Mambo yanayosababisha wanaume tuliooa tuwachoke haraka wake zetu

Mambo yanayosababisha wanaume tuliooa tuwachoke haraka wake zetu

4.UCHOYO NA UBINAFSI; Kuna Wanawake ambao ni wachoyo na wabinafsi, yaani hataki wageni wa aina yeyote ile,hataki ndugu wa upande wa Mwanaume wafike nyumbani, labda ndugu zake tu ndio anaotaka wafike,hii si sawa, Acheni hizo.Wapo Wanawake wengine ambao hudiriki hata kuficha pesa inayopatikana ktk biashara na mume wake na kisha kuituma kwao kisiri Siri
hapa umelenga yaani mwanamke wa kibongo chake chake chako chetu. Utakuta yeye ana kipato hata kama ni kidogo lakini hawezi sema siku moja moja amnunulie mumewe vocha au soksi wanashindwa wao kupiga hesabu kipato cha mumewe tu
 
hapa umelenga yaani mwanamke wa kibongo chake chake chako chetu. Utakuta yeye ana kipato hata kama ni kidogo lakini hawezi sema siku moja moja amnunulie mumewe vocha au soksi wanashindwa wao kupiga hesabu kipato cha mumewe tu
Yaani shida sana, sijui Wanawake wanatuchukuliaje sisi Wanaume.
 
Nimegundua mapenzi hasa ndoa inapitia changamoto nyingi sana zingine za kujitakia na zingine si zakujitakia, uchawi, jini mahaba, michepuko, majirani, makundi na kila uchafu upo kwa akili ya kuharibu ndoa za watu.
 
Especially mawifi. Sijawahi kuona anaye wasema mawifi vizuri. Ila ukipigiwa simu na dada yako ukamuambia msalimie wifi yako utamuona kujichekesha kinafiki na kusema MY WIII, ZA HUKO?
Nadhani wanafundishwa hili kwenye kitchen party.
Aiseee Acha tu, yaani mawifi zao wanakuwa km paka na panya.
 
Hongera Sana Mkuu,mshike sana huyo, maana ni Wanaume wachache wenye bahati hiyo.
Asante sana mkuu ila talkative ni sifa ya mwanamke wmbayo naturally anayo.

Lazima aongee tuu,lazima lazima lazima.

Nikirudi home napewa stori kibao hapo mimi nikuskiliza tuu na kutia vineno kama vile enhee,duuh,hatari,heeh,kazinguaaa....

🤣🤣🤣🤣
 
Asante sana mkuu ila talkative ni sifa ya mwanamke wmbayo naturally anayo.

Lazima aongee tuu,lazima lazima lazima.

Nikirudi home napewa stori kibao hapo mimi nikuskiliza tuu na kutia vineno kama vile enhee,duuh,hatari,heeh,kazinguaaa....

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hayo mambo ya stori sio shida.Mimi hapo nazungumzia vimaneno vyenye ugomvi ndani yake, Matharani nilikupigia simu Kwanini hukupokea?, ulikuwa unaongea na Malaya wako,mara oh! Wewe hunipendi, sijui una dharau,nk.Hapo ataongea usiku kucha hadi kero hayo ndio maneno ninayozungumzia.Au umechelewa kidogo kurudi basi atapiga kelele Mwanzo Mwisho,na ukisema hujisikii kula ndo kabisa.Asikuone umesimama na mwanamke mnaongea,hata km mnasalimia tu inakuwa ni kero.
 
Hayo mambo ya stori sio shida.Mimi hapo nazungumzia vimaneno vyenye ugomvi ndani yake, Matharani nilikupigia simu Kwanini hukupokea?, ulikuwa unaongea na Malaya wako,mara oh! Wewe hunipendi, sijui una dharau,nk.Hapo ataongea usiku kucha hadi kero hayo ndio maneno ninayozungumzia.Au umechelewa kidogo kurudi basi atapiga kelele Mwanzo Mwisho,na ukisema hujisikii kula ndo kabisa.Asikuone umesimama na mwanamke mnaongea,hata km mnasalimia tu inakuwa ni kero.
Mkuu hayo karibia kwa wanawake wote wanazo hhizo.

Mbona hupokei simu ndio complain zao wakati huo sisi wanaume tukipiga simu kama hazipokelewi wala hatumind..

Sijui hunipendi ndo complain zao wakati huo hakuna siku wanaume tulilalamika kwamba wao hawatupendi.

Kusolve hilo jaribu kumuambia nakupenda kila unapoongea nae kwa siku utakuta hizo complain za kuwa hunipendi zinaondoka.

Ila kiukweli wanaume kurejearejea neno nakupenda sio asili yetu,ni neno ambalo halina thamani katika ulimi wa mwwnaume,lwkini linw thamani katika sikio la mwanamke.

Sijui umechelewa kurudi hiso ndio complwin zao kubwaaa wanawake wengi wanataka urudi ukae ndani tu wakati ukikaa nao kuna vitu watakukera tu.

Kuna kiipindi wakati nipo unguja kuna jamaa alikuwa anasema " aaah kama sinw kazi sikai nyumbani maana kitu kidogo utagombana na mkeo"

Na kweli ukikaa nyumbani ukiwa free mara atakutuma,wewe utakataa na yeye atanuna😄😄😄😄.

Ndoa ni ngumu kwa sababu ya vitu vidogovidogo ambavyo ni ngumu kuacha kwa vitu hivyo.
 
Mkuu hayo karibia kwa wanawake wote wanazo hhizo.

Mbona hupokei simu ndio complain zao wakati huo sisi wanaume tukipiga simu kama hazipokelewi wala hatumind..

Sijui hunipendi ndo complain zao wakati huo hakuna siku wanaume tulilalamika kwamba wao hawatupendi.

Kusolve hilo jaribu kumuambia nakupenda kila unapoongea nae kwa siku utakuta hizo complain za kuwa hunipendi zinaondoka.

Ila kiukweli wanaume kurejearejea neno nakupenda sio asili yetu,ni neno ambalo halina thamani katika ulimi wa mwwnaume,lwkini linw thamani katika sikio la mwanamke.

Sijui umechelewa kurudi hiso ndio complwin zao kubwaaa wanawake wengi wanataka urudi ukae ndani tu wakati ukikaa nao kuna vitu watakukera tu.

Kuna kiipindi wakati nipo unguja kuna jamaa alikuwa anasema " aaah kama sinw kazi sikai nyumbani maana kitu kidogo utagombana na mkeo"

Na kweli ukikaa nyumbani ukiwa free mara atakutuma,wewe utakataa na yeye atanuna[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1].

Ndoa ni ngumu kwa sababu ya vitu vidogovidogo ambavyo ni ngumu kuacha kwa vitu hivyo.
Maneno yaliyobeba hisia za ugomvi yanakera sana, Wewe Mshukuru MUNGU kwa kukupa mke asiyemkorofi, yaani unakuta mwanamke anamfokea mume wake utadhani anaongea na kinyangalikwa fulani,au km vile Askari Magereza anamfokea mfungwa, halafu wewe Unasema kawaida?!!.Kuna Wanaume wanadhoofika kiafya kwasababu ya kero ya maneno kutoka kwa wake zao.
 
Ila Mademu wa Singida, Manyara, Babati ni Wazuri wa Sura Tu Ila Ni Vimeo Sana Kitandani.
.
Wavivu Kupitiliza, Akilala Kalala Tu [emoji21][emoji21][emoji21]
Hawachezwi kwenye unyago??.
 
Back
Top Bottom