This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Nimekupuuza.Huyo askofu uchwara kaamua kutumia hii njia ili kujiongezea umaarufu kanisani kwake ili kapu lijae
Pongezi kwa jeshi la polisi kumshughulikia na kumpuuza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekupuuza.Huyo askofu uchwara kaamua kutumia hii njia ili kujiongezea umaarufu kanisani kwake ili kapu lijae
Pongezi kwa jeshi la polisi kumshughulikia na kumpuuza
Anamzidi Gwajima kwa huo uchwara? Binafsi namuunga mkono huyo Askofu Mwamakula kwa ujasiri wake wa kuwasemea Mamilioni ya Watanzania waliochoshwa na utawala kandamizi na wa kidikteta, kibabe, kikatili, kifisadi,kibaguzi ma wa kidhalimu unao fanywa na CCM.Huyo askofu uchwara kaamua kutumia hii njia ili kujiongezea umaarufu kanisani kwake ili kapu lijae
Pongezi kwa jeshi la polisi kumshughulikia na kumpuuza
Tumempuuza na kumwachia kwa dhamana. Kupuuza ni kwamba wamemuona mpuuzi au Hana maana sasa mpuuzi ana dhamana? Huyu ana mawili ni kumwachia bila masharti au kumuweka ndani, Bahati nzuri sio mvaa kanzu maana angesota gerezani hadi tukamsahau maana bila soni angetangazwa ni AlshababJeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemuachia kwa dhamana Askofu Emmaus Mwamakula wa kanisa la Uamsho la Moravian baada ya kufanya upekuzi nyumbani kwake.
Taarifa za kushikiliwa Mwamakula zilitolewa na polisi jana Jumatatu Februari 15, 2021 kupitia mtandao wa kijamiii kabla ya Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kuthibitisha kumshikilia.
Akizungumza leo Jumanne Februari 16,2021 Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema baada ya jeshi hilo kwenda kufanya upekuzi nyumbani kwake limemuachia baada ya kutimiza masharti ya dhamana.
“Tumempuuza na baada ya kwenda kufanya upekuzi nyumbani kwake, mchana huu tumemuachia kwa dhamana baada ya kutimiza masharti,” amesema.
Awali polisi walieleza kumshikilia kumshikilia Mwamakula kutokana na taarifa aliyoichapisha mtandaoni iliyokuwa ikihamasisha wananchi wajitokeze kwa wingi kuandamana kushinikiza kudai katiba mpya jambo ambalo ni kinyume na taratibu na sheria za nchi.
Mwananchi
Na mamlaka ya kumpuuza mtu wao wameyatoa wapi?! Mbona ni mamlaka makubwa sana hata mahakama haina.Mkuu Mambosasa kama umempuuza , masharti ya dhamana yamefuata nini?
Askofu uchwara ni yule aliyeliabisha Kanisa kwa kuzini na waumini wake na kucheza filamu za ngono.Huyo askofu uchwara kaamua kutumia hii njia ili kujiongezea umaarufu kanisani kwake ili kapu lijae
Pongezi kwa jeshi la polisi kumshughulikia na kumpuuza
Wamuache tu aandamane. Hajui anapotoka wala anapokwendaHuyo askofu uchwara kaamua kutumia hii njia ili kujiongezea umaarufu kanisani kwake ili kapu lijae
Pongezi kwa jeshi la polisi kumshughulikia na kumpuuza
Baada ya mahojiano wameona hayuko 'straight', maana yake 'haziko sawasawa', kwa hiyo wakaamua kumuachia tu.Tumempuuza lina maana gani kwenye hii context
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemuachia kwa dhamana Askofu Emmaus Mwamakula wa kanisa la Uamsho la Moravian baada ya kufanya upekuzi nyumbani kwake.
Taarifa za kushikiliwa Mwamakula zilitolewa na polisi jana Jumatatu Februari 15, 2021 kupitia mtandao wa kijamiii kabla ya Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kuthibitisha kumshikilia.
