Mamelod sundowns vs Yanga Afrika

Hatua za mbele zipi hizo, we si umeshatoka hapohapo makundi
Kama vigogo wenyewe ndio hawa niliowaona AFL basi group stage na robo yanga anapita kuanzia semis ndo anaweza kukwama
 
Na Ihefu je? Ihefu na Sundowns ni bora kuliko Yanga
 
Hujacheza na al ahly unamtaka mamelodi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Yesu alisema kabla ya kumnyooshea kidole mwenye kijiti machoni(mamelodi) toa kwanza huo mmBORITI(ihefu) huko nyuma gwako mkuu😁
 
Hujacheza na al ahly unamtaka mamelodi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yesu alisema kabla ya kumnyooshea kidole mwenye kijiti machoni(mamelodi) toa kwanza huo mmBORITI(ihefu) huko nyuma gwako mkuu[emoji16]
Kwa mpira niliouona AFL al ahly tunamkanda nje ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…