Magari ya kukodisha
JF-Expert Member
- Sep 16, 2019
- 412
- 695
Katiba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mabaya yasiyo na mwishohata
hata bashiri aliwaza Sudan IPO hivyohvyo nahc unajua kichomkuta
Ninakubaliana nawe kwa mazingira ya uchaguzi wa sasa, na siyo ndani ya uchaguzi huru na wa haki.Hizo Ni ndoto za alinacha, CCM sio kijichama Kama act. chadema.ccm sio ya kufa Leo au kesho,labda miaka 100 mbele.hakuna Sacco's ya kupimana ubavu na CCM,hakuna kiumbe anae weza kumshinda mgombea uraisi wa CCM, hajazaliwa bado.
😳🤨😟Nikitazama mbele kuna mambo yatamshangaza Magu ktk uchaguzi huu kama ifuatavyo;
1. Tofauti na ilivyokuwa 2015 miamba miwili yaani Kikwete na Lowassa walikipasua chama na kuwa mapande mawili lakini mapande yenyewe yalianzia juu na baade kushuka chini taratibu, kipindi hiki cha 2020 ni kwamba ccm imepasuliwa na inaendelea kupasuliwa kila kona kuanzia juu hadi chini.
2. Zipo taarifa kwamba mkulu ana majina ya wabunge mkononi tayari ambayo ndiyo safu anayoitegemea ili kuisambaratisha katiba ya JMT akibahatika kupita
Umeuona ukweli, kwakuishia hoja unajibu ugoroStory hizi ni za tangu 1985 kipindi wazazi wako hawajui kama watakuzaa
Hakuna marefu yasiyo na nchaZama za mwinyi na akina kikwete zimepita
Za mkapa na JPM zitapita
Ndio iko hivyo
Mwambie mwanzisha maada, CCM iko hivyo miaka yote
Usichoelewa niniHalafu iweje tujuze tujue usituache pending
Nikitazama mbele kuna mambo yatamshangaza Magu ktk uchaguzi huu kama ifuatavyo;
1. Tofauti na ilivyokuwa 2015 miamba miwili yaani Kikwete na Lowassa walikipasua chama na kuwa mapande mawili lakini mapande yenyewe yalianzia juu na baade kushuka chini taratibu, kipindi hiki cha 2020 ni kwamba ccm imepasuliwa na inaendelea kupasuliwa kila kona kuanzia juu hadi chini.
2. Zipo taarifa kwamba mkulu ana majina ya wabunge mkononi tayari ambayo ndiyo safu anayoitegemea ili kuisambaratisha katiba ya JMT akibahatika kupita
Labda Ni mgeni wa siasa,tangu uchaguzi wa Kwanza wa vyama vingi tanzania, CCM Ni ile ile na tume ya uchaguzi ipo vile vile Toka imeanzishwa wanao badilika ni viongozi tu na CCM ina shinda kila chaguzi Sasa ukisema tume sio huru Na kila chaguzi unashiriki nakukushangaa!!!Ninakubaliana nawe kwa mazingira ya uchaguzi wa sasa, na siyo ndani ya uchaguzi huru na wa haki.
Umeelewa nilichojibu hata kama utajifanya kukana mnachowafanyia waTanzania.Umebwabwaja weeeeee
Unalipwa?
Hasira za nini?
Nilichomjibu yule jamaa ni kuwa zama za JPM nazo zitapita tu
Rais kuwa na wishful list ya anaowataka yeye ni common, ni natural na ndio nilimchomjibu huyo mwenzako anayesema ccm itakatika
Ulichoandika wewe ni nje ya mjadala
Pole ndugu
Stress zitakuua
Umeelewa nilichojibu hata kama utajifanya kukana mnachowafanyia waTanzania.
Wa kwanza kuhama ni wewe.Hama nchi!!!
U r talking to wrong person
Hicho hichoo.Usichoelewa nini
"I shall never be old enough to speak without embarrassing myself when I have nothing to say".Nikitazama mbele kuna mambo yatamshangaza Magu ktk uchaguzi huu kama ifuatavyo;
1. Tofauti na ilivyokuwa 2015 miamba miwili yaani Kikwete na Lowassa walikipasua chama na kuwa mapande mawili lakini mapande yenyewe yalianzia juu na baade kushuka chini taratibu, kipindi hiki cha 2020 ni kwamba ccm imepasuliwa na inaendelea kupasuliwa kila kona kuanzia juu hadi chini.
2. Zipo taarifa kwamba mkulu ana majina ya wabunge mkononi tayari ambayo ndiyo safu anayoitegemea ili kuisambaratisha katiba ya JMT akibahatika kupita
Tunazo taarifa kwamba karatu huko John Heche kafurikisha ukumbi.Ccm ni CCM haitakiwi kabisa na watanzania ndio maana hata wajumbe wao wa mashina wanapigiwa simu na polisi na usalama kuatend vikao.