Okay so unadhani Mamelodi hawjalitambua hilo kila mwaka watakua wanarudia makosa yale yale?
Anakuja mtu, anakuambia Mamelodi ni wa kawaida. Ukimuuliza sababu, anakuambia habari za misimu iliyopita. Sijui mnatumia viungo gani kufikiri!
Mamelodi anaeongelewa hapa ni wa msimu huu. Mamelodi ambae yuko kwenye ubora wa hali ya juu. Kabisa mnategemea akina Onyango wawavushe kwa Mamelodi aliemtandika Al Ahly tano? Hamko serious!
Esperes Tunis vS Simba.
Habari wakuu
Awali ya yote ningependa ku-declare interest kuwa nawataka Masandawana. Twende kwenye mada, imezuka mijadala mingi sana mitandaoni hususani kwa baadhi ya wachambuzi wakisema kuwa Mamelodi sundowns sio timu ya kuomba kukutana nayo. Wengine wakaenda mbali zaidi kusema kuwa ndio timu hatari zaidi.
Binafsi naheshimu ubora wa Mamelodi, nilipata wasaa wa kutizama game zao mbili tatu hususani ile game yao ambayo walimpiga Al ahly hamsa pale Africa kusini. Naomba niseme tu kwamba Mamelodi wako Overrated mno.
Nadhani ni kwa sababu ya kumnyanyapaa Al ahly ndicho kinachofanya watu wamzungumzie kiutofauti, ambapo obviously hajaanza leo toka kitambo al ahly anapotua Johannesburg basi Hamsa zina muhusu.
Lakini ni ukweli usiopingika kuwa al ahly pia msimu huu hayupo vizuri, kinacho mbeba ni uzoefu tu ila hana timu, nisingeshangaa angepigwa nje ndani na mnyama simba kama angepangwa group moja.
Turudi sasa kwenye mada yetu, Mamelodi sundowns pamoja na kuwa Overrated sana bado hana mpira wa kutisha, nachelea kusema kuwa hata Raja CA ni maji marefu kwa Mamelodi. Kingine nilichokiona kwa Mamelodi ni aina yao ya uchezaji ambao uko very identical na uchezaji wa simba yani pira biriani a.k.a Sambaloketo.
Hivyo ikitokea timu hizi mbili zikakutana, basi Africa na Dunia kiujumla itashuhudia mechi ya karne, yani historical match, hivyo niwatoe hofu wanasimba wenzangu ambao mmeanza kutishika na maneno ya waganga njaa kuhusu Mamelodi sundowns.
Binafsi sintoshangaa kabisa kama simba akimtoa Sundowns kwenye hatua ya Robo fainali au hatua yoyote tutakayo kutana nae.
Nguvu moja [emoji881]
Tumekuuliza hao Masandawana wenye mbinu za maana, ndani ya hii misimu mitano ya CAFCL waliwahi kuvuka robo fainali?Mimi sio mbumbumbu kama nyie. Mwenzako amesema ivyo akizungumzia swala la ubora ndio maana akasema vile sasa unakuja kuanza kusafisha upuuzi wake.
Okay mpira ni swala la mbinu kama unavyosema. Kwa akili zako za kimbumbumbu unategemea Robertinho kwa mbinu zake ataweza kumzuia Mokwena? Tunapozungumzia ubora hatuongelei tu wachezaji hamna ubora wa mbinu kuizuia Masandawana. Mtapigwa kama chapati endelezeni ujinga.
Simba angekua anacheza huo mpira unao usema angekua kafika final hata moja kumbuka mara mbili katolewa ni timu za SA (Orlando pirates na Kaizer Chiefs) wala sio Northern huko kabla ya kujigamba kumtoa Mamelodi ungejiuliza kwanini Simba hua anaishia robo?Kuhusu kujifunza kwa makosa yao. Hilo jibu wanalo wenyewe.
Mimi point yangu ni simba ana nafasi kubwa ya kupita kama akipangiwa Mamelodi robo fainali.
