Mamelodi Sundowns |SPECIAL Thread|

Mamelodi Sundowns |SPECIAL Thread|

Mathias esquivel(messi)...huyu mu argentina ataua mtu siku hiyo
Pale mbele siku hiyo mtoto sirino,lorch na shalulile afu kati anakaa mokoena,esquivel na captain zwane,na allende afu back three kama kawaida grant kekana,mdunyelwa na khuliso mudau uuuuuwwwiiiii FULL TIME MAMELODI4-UTOPOLO 0 TAIFA HIYO
 
Mathias esquivel(messi)...huyu mu argentina ataua mtu siku hiyo
Pale mbele simu hiyo mtoto sirino,lorch na shalulile afu kati anakaa mokoena,esquivel na mtoto captain zwane,na allende afu back three kama kawaida grant kekana,mdunyelwa na khuliso mudau uuuuuwwwiiiii FULL TIME MAMELODI4-UTOPOLO 0 TAIFA HIYO
Hawa taifa watateseka sana
 
Mathias esquivel(messi)...huyu mu argentina ataua mtu siku hiyo
Pale mbele simu hiyo mtoto sirino,lorch na shalulile afu kati anakaa mokoena,esquivel na mtoto captain zwane,na allende afu back three kama kawaida grant kekana,mdunyelwa na khuliso mudau uuuuuwwwiiiii FULL TIME MAMELODI4-UTOPOLO 0 TAIFA HIYO
Hahaha kwahiyo Masandawana wataingia na 3-4-3 siyo, bila kusahau pale langoni anakaa kipa la makipa mdaka mishale mwenyewe Ronwen Williams, hapo Watani wajiandae kuendelea kujifariji na zile tano tano zao za mchongo tu basi [emoji2][emoji2]
 
Mamelod ni Azam ya South maana kule wenye nchi ni Kaizer chiefs na Orlando...

Azam ina mfumo mbovu tu wa uongozi wakitulia ni mamelod ya Tanzania kabisa maana kila kitu wanacho
Siasa za simba na yanga ni ngumu sana azam kutoboa. Unaambiwa huko tff hadi serikalini mashabiki wa simba na yanga wamejaa! Ndio ije itokee azam achukue ubingwa miaka mitano mfulululizo kama mamelodi!? Thubuuutu

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Mathias esquivel(messi)...huyu mu argentina ataua mtu siku hiyo
Pale mbele simu hiyo mtoto sirino,lorch na shalulile afu kati anakaa mokoena,esquivel na mtoto captain zwane,na allende afu back three kama kawaida grant kekana,mdunyelwa na khuliso mudau uuuuuwwwiiiii FULL TIME MAMELODI4-UTOPOLO 0 TAIFA HIYO
Masekooooooooo
 
Back
Top Bottom