mkaruka ataja rinu
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 3,527
- 2,469
Watakuwa wamemuona ni PUNGUANITumempuuza lina maana gani kwenye hii context
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakuwa wamemuona ni PUNGUANITumempuuza lina maana gani kwenye hii context
Ndiyo maana alisema ni matembezi ya hiari ya kila kundi lisilozidi watu 20. Wewe unafikiri Askofu ni mjinga kama wanaCCM (TWAWEZA)?Mnasema corona ipo serikali haichukui hatua,
Halafu muda huo huo mnataka kukusanya watu wakadai katiba mpya,
Au mikusanyiko wakati wa shughuli zenu tu ndio hakuna maambukizi??
Inashangaza Sana.
Halafu wanajua kabisa kuwa yule ni askofu,hana silaha,wala hatumii bangi kwamba wangeikuta nyumbani kwake,zaidi ya biblia.Hivi mkienda kupekua watu nyumbani mnadhani mtakuta nini huo mfumo mlioiga ni mbaya kuwahi kutokea vitu ambavyo havieleweki mnavizingatia kweli mnaacha kupambana na Corona/ umasikini unaotuzunguka mpo busy na kauli za mtandaoni...
Na sasa amejiunga na wachafu wenzake.Askofu uchwara ni yule aliyeliabisha Kanisa kwa kuzini na waumini wake na kucheza filamu za ngono.
Huyu kwanini hii changomoto ya upumuaji haimchukui?Mkuu Mambosasa kama umempuuza , masharti ya dhamana yamefuata nini?
AmeniBaba Askofu, ukuu wa Mungu ukae nawe kwa sababu umehesabiwa pamoja na wenye hatia pasipo hatia.
Walaaniwe waliojipa mamlaka ya Mungu, wasiotaka kuhojiwa, kushauriwa, kukanywa wala kukosolewa. Wamejitengenezea Mungu wao wa sanamu, Mungu wa Tanzania, ndiye wanayemwabudu na kumwimbia nyimbo za sifa katika kila jambo, liwe jema au uchafu.
Bwana Mungu wetu iangamize mamlaka hii ya shetani na mawakala wake wote hata kizazi cha nne. Maana ni wewe pekee usiyehojiwa, usiyehitaji kushauriwa lakini unayeliliwa na kuombwa usiku na mchana, na unajibu wakati ufaao.
Hivi Shetani huwa anampuuza Mungu au Mungu siku zote ndiyo humpuuza Shetani?Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemuachia kwa dhamana Askofu Emmaus Mwamakula wa kanisa la Uamsho la Moravian baada ya kufanya upekuzi nyumbani kwake.
Taarifa za kushikiliwa Mwamakula zilitolewa na polisi jana Jumatatu Februari 15, 2021 kupitia mtandao wa kijamiii kabla ya Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kuthibitisha kumshikilia.
Akizungumza leo Jumanne Februari 16,2021 Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema baada ya jeshi hilo kwenda kufanya upekuzi nyumbani kwake limemuachia baada ya kutimiza masharti ya dhamana.
“Tumempuuza na baada ya kwenda kufanya upekuzi nyumbani kwake, mchana huu tumemuachia kwa dhamana baada ya kutimiza masharti,” amesema.
Awali polisi walieleza kumshikilia kumshikilia Mwamakula kutokana na taarifa aliyoichapisha mtandaoni iliyokuwa ikihamasisha wananchi wajitokeze kwa wingi kuandamana kushinikiza kudai katiba mpya jambo ambalo ni kinyume na taratibu na sheria za nchi.
Mwananchi
Uwezo wako wa kufiri ni mdogo sana kuhusu mitandaoWa Kupuuzwa hapo ni Mambosasa...unamkamata mtu kwa habari za mitandaoni.
Masharti ya dhamana ya nn ilihali mmempuuza?Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemuachia kwa dhamana Askofu Emmaus Mwamakula wa kanisa la Uamsho la Moravian baada ya kufanya upekuzi nyumbani kwake.
Taarifa za kushikiliwa Mwamakula zilitolewa na polisi jana Jumatatu Februari 15, 2021 kupitia mtandao wa kijamiii kabla ya Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kuthibitisha kumshikilia.
Akizungumza leo Jumanne Februari 16,2021 Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema baada ya jeshi hilo kwenda kufanya upekuzi nyumbani kwake limemuachia baada ya kutimiza masharti ya dhamana.
“Tumempuuza na baada ya kwenda kufanya upekuzi nyumbani kwake, mchana huu tumemuachia kwa dhamana baada ya kutimiza masharti,” amesema.
Awali polisi walieleza kumshikilia kumshikilia Mwamakula kutokana na taarifa aliyoichapisha mtandaoni iliyokuwa ikihamasisha wananchi wajitokeze kwa wingi kuandamana kushinikiza kudai katiba mpya jambo ambalo ni kinyume na taratibu na sheria za nchi.
Mwananchi
Uwezo wako wa kufiri ni mdogo sana kuhusu mitandao
Mkuu Mambosasa kama umempuuza , masharti ya dhamana yamefuata nini?
Hii ipo kisheria mkuu,,unapoona mtu hana madhara sana katika establishment,ni kumpuuza tu..Tumempuuza lina maana gani kwenye hii context
Na mimi nimejiuliza nikaona ni kama huyo aliyesema ni hamnazo, ukimpuuza mtu si unaacha kuhangaika naye!!!Tumempuuza lina maana gani kwenye hii context