Ila Simba huyu huyu ana nafasi ndogo sana ya kupita kama Akipangiwa Esperence ama Waydad Casablanca.
Sababu kuu hizo timu ni hatari kuliko mamelodi. Record zao Caf zinajieleza kwa uwazi. Na rekodi za mamelodi caf zinajieleza kwa uwazi
Ile tu kuishia robo fainali misimu mitano mfululizo hatua ambayo hata Simba Sc anaifikia, itoshe kukufahamisha kwamba mnawakuza for nothing.Niambie hio nafasi kubwa kwa Simba kumfunga Mamelodi umei determine vipi? sababu kama ni clubs ranking Mamelodi wapo juu, statistics wapo juu wewe ulisha wahi hata kutoa draw na Al Ahly pale Cairo? tuachieni ujinga
Ilikuwaje wakawa wanaishi robo fainali kwa misimu mitano mfululizo?Mimi ni Simba lialia ila kiukweli wale jamaa ukiwaangalia wanajua Kuna mtu anaitwa Maema ,Mailula na Peter wale jamaa ndo injini pale kwa huu mpira wanaocheza labda Raja kidogo msimu huu ndo wako sawa ila jamaa wako far beyond us.
Hata msimu uliopita mlidai yupo kwenye kiwango cha juu mpaka pale alipotolewa.Anakuja mtu, anakuambia Mamelodi ni wa kawaida. Ukimuuliza sababu, anakuambia habari za misimu iliyopita. Sijui mnatumia viungo gani kufikiri!
Mamelodi anaeongelewa hapa ni wa msimu huu. Mamelodi ambae yuko kwenye ubora wa hali ya juu. Kabisa mnategemea akina Onyango wawavushe kwa Mamelodi aliemtandika Al Ahly tano? Hamko serious!
Unataka tujiulize kwanini Simba Sc huwa anaishia robo, ila hautaki Mamelod wadharauliwe kwa kuishia kwao robo fainali misimu mitano mfululizo.Simba angekua anacheza huo mpira unao usema angekua kafika final hata moja kumbuka mara mbili katolewa ni timu za SA (Orlando pirates na Kaizer Chiefs) wala sio Northern huko kabla ya kujigamba kumtoa Mamelodi ungejiuliza kwanini Simba hua anaishia robo?
Simba angekua anacheza huo mpira unao usema angekua kafika final hata moja kumbuka mara mbili katolewa ni timu za SA (Orlando pirates na Kaizer Chiefs) wala sio Northern huko kabla ya kujigamba kumtoa Mamelodi ungejiuliza kwanini Simba hua anaishia robo?
Ps4Unataka kucheza na maswandana jaza viungo,waachie wakae na mpira,wajibu kwa kaunta kwa kutumia sakho na okrah wapitie pembeni,kwisha habari yao.
Manara alikuwa sahihi sana, anyway ni mawazo yako na sina budi kuyaheshimu..Mimi sio mbumbumbu kama nyie. Mwenzako amesema ivyo akizungumzia swala la ubora ndio maana akasema vile sasa unakuja kuanza kusafisha upuuzi wake.
Okay mpira ni swala la mbinu kama unavyosema. Kwa akili zako za kimbumbumbu unategemea Robertinho kwa mbinu zake ataweza kumzuia Mokwena? Tunapozungumzia ubora hatuongelei tu wachezaji hamna ubora wa mbinu kuizuia Masandawana. Mtapigwa kama chapati endelezeni ujinga.
Na simba katwaa mara ngapi?Sababu simba anacheza mpira wa matokeo. Hachezi mpira wa kuuza sura. Mamelodi ndie angalau mnyonge wa mipira hiyo kuliko wenzake waydad ama esperence
Timu zingine ambazo simba anaweza kukutana nazo kama asipopangiwa mamelodi ni mbili zilizoongoza makundi yao ambazo ni Esperence na waydad casablanca, pia raja casablanca kaongoza kundi ambalo simba alikuwepo hivyo hawezi pangiwa raja.
Style ya esperence ