VAR ililetwa kwa ajili ya kuzionea timu zetu tu. sababu hazina majina makubwa. Caf wanapenda sana kumbeba mamelodi. sababu bosi wao rais wa caf ndie mmiliki wa mamelodi
Sheria za mpira zinasema mtu wa mwisho akifanya rafu ni kadi nyekundu. ila kwa mamelodi hata VAR haijajisumbua kucheki
jiulize ingekuwa Mwamnyeto ndie kacheza hii rafu kwa shaulile ingekuwaje ? je Var isingecheki ?
Sheria za mpira zinasema mtu wa mwisho akifanya rafu ni kadi nyekundu. ila kwa mamelodi hata VAR haijajisumbua kucheki
jiulize ingekuwa Mwamnyeto ndie kacheza hii rafu kwa shaulile ingekuwaje ? je Var isingecheki ?