Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Hata najua, nimewakula Sana hawana mambo.Hawachezwi kwenye unyago??.
Sawa Mkuu Mungu atusaidieManeno yaliyobeba hisia za ugomvi yanakera sana, Wewe Mshukuru MUNGU kwa kukupa mke asiyemkorofi, yaani unakuta mwanamke anamfokea mume wake utadhani anaongea na kinyangalikwa fulani,au km vile Askari Magereza anamfokea mfungwa, halafu wewe Unasema kawaida?!!.Kuna Wanaume wanadhoofika kiafya kwasababu ya kero ya maneno kutoka kwa wake zao.
Amina [emoji120][emoji120][emoji1666][emoji1666][emoji1666]Sawa Mkuu Mungu atusaidie
[emoji23][emoji23][emoji23], Kumbe ni uzuri wa nje tu.Kweli uzuri wa mkakasi ndani kipande Cha mtu.Hata najua, nimewakula Sana hawana mambo.
.
Ila kabla haujamla anavyo-twerk na makogo Sasa.
.
Kumbe hakuna Kitu Chochote
.
Wanatutesa na Rangi Yao Asa Sisi Wapenda Rangi ya Mtume
Si nakutana nao Sana Dom Mzee Wangu, Muulize nyboma Kawalamba Sana mdg Wangu huyu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23], Kumbe ni uzuri wa nje tu.Kweli uzuri wa mkakasi ndani kipande Cha mtu.
Hivi Dom ipi hiyo nimekaa hapa mwezi wa Saba sasa sijaona hao wanawake wazuri.Si nakutana nao Sana Dom Mzee Wangu, Muulize nyboma Kawalamba Sana mdg Wangu huyu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Endelea KukaaHivi Dom ipi hiyo nimekaa hapa mwezi wa Saba sasa sijaona hao wanawake wazuri.
Dini ipi hii ya wazingu na waarabu,fata imani ya mababu zako zinaruhusu.Dini hairuhusu.
Kha!kha!,We jamaa wengine kwetu tuna miiko yetu ukiacha ishu za kidini.Dini ipi hii ya wazingu na waarabu,fata imani ya mababu zako zinaruhusu.
Ndio hivyo bibie,km lipo linalokuhusu basi lifanyie kazi.Kumekucha na makucha yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Dah!! Majibu mengine bhana.Endelea Kukaa
SiweziJiruhusu kimtindo.
Sasa Demu mnene kama yule Welu Sengo(sorry kama nimemis jina lake) wa Nini Yule, Manzi Mnene kama Ng'ombe aina ya BullNdio hivyo bibie,km lipo linalokuhusu basi lifanyie kazi.
Kwa hiyo kosa lake ni kuwa mnene??, Kwani wakati unamtafuta hukuona kwamba ni mnene?.Hapo unafeli Mkuu.Sasa Demu mnene kama yule Welu Sengo(sorry kama nimemis jina lake) wa Nini Yule, Manzi Mnene kama Ng'ombe aina ya Bull
Mkuu sijawahi kuwa na Demu mneneKwa hiyo kosa lake ni kuwa mnene??, Kwani wakati unamtafuta hukuona kwamba ni mnene?.Hapo unafeli Mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu sijawahi kuwa na Demu mnene
.
Tofautisha kati ya Demu mnene na Demu mwenye Tako
Sawa,lkn Kumbuka jinsi Wanaume tunavyohaso.hivi baadhi ya shughuli mkizifanya mnakatikaga mikono
si umsaidie au mnafikiri kuoa mnaoaga housgirl