Mambosasa: Tumempuuza Mwamakula na kumuachia baada ya kutimiza masharti ya dhamana

Tumempuuza lina maana gani kwenye hii context
Kujikosha na kuleta propaganda za kipuuzi. Nilipiga kura kwa JPM na nyumbani kwangu nilisaidia kuhifadhi askari aliyekuwa amepangiwa kulinda kituo 'X' Tabata (alikuja akalala kwangu na asubuhi nilienda nae kituo cha kupiga kura).
Nilifanya kosa kubwa sana kuchagua huyu mtu (JPM), tuna Rais ambaye hana QUALITIES za kuwa Mkuu wa nchi.
Kwa utaratibu na tabia zake ndiyo kafanya taasisi zote ziwe zinafanya kazi kwa HOFU na PROPAGANDA.
 
Haka kaaskofu kakimatwa unalalamika, kakiachiwa vile vile unalalamika; wewe vipi wewe


Mnajipatia laana bure. SHauri zenu. Endekezeni sana njaa hadi Ubongo uanze kutoa funza. Huyo Mzee ni umri wa baba yako au baba yako mdogo. Jiamini wewe una mwili mkubwa and you are strong.
 
Wamempa kiki isiyo ya lazima

Yule Ni wa kuignore tu
 
Mnasema corona ipo serikali haichukui hatua,

Halafu muda huo huo mnataka kukusanya watu wakadai katiba mpya,

Au mikusanyiko wakati wa shughuli zenu tu ndio hakuna maambukizi??

Inashangaza Sana.

Mechi za mpira zinachezewa bila washabiki? Au hiyo corona inapatikana kwenye matembezi ya kudai katiba mpya tu?
 
Hivi polisi kwenda kusachi nyumbani ndiyo action na. one kwenye kila tukio? Yaani tukio wamedai wameliona mtandaoni...

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
Unampaje Masharti ya dhamana mtu ambaye tayari umempuuza?
 
Baba askofu kesho badili gia angani msifie mzee wa nchi uone utakavyopambwa hadi ulinzi nyumbani kwako utapewa!!

Hii ndiyo Tanzania mpya!! Ni mwendo wa kusifu na kuabudu tu ukienda kinyume....unapimwa mkojo na sachi ya nguvu chumbani kwako!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…