witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kwamba zinanukiaaa, mbona kule chini tukiwa tunafanya michakato yetu tunaona fresh tu ingawa huwezi sema hakuna harufu...Nasisi tunavumilia jamani msituonee tu....mnanuka mbupu hatareee
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Super
[emoji28] unajihamii.Imekutouch hiyo!! Kwa hiyo na mume wako yeye mmejuana mkiwa na meno 16[emoji1787][emoji1787].Hapo namba tatu kwenye kuchukia ndugu wa mume sina hakika sana kama ni kweli huwa tunawachukia. Binafsi siwachukii ila huwa sina story nao. Anaweza kuja kwangu nikawa sina story nyingi nae kwasababu amanijua kupitia ndugu yake.(mume wangu).Hii inakua tofauti kidogo na ndugu zangu ambao tunaweza share story nyingi sana kwasababu tumetoka sehemu moja.
Mi nadhani kule kutowachangamkia sana kunawafanya muone hatuwapendi. Ndugu yangu ntakua na mengi sana ya kumwambia tunajuana toka utotoni kuliko wifi tulojuana nikiwa na meno thelathini na mbili. Ni mtazamo wangu huo.
Kama WA kwako hatoi Hela siyo wote.Kama WA kwako hasaidii kitu siyo wotee.Sababu nyiiingi utadhani mko perfect
Na utadhani kuna kitu mnasaidia nyumbani
Bora ht watoa hela ..muishi maisha marefu wengine ni [emoji706][emoji706]
Ongeza Kilimanjaro kasoro upareniIla Mademu wa Singida, Manyara, Babati ni Wazuri wa Sura Tu Ila Ni Vimeo Sana Kitandani.
.
Wavivu Kupitiliza, Akilala Kalala Tu [emoji21][emoji21][emoji21]
Wanawake wanene watamu wakiwa kwenye mood.Kwa hiyo kosa lake ni kuwa mnene??, Kwani wakati unamtafuta hukuona kwamba ni mnene?.Hapo unafeli Mkuu.
Hapo namba tatu kwenye kuchukia ndugu wa mume sina hakika sana kama ni kweli huwa tunawachukia. Binafsi siwachukii ila huwa sina story nao. Anaweza kuja kwangu nikawa sina story nyingi nae kwasababu amanijua kupitia ndugu yake.(mume wangu).Hii inakua tofauti kidogo na ndugu zangu ambao tunaweza share story nyingi sana kwasababu tumetoka sehemu moja.
Mi nadhani kule kutowachangamkia sana kunawafanya muone hatuwapendi. Ndugu yangu ntakua na mengi sana ya kumwambia tunajuana toka utotoni kuliko wifi tulojuana nikiwa na meno thelathini na mbili. Ni mtazamo wangu huo.
Haki Whity unavituko 🤣🤣🤣🤣Nasisi tunavumilia jamani msituonee tu....mnanuka mbupu hatareee
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Wee sio wote...mi nna kinyaa hataree
Sijawahi kufanya huo utopolo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Heee unalazimisha sasa?Hakunaga mwanamke asie kula koni huo ni uongo, wanawake wote akishalishika rungu tu kinachofata ni kulipeleka mdomoni bila hata ya kuambiwa
Kwamba uliwaona wake wa ndugu zako kwamba ni wavivu kitandani na wananuka uchi?Mke wangu anajitahidi sana, siwezi kumsema vibaya.Lkn ninachokiona kwa wake wa ndugu zangu na rafiki zangu baadhi Inasikitisha sana,ndio maana nikaamua kuweka hapa.
Heee unalazimisha sasa?
Wewe umepitia wanawake wote duniani ukajua wanalamba Koni?[emoji849]
Mimi sifanyagi huo umavi sasa, kama huamini acha
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Swali la msingi Sana!? Kaona wapi!? Wake za kina Nani!?Kwamba uliwaona wake wa ndugu zako kwamba ni wavivu kitandani na wananuka uchi?