Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
- Thread starter
- #121
Pole sana Mkuu,vipi upo nae kwa muda gani??Namba 3, 4 na 6, ipo siku nitapga mtu chini, nikaanze maisha mapya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana Mkuu,vipi upo nae kwa muda gani??Namba 3, 4 na 6, ipo siku nitapga mtu chini, nikaanze maisha mapya.
Swali la msingi Sana!? Kaona wapi!? Wake za kina Nani!?
Anadhania mkewe wengine wanamuonaje!?
Jamaa wenyewe ndo wanasemaKwamba uliwaona wake wa ndugu zako kwamba ni wavivu kitandani na wananuka uchi?
Utamu au ladha ya aina fulani ya Mwanamke ipo kwa Mwanaume mwenyewe.Wanawake wanene watamu wakiwa kwenye mood.
Hivi vimbaumbau hivi, viiteni tu flat screen lkn vina Mambo makubwa Sana.
Asilimia kubwa ya wanaume Wana admire wanawake wenye matackle makubwa. Wote Hawa hawawezi kua wrong. Kuna kitu wamekiona kwa wenye tackle.Utamu au ladha ya aina fulani ya Mwanamke ipo kwa Mwanaume mwenyewe.
Ishu hapo ni wanene Vs Wembamba,Matako makubwa anaweza kuwanayo mwembamba au mnene.Asilimia kubwa ya wanaume Wana admire wanawake wenye matackle makubwa. Wote Hawa hawawezi kua wrong. Kuna kitu wamekiona kwa wenye tackle.
Mke mwanamke niliemuacha alikuwa na hizo tabia yaani uchoyo na ubinafsi ni balaa kila nikinunua nyama basi itaishia jikoni.UCHOYO NA UBINAFSI: Kuna Wanawake ambao ni wachoyo na wabinafsi, yaani hataki wageni wa aina yeyote ile,hataki ndugu wa upande wa Mwanaume wafike nyumbani, labda ndugu zake tu ndio anaotaka wafike,hii si sawa, Acheni hizo.Wapo Wanawake wengine ambao hudiriki hata kuficha pesa inayopatikana ktk biashara na mume wake na kisha kuituma kwao kisiri Siri.
Pole sana Chifu, aisee Mwanamke akiwa mchoyo ni balaa juu ya balaa.Mke mwanamke niliemuacha alikuwa na hizo tabia yaani uchoyo na ubinafsi ni balaa kila nikinunua nyama basi itaishia jikoni.
Kama unanunua nusu ulitegemea nini?Mke mwanamke niliemuacha alikuwa na hizo tabia yaani uchoyo na ubinafsi ni balaa kila nikinunua nyama basi itaishia jikoni.
Miaka 6 mkuu!Pole sana Mkuu,vipi upo nae kwa muda gani??
Umejitahidi kuishi nae kwa muda wa kutosha.Pole.Miaka 6 mkuu!
Aliyezoea uchoyo hawezi kubadilika hata km atanunua nyingi,ukiondoka home akiiuza ili ajipatie pesa kwa matumizi yake utajuaje??,Lkn pia uwezo tunatofautiana.Kama unanunua nusu ulitegemea nini?
Nunua nyama kilo kumi tumbukiza my freezer uone Kama zitaishia jikoni.
Asante, ila soon nampga chini, nasepa zangu natafta pisi moja kali navuta, maisha yanaendeleaUmejitahidi kuishi nae kwa muda wa kutosha.Pole.
Ila Mademu wa Singida, Manyara, Babati ni Wazuri wa Sura Tu Ila Ni Vimeo Sana Kitandani.
.
Wavivu Kupitiliza, Akilala Kalala Tu [emoji21][emoji21][emoji21]
Hivi Dom ipi hiyo nimekaa hapa mwezi wa Saba sasa sijaona hao wanawake wazuri.
Mke mwanamke niliemuacha alikuwa na hizo tabia yaani uchoyo na ubinafsi ni balaa kila nikinunua nyama basi itaishia jikoni.
Kama wanatoa siri za wake zao waambie Chinga one wa JF kasema "NYINYI NI MAFAL.A"Jamaa wenyewe ndo wanasema
Hawajui ni mwendo wa Kulala ww unakujua juu yake Tu.Pia inasemekana huwa ni vya wote eti hawajuagi kukataa !