Mamelodi Sundowns wako Overrated

Baada ya kupata goli la kuongoza hao Mamelodi wakakosa umakini na kufikiri kwamba mpira umeisha wakaanza ubishoo na matokeo yake ndio yakatokea ya kutokea.

Walijisahau kwamba walikuwa wanacheza na bingwa mtetezi, sasa itabidi wajipange tena upya kwa msimu ujao maanake hamna namna.
 
Matokeo yao sio makubwa kama sifa zao.

Mfano leo wametolewa na waydad kwenye caf champions league .

Timu yenye sifa kama mamelodi haipaswi kuwa inatolewa tolewa kila msimu.
Wanaupiga mwingi sana ila tatizo lao ni kupoteza focus kwenye knockout stages mfano ni zile red card mbili walizopata first leg
 
Tulipokuwa tukilisema hili wengi waliona labda tuna wivu na hao wasauz

Ila kiukweli kabisa Mamelod Sundowns wapo overated sana kuliko uhalisia yaani ukisikia sifa wanazoipa unaweza fikiri ni tomu bora pengine kuliko hata Al Ahly au Wydad Casablanca kumbe ni timu ambayo fainali ya mwisho klabu bingwa waliiona 2016 miaka 7 huko iliyopita
 
Matokeo yao sio makubwa kama sifa zao.

Mfano leo wametolewa na waydad kwenye caf champions league .

Timu yenye sifa kama mamelodi haipaswi kuwa inatolewa tolewa kila msimu.
Unataka kusemaje kuhusu Wydad? Yaani una underrate timu moja ili ku justify mawazo yako kuhusu Timu nyingine. Tafuta hoja nyingine.
 
Tatizo haukuwa unajiamini, kosa lako lilikuwa ni lipi?
Mamelodi hawana bahati tu, ila mpira kama mpira nimewavulia kofia wana umwaga wa kutosha,, mpira mchezo wa wazi sote tunaona, jamaa wapewe maua yao.. Na ninaposema hawana bahati ndio kama hivyo wanaongoza beki wao anakuja anajifunga.
 
Mamelodi hawana bahati tu, ila mpira kama mpira nimewavulia kofia wana umwaga wa kutosha,, mpira mchezo wa wazi sote tunaona, jamaa wapewe maua yao.. Na ninaposema hawana bahati ndio kama hivyo wanaongoza beki wao anakuja anajifunga.
Mamelod wa mwaka huu hana tofauti na yule wa misimu mitano ya CAFCL iliyopita, hizi ndio hatua zake ambazo huwa anaishia. Msimu uliopita aliyolewa kijinga na Atletico Petroleos hapohapo kwao kwa kudraw kama alivyofanya jana.

Hakuwa na la nyongeza.
 
Mamelodi hawana bahati tu, ila mpira kama mpira nimewavulia kofia wana umwaga wa kutosha,, mpira mchezo wa wazi sote tunaona, jamaa wapewe maua yao.. Na ninaposema hawana bahati ndio kama hivyo wanaongoza beki wao anakuja anajifunga.
Hapana sikubaliani na ww timu za south africa hazina mpira wa kutumia nguvu kutaka kitu, wanapenda mpira wa show game yaan badala ya kutoa pasi moja mchezaji atapiga chenga atataka kupiga tobo kufinya vitu ambavyo mnaweza kucheza kama timu imeshashinda goal za kutosha ndo mnaanza mambo hayo
Gemu ile ilikuwa inamalizika kipindi cha kwanza maana walipata nafasi nne za kumaliza gemu lkn wakaleta ustaa na mbwembe hivyo mwaarabu alikuwa ameshajaa upepo na alikuwa amekubali lkn wakazidisha mbwembwe na mwisho mwarabu akatulia akarudi na akawatoa easy
 

Uzi wa zamani ila una ukweli mwingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…