Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Wahuni wa CCM??!Wahuni wamejipanga vyema ??!
😳🙄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahuni wa CCM??!Wahuni wamejipanga vyema ??!
😳🙄
Iko vile. !Ukiangalia Kwa jicho la tatu, hiyo kitu uliyodokeza, inawezekana sana..........,.
Ukizingatia maneno ambayo yaliwahi tamkwa almost 2 years back na JK, kuwa mgombea wetu Kwa 2025, unless mambo yaharibike sana!
Najiuliza ni kwanini JK aliyatamka hayo, hasa ukizingatia na hali inayoendelea sasa??
@#Kataa wahuni ##polepole 😂😀Wahuni wa CCM??!
Ukisikia rasilimali za nchi zinatangazwa kuingia kwenye urithi wa Dunia, basi ujue nchi imeishaingia kwenye 18 za Globalists. Serikali zetu hizi zilizolaza akili na kutegemea kuomba ufadhili ndio wanaogeuka kuwa mawakala wa shetani kwa kuwakandamiza wenyeji asilia kisa? wanasaidiwa kuachana na maisha ya ujima. 🤔Changamoto kubwa ni watumishi wa Uma kuchukua maamuzi bila kushirikisha ipasavyo wananchi.
Maana halisi ya kupigania Uhuru ni tofauti na serikali inavyofanya nyakati hizi.
Ni lazima ijulikane kwamba Dola ni wananchi na vyombo vyake mali yao, serikali imepewa dhamana ya kuvisimamia kwa muda tu.
Serikali hupita lakini dola hudumu.
Halafu ile nukuu ya "Wabariki viongozi wake" haitakiwi kusikika ikiimbwa na mtu mwenye akili zake timamu. 😡Tanzania sikupendi tena kwa moyo wote
Kweli kabisa, ikiwezekana hiyo verse itoleweHalafu ile nukuu ya "Wabariki viongozi wake" haitakiwi kusikika ikiimbwa na mtu mwenye akili zake timamu. 😡
Tunatakiwa kuanza sasa, Katiba Mpya, Referendum kuamua hatma ya muungano na kuirudisha Tanganyika na mwisho uchaguzi mkuu wa 2025 uahirishwe hadi 2030 tukamilishe mambo yote likiwemo hili la Ngorongoro!!. Kizimkazi aendelee tu kuwepo kimtindo. 😎Tudai Tanganyika irudi, huu upuuzi haukubaliki. Kuna siku Singida itauzwa yote
Nani wa kumuangusha kuchukua nafasi yake sasa?Nasimama nao, ila mbona kama kuna kampeni ya kumuangusha Mwenyekiti wenu 2025? Nadhani haya yote yanayotokea yako well calculated and planned mbali Sana Sana
Amri ni halali kama inalinda haki za raia, ikiwa ya kukandamiza siyo halali.Amri halali ya serikali ikiwa ya kukandamiza haki za raia itapingwa tu.
HakikaAmri ni halali kama inalinda haki za raia, ikiwa ya kukandamiza siyo halali.
Hakuna serikali inayopenda kuwaumiza raia wake.Amri halali ya serikali ikiwa ya kukandamiza haki za raia itapingwa tu.
Kwani hata Tanganyika ikirudi watawala wake watakuwa ni akina nani zaidi ya hao hao waliokuwepo zamani ??!Tunatakiwa kuanza sasa, Katiba Mpya, Referendum kuamua hatma ya muungano na kuirudisha Tanganyika na mwisho uchaguzi mkuu wa 2025 uahirishwe hadi 2030 tukamilishe mambo yote likiwemo hili la Ngorongoro!!. Kizimkazi aendelee tu kuwepo kimtindo. 😎
Kimsingi tunatakiwa kuanza upya kwenye karatasi mpya yenye malengo mapya na watu wa kizazi kipya.... Hatuna sababu ya kuendelea kuwa na watawala wa zamani wenye mwelekeo wa kizamani wakati tuna lundo la vijana wasomi wasio na ajira. 😲Kwani hata Tanganyika ikirudi watawala wake watakuwa ni akina nani zaidi ya hao hao waliokuwepo zamani ??!
Walikuwepo TANU na baadaye wakaitwa CCM 😳😀🙌
Au nasema uongo ndugu zanguni ??!
Kweli kabisa !Kimsingi tunatakiwa kuanza upya kwenye karatasi mpya yenye malengo mapya na watu wa kizazi kipya.... Hatuna sababu ya kuendelea kuwa na watawala wa zamani wenye mwelekeo wa kizamani wakati tuna lundo la vijana wasomi wasio na ajira. 😲