko point hapa...mimi hasira na mihemuko zimenipeleka jela round 2 ila MUNGU NI MWEMA naishia mikononi mwa ustawi wa jamii
Trip za polisi post ni nyingi ajabu ila till now natafuta sehemu naweza patiwa matibabu ya kisaikolojia
 
Pole mkuu,ndo maana watu uua kabisa
 
Pole na shukrani sana kwa nasaha zako ila wengi tuna fake friends hata ndugu siyo wote ni watu.

Binafsi huwa najitahidi nisiwe fake kwa wale wanaonizunguka sijui wao wananichukuliaje ila haya maisha kama unaweza kufanya kitu kwa ajili ya mtu iwe eg; kukopesha kusaidia au vyovyote fanya siku likikukuta hajakuwa na wewe m-dump!
 
Mkubwa uoga wa kwenda gerezani umewafanya wengi kupata umaskini wa kuwatosha
Mwamba tatizo ngome ukiingia kama kupotea unapotea kweli usichukulie simple!!!

Maisha ya kubangaiza ukiona umetoboa shukuru,zipo situation kama mlijaribu mia basi jua 90 wanapotea kufa au kama hivi jela toa wale waliorogwa kutokana na mafanikio ya hiyo mipango.
 
Mimi mwaka 2015 nilikua narud home majira ya saa 8 usiku nilitoka kuchek mechi nikakatiza nje kwenye yard moja ya magari walinzi wa pale wakaniweka mtu kati wakinituhumu mm ni mwizi, lakini mm binafsi tangu nizaliwe sijawahi kuiba mali ya mtu.

Nilijitetea lakin jamaa wakaning'angania nilikuja kugundua wale walinzi waliibiwa usiku wakiwa wamelala Sasa kwakua walikua wamefanya uzembe ikabidi watege nje ya geti na wamkamate mtu yeyote atakae katiza ndo nikawa nimeangukiwa na jumba bovu, maboss wao walikuja usiku wakapiga simu polisi nikaja kuchukuliwa lakini niliwatamkia wale walinzi kuwa "hii mnayo nifanyia ni dhulma na hata mioyo yenu inatambua ukweli kuwa Mimi siyo mwizi ila mmeniangushia jumba bovu tu Mungu yupo"

Yale maneno yaliwagusa sana had wale polisi waliokuja kunichukua, kwenye gar wakanihoji nikwasimulia jinsi nilivyotengenezewa mazingira wakaelewa lakin wakaniambia dogo sis tupo kazin ila usijali ukweli utabainika nikatupwa lockup kesho yake mahakamani

Nilikaa mahabusu gerezani wiki mbili mwsho wa siku nilikuja kugundulika sina hatia nikaachiwa nikasema yote kheri siyo kila anaeenda jela ana hatia.
 
Kwahiyo alipojaa mtegoni ulimkisi ma K ya kutosha
 
Gerezani wanahesabu usiku na mchana kama siku 2. So miaka miwili ni kama mwaka hivi
Hawahesabu usiku na mchana bali Jeshi la Magereza limepewa mamlaka ya kupunguza 1/3 ya kifungo kwa kila mfungwa mwenye namba zinazohesabika,,hapa namaanisha kwamba wafungwa wa maisha na kunyongwa punguzo hilo haliwahusu!!! Hivyo dhana kwamba wanahesabu usiku na mchana siyo kweli!!! Kwamfano mtu aliyehukumiwa miaka 10 ikiondolewa 1/3 ya kifungo hicho inabaki kama miaka 7
 
Pole sana,kwavile ulifugwa kwa hasira zako na siyo kwa kuonewa naona sasa umejifunza,kisasi kizuri ni kutumia uchawi maana hakuna kesi wala ushaidi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama kweli aisee ,umeongea kitu fulan nahisi nimejifunza kitu
 
Pole sana mwamba, hii dunia tu dah
 
Pole sana mwamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…