Akizungumza leo Jumanne Februari 16,2021 Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema baada ya jeshi hilo kwenda kufanya upekuzi nyumbani kwake limemuachia baada ya kutimiza masharti ya dhamana.
“Tumempuuza na baada ya kwenda kufanya upekuzi nyumbani kwake, mchana huu tumemuachia kwa dhamana baada ya kutimiza masharti,” amesema.
Awali polisi walieleza kumshikilia kumshikilia Mwamakula kutokana na taarifa aliyoichapisha mtandaoni iliyokuwa ikihamasisha wananchi wajitokeze kwa wingi kuandamana kushinikiza kudai katiba mpya jambo ambalo ni kinyume na taratibu na sheria za nchi.
Mwananchi
Hapo ndo nimeshindwa kuelewa walichopuuza ni nini?.Mkuu Mambosasa kama umempuuza , masharti ya dhamana yamefuata nini?
Sio kwamba polisi wameona kutokana na hoja za askofu zina mashiko wakampuuza?.Baada ya mahojiano wameona hayuko 'straight', maana yake 'haziko sawasawa', kwa hiyo wakaamua kumuachia tu.
Ni serikali yenye watendaji waliojivua nguo ya akili. Hovyoo na kituko duniani.
Huyu Mzee ana hitilaguJeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemuachia kwa dhamana Askofu Emmaus Mwamakula wa kanisa la Uamsho la Moravian baada ya kufanya upekuzi nyumbani kwake.
Taarifa za kushikiliwa Mwamakula zilitolewa na polisi jana Jumatatu Februari 15, 2021 kupitia mtandao wa kijamiii kabla ya Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kuthibitisha kumshikilia.
Akizungumza leo Jumanne Februari 16,2021 Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema baada ya jeshi hilo kwenda kufanya upekuzi nyumbani kwake limemuachia baada ya kutimiza masharti ya dhamana.
“Tumempuuza na baada ya kwenda kufanya upekuzi nyumbani kwake, mchana huu tumemuachia kwa dhamana baada ya kutimiza masharti,” amesema.
Awali polisi walieleza kumshikilia kumshikilia Mwamakula kutokana na taarifa aliyoichapisha mtandaoni iliyokuwa ikihamasisha wananchi wajitokeze kwa wingi kuandamana kushinikiza kudai katiba mpya jambo ambalo ni kinyume na taratibu na sheria za nchi.
Mwananchi
Huu uandishi wa kurudia-rudia kichwa cha habri huwa unanibore sana. Naamini wana taaluma ya uandishi ndivyo hufundishana huko vyuoni mwao lakini inakuwa kero kwa msomaji kwani unakuta paragraph zote nne ni kichwa cha habari kinarudiwa miwsho wa siku habari yenyewe fupi kama njugu.Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemuachia kwa dhamana Askofu Emmaus Mwamakula wa kanisa la Uamsho la Moravian baada ya kufanya upekuzi nyumbani kwake.
Taarifa za kushikiliwa Mwamakula zilitolewa na polisi jana Jumatatu Februari 15, 2021 kupitia mtandao wa kijamiii kabla ya Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kuthibitisha kumshikilia.
Akizungumza leo Jumanne Februari 16,2021 Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema baada ya jeshi hilo kwenda kufanya upekuzi nyumbani kwake limemuachia baada ya kutimiza masharti ya dhamana.
“Tumempuuza na baada ya kwenda kufanya upekuzi nyumbani kwake, mchana huu tumemuachia kwa dhamana baada ya kutimiza masharti,” amesema.
Awali polisi walieleza kumshikilia kumshikilia Mwamakula kutokana na taarifa aliyoichapisha mtandaoni iliyokuwa ikihamasisha wananchi wajitokeze kwa wingi kuandamana kushinikiza kudai katiba mpya jambo ambalo ni kinyume na taratibu na sheria za nchi.
Mwananchi
Laana ipi mkuu anayo vunaUnajiongezea laana ya bure ili upate nini?