Uchaguzi 2020 Mambo yatakayoishangaza dunia Uchaguzi wa Oktoba 2020

Boksa, Hastings, Mobutu, IDD Amin, President for life in the making
 
LOOooo, una haraka au hukuwa na muda wa kuichambua vyema mada yako!

Vinginevyo, inawezekana uwezo wa kuchambua mada nzito kama hii ni kikwazo kikubwa kwako.

Nakushauri, ukipata muda, tulia uipe uzito unaostahiri. Yapo mengi sana yanayoweza kuwa chanzo cha mpasuko ndani ya CCM, lakini je, uwezekano wa mpasuko huo kutokea kupo ndani ya mazingira yaliypo?
 
Hizo Ni ndoto za alinacha, CCM sio kijichama Kama act. chadema.ccm sio ya kufa Leo au kesho,labda miaka 100 mbele.hakuna Sacco's ya kupimana ubavu na CCM,hakuna kiumbe anae weza kumshinda mgombea uraisi wa CCM, hajazaliwa bado.
Siyo sifa kuwa na upinzani dhaifu, ukizingatia wapinzani kutwa wanalazwa mahabusu, hata wakiamua kuwaachia ccm peke yao, bado mtalumbana wenyewe na hapo ndio tamati ya nchi itakuwa ishafika.
 
Zama za mwinyi na akina kikwete zimepita

Za mkapa na JPM zitapita

Ndio iko hivyo

Mwambie mwanzisha maada, CCM iko hivyo miaka yote
Na kwa sababu ya ulevi wa madaraka uliowaingia akilini, mnafikiri Tanzania ipo 'static', ikisubiri kila ujinga mtakaowafanyia waTanzania waukubali!

Hiyo ndiyo sababu ya 'tone' inayoonekana katika maandishi yako hapa.

Yaani mmewafanya waTanzania mateka wenu, na matarajio yenu ni kwamba hawawezi kukataa kufanywa mateka!

Bure kabisa!
 
Wewe liongo. Ni ukweli wenye vinasaba na mabeberu wote lazima wakatwe (kumbuka nchi ka USA, UK, China, Canada, European Union etc) wapo kwenye mikakati wa kuweka watu wao ili waweze kupitisha vitu vyao vya kiwizi wizi. Na ndiyo maana nchi ipo pahala salama kabisa, maana Dkt JPM ni mzalendo hana bei! Tumuunge mkono (kama hutaki utakufa na Tz haitakukumbuka ktk historia).
 
CCM ni underated brutal joka, ndui.

Wanaidanganya Dunia with the fake term limits.

Ukitoa hiyo term limits, Tanzania hakuna tofauti na Rwanda.

Tunazidiwa hata na Uganda Na Burundi
 
Membe ana impact Sana kusini mtumia nguvu hakulifikilia Hilo.
Hili la kuamini kila kitu ni nguvu nguvu tu ndo litakipasua chama la kuwachagulia watu awatakao yaani wahamiaji na waimba kwaya ili wamsaidie kubadili katiba sababu ya njaa badala ya utaifa hapa chochote kinaenda tokea.Bada ana mawazo ya kizamani kuamini dola inaweza shinda umma Hali nao ni sehemu ya umma kiuchumi Wana dhoofu Hali.
 
Wahamiaji haramu na waimba kwaya kumuabudu mtu sababu ya njaa ndo mnawataka.Sisi sio zizi lenu.Awamu hii lazima tumchague mtanzania mwenzetu mzawa.
 
Sifa iliyo baki Ufioani ni Uganga wakienyeji kupiga Lamli
tu
mengine Ni Asili tu
endelea kuota utupe Muendelezo
 
CCM ni underated brutal joka, ndui.

Wanaidanganya Dunia with the fake term limits.

Ukitoa hiyo term limits, Tanzania hakuna tofauti na Rwanda.

Tunazidiwa hata na Uganda Na Burundi

Kizidiwa nn ujui ukitoa Kenya madikteta wote wamejifunzia udikteta tz wote hao either wamejifunzia siasa tz wamewahi Soma ama kuishi tz si m7,pk, kabila, Nkurunziza wote ni watoto wa home.Tulikuwa na mifumo ya uongozi ya kidikteta tangu Mwalimu sema tu hatukuwahi kumpata dikteta thus hatukuona Hadi Sasa.
 
JF limekuwa jamvi la watu kufarijiana tu!

Membe ndiye wa kuipasua CCM? At least Lowasa alikuwa ni taasis ndani ya taasis (CCM).

Uhakika ni kwamba,October kipigo kiko palepale tu.
 
Ccm ni CCM haitakiwi kabisa na watanzania ndio maana hata wajumbe wao wa mashina wanapigiwa simu na polisi na usalama kuatend vikao.
Vitu mnavyoji-program vichwani ndio vitakavyowaletea stress October.
 

Umebwabwaja weeeeee

Unalipwa?

Hasira za nini?


Nilichomjibu yule jamaa ni kuwa zama za JPM nazo zitapita tu

Rais kuwa na wishful list ya anaowataka yeye ni common, ni natural na ndio nilimchomjibu huyo mwenzako anayesema ccm itakatika


Ulichoandika wewe ni nje ya mjadala

Pole ndugu

Stress zitakuua
 
Hicho ndicho anachowaandalia wana CCM,anajiandaa kuwa Rais wa maisha na tusipoiangusha CCM Tanzania inaingia katika nchi zitakazotawaliwa kiimla.Hatua hiyo ikitimia,hakuna atakayesalimika hakika.Tuchakue hatua sasa maana wakifanikisha hilo hatutakuwa na namna nyingine ya kujiokoa tena.
 
Kwa kubebwa na si kwa kura
Act na cuf watazigawa kura za kusini, hamna impact sana! Majaliwa ana impact zaidi kusini!
 
Jf raha sana...
 
Udikteta utawamaliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…