Mambosasa ajibu maswali ya Rais Magufuli kuhusu kutekwa Mo Dewji

Kwahiyo hapo mwenye kosa ni presder au mambo sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TUMBUA MAMBOSASA, HANA NIDHAMU, anawezaje kumjibu mkuu wa nchi hadharani hivyo halafu kihuni.. Protoka ilimtaka aende kwa bosi wake Sirro akamwambie alipoishia halafu akae kimya, TUMBUA MAMBOSASA HANA NIDHAMU..
Shida ni kwamba rais hakutakiwa kuuliza hilo swali pale angeenda kuwauliza baadae ila ndo hayo unamwaga mboga namwaga ugali ngoma inogile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi wazungu ndio nasubiri aisee. Kwani waliomteka ni wazungu raia wa wapi tena!
 
Asishangae MO kuambiwa alijiteka mwenyewe 😂😂😂
 
Ame Amemjibu rais?

Pole yake
 
kuna afande alisema atahakikisha waliomteka mo wanakamatwa wakiwa hai au wamekufa sijui ameamua kuwapotezea
 
Mpk hapa tunapoongea impact tayari mkuu
 
wale wahalalisha pombe, wanapenda sana kutumia hayo maneno.
bible ya vitabu 72 sijui ilitoka wapi, maana wakristo wengine wote wanatumia bible ina vitabu 66.



Sent using Jamii Forums mobile app
Ungeuliza hivi, 'Biblia yenye vitabu 66 ilitoka wapi maana Biblia iliyotangulia ilikuwa na vitabu 72; je ni nani aliyevipunguza na kibali cha kuvipunguza alipewa na nani?
wale wahalalisha pombe, wanapenda sana kutumia hayo maneno.
bible ya vitabu 72 sijui ilitoka wapi, maana wakristo wengine wote wanatumia bible ina vitabu 66.



Sent using Jamii Forums mobile app
Ungeuliza hivi, 'Biblia yenye vitabu 66 ilitoka wapi maana Biblia iliyotangulia ilikuwa na vitabu 72; je ni nani aliyevipunguza na kibali cha kuvipunguza alipewa na nani?
Ha ha huna utaalamu wowote ndugu. Hivi unajua maana ya official correspondences?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nadhan kuna kitu kinatokota nadhan kuna mvujo wa issue nzima mahali sasa watu wanaanza ku pre empty kwa kujaribu kuji distance!
ili mvujo ukidondoka halafu mtu aseme hata mm nilikuwa nataka majibu ya hili suala!muda utasema ila naamini kuna tundu sehemu wata wanajaribu kulimaintain na nina was was hilo tundu linaweza kuleta mazingira magumu 2019-2020 katika yale mambo yetu ya kuchaguana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyu jamaa ndoa atakuwa chambo......soon ataenda kuwa katibu tawala namtumbo.....
 
Mimi hii nchi hainivutii kwa kweli😁😁😁
VIONGOZI Wana Matukio. Kwa hiyo ulikuwa wapi kutujulisha hayo,Na kwa Nini wajibu wenu mnataka Hadi Raisi awashtue
Cha Ajabu Kama Ni mwana siasa wa upinzani angeyasema Yale yaliyosemwa na Raisi kwa Sasa bila Shaka angekuwa chini ya ulinzi kwa kuwa lazima mngesema kuuliza habari za Kutekwa watu Ni uchochezi🤣🤣🤣🤣
 
Aki ccm hawana akili timamu, wao ndio walimuteka MO kisha wanajiuliza maswali, acheni kutuona kaa sisi ni mazuzu kaa nyinyi
 
Asante kwa kunikumbusha, nasubiri hiyo part 2 nione kama starring atabaki huyo huyo au atauwawa
Huyu hawezi kuuawa mpaka mzee baba atakapotuliza akili....
 
Aisee, sikujua kama huwa una hoja za maana namna hii. Sasa yale madudu ya hovyo hovyo unayoandika wakati mwingine huwa umejitoa ufahamu au umezidisha mvinyo? Kilangila.
 
Aisee, sikujua kama huwa una hoja za maana namna hii. Sasa yale madudu ya hovyo hovyo unayoandika wakati mwingine huwa umejitoa ufahamu au umezidisha mvinyo? Kilangila.
Siku hazifanani mkuu
 
Ashajua wazi hili halimuachi kwahiyo anatapika tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…