Uchaguzi 2020 Mambo yatakayoishangaza dunia Uchaguzi wa Oktoba 2020

Uchaguzi 2020 Mambo yatakayoishangaza dunia Uchaguzi wa Oktoba 2020

konyola

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2016
Posts
4,191
Reaction score
6,636
Nikitazama mbele kuna mambo yatamshangaza Magu ktk uchaguzi huu kama ifuatavyo;

1. Tofauti na ilivyokuwa 2015 miamba miwili yaani Kikwete na Lowassa walikipasua chama na kuwa mapande mawili lakini mapande yenyewe yalianzia juu na baade kushuka chini taratibu, kipindi hiki cha 2020 ni kwamba ccm imepasuliwa na inaendelea kupasuliwa kila kona kuanzia juu hadi chini.

2. Zipo taarifa kwamba mkulu ana majina ya wabunge mkononi tayari ambayo ndiyo safu anayoitegemea ili kuisambaratisha katiba ya JMT akibahatika kupita
 
Mimi naamini mkulu ana "LIST" mpaka ya mawaziri atakaowachagua ameiandaa. Kuna watu ambao hawapo bungeni wala hawajawahi kuwa na mawazo ya kuwa wabunge, wataambiwa wakachukue "FORM" wagombee (ambao hatuwategemei). Na pia sura zilizokuwepo bungeni nyingi hazirudi (acha wajifanye wanasifia kila kitu, wajipange kufa njaa mtaani - watashangaa watakavyokatwa majina yao).

Bunge lijalo kama mkulu atachukua nchi basi litakua la vibaraka wake tu, ambao ameshawapanga. Hawa wana lumumba waliokuwa bungeni wajiandae kutafuta "AJIRA MTAANI".

Bunge litapitia "OVERHAUL REPLACEMENT" ya hali ya juu, haijawahi kutokea. Kila mtu atakaeingia bungeni safari hii sura zitakua ni "MPYA" itakua kazi yao ni "KUSIFIA NA KUTUKUZA TU". Na wengi watakua ni "VITENGO MAALUM (Watu Wasiojulikana)".

CCM mjipange na mpangike, maana bado hamjatibiwa "WENDAWAZIMU VICHWANI". Muda wenu kushughulikiwa sasa akili ziwakae sawa, na mtakumbuka maneno ya "BERNAD CAMILUS MEMBE" ya kukatwa mkia.
 
Hii nchi si ya kikundi fulani, ni ya watu wote. Hali halisi inaonyesha kabisa ana majina mfukoni na alijaribu kufikisha ujumbe huo siku ile anawaapisha mkuu wa mkoa Arusha

Hata hivyo itakuwa ni vema Kama ameandaa safu hiyo kwa nia njema ya wao kumsaidia miaka mitano ijayo na si vinginevyo! Kama anadhani atawatumia kubadili katiba abaki madarakani, afanye mahesabu upya huenda akaja kustaajabu na kupaniki

Lakini pamoja na hayo yote, uchaguzi wa 2020 utawaacha vinywa wazi na mioyo yenye machungu wengi sana hata hawa wanaosifia kila jambo.

Ki ufupi bunge lijalo litakuwa la kupiga makofi kila kitu na mawaziri hawatakuwa na kazi kubwa maana hakuna atakaye challenge hoja zao
 
Hizo Ni ndoto za alinacha, CCM sio kijichama Kama act. chadema.ccm sio ya kufa Leo au kesho,labda miaka 100 mbele.hakuna Sacco's ya kupimana ubavu na CCM,hakuna kiumbe anae weza kumshinda mgombea uraisi wa CCM, hajazaliwa bado.
 
Hatawasahau kina hassan ngoma na babie kabae na sam 2021.Makond wa mambo ya ndani au tamisemi,hapi uwaziri lazima and other favs.
Mimi naamini mkulu ana "LIST" mpaka ya mawaziri atakaowachagua ameiandaa. Kuna watu ambao hawapo bungeni wala hawajawahi kuwa na mawazo ya kuwa wabunge, wataambiwa wakachukue "FORM" wagombee (ambao hatuwategemei). Na pia sura zilizokuwepo bungeni nyingi hazirudi (acha wajifanye wanasifia kila kitu, wajipange kufa njaa mtaani - watashangaa watakavyokatwa majina yao).

Bunge lijalo kama mkulu atachukua nchi basi litakua la vibaraka wake tu, ambao ameshawapanga. Hawa wana lumumba waliokuwa bungeni wajiandae kutafuta "AJIRA MTAANI".

Bunge litapitia "OVERHAUL REPLACEMENT" ya hali ya juu, haijawahi kutokea. Kila mtu atakaeingia bungeni safari hii sura zitakua ni "MPYA" itakua kazi yao ni "KUSIFIA NA KUTUKUZA TU". Na wengi watakua ni "VITENGO MAALUM (Watu Wasiojulikana)".

CCM mjipange na mpangike, maana bado hamjatibiwa "WENDAWAZIMU VICHWANI". Muda wenu kushughulikiwa sasa akili ziwakae sawa, na mtakumbuka maneno ya "BERNAD CAMILUS MEMBE" ya kukatwa mkia.
 
Hii tz ya Mitandaoni nina uhakika jpm anaahindwa uchaguzi saa 2 asubuhi...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Niahidi kuwa akishinda utamuita JPM shujaa, mpendwa na wengi na hawajaiba kura.

Ili niweze kuunga mkono assumption yako.

Na akishindwa ntakuita wewe shujaa ...

Deal?
 
Nikitazama mbele kuna mambo yatamshangaza Magu ktk uchaguzi huu kama ifuatavyo;

1. Tofauti na ilivyokuwa 2015 miamba miwili yaani Kikwete na Lowassa walikipasua chama na kuwa mapande mawili lakini mapande yenyewe yalianzia juu na baade kushuka chini taratibu, kipindi hiki cha 2020 ni kwamba ccm imepasuliwa na inaendelea kupasuliwa kila kona kuanzia juu hadi chini.

2. Zipo taarifa kwamba mkulu ana majina ya wabunge mkononi tayari ambayo ndiyo safu anayoitegemea ili kuisambaratisha katiba ya JMT akibahatika kupita
Hii ngoma nzito
 
Back
Top Bottom