Mambo yanayosababisha wanaume tuliooa tuwachoke haraka wake zetu

Sawa Mkuu Mungu atusaidie
 
Hata najua, nimewakula Sana hawana mambo.
.
Ila kabla haujamla anavyo-twerk na makogo Sasa.
.
Kumbe hakuna Kitu Chochote
.
Wanatutesa na Rangi Yao Asa Sisi Wapenda Rangi ya Mtume
[emoji23][emoji23][emoji23], Kumbe ni uzuri wa nje tu.Kweli uzuri wa mkakasi ndani kipande Cha mtu.
 
Sasa Demu mnene kama yule Welu Sengo(sorry kama nimemis jina lake) wa Nini Yule, Manzi Mnene kama Ng'ombe aina ya Bull
Kwa hiyo kosa lake ni kuwa mnene??, Kwani wakati unamtafuta hukuona kwamba ni mnene?.Hapo unafeli Mkuu.
 
hivi baadhi ya shughuli mkizifanya mnakatikaga mikono

si umsaidie au mnafikiri kuoa mnaoaga housgirl
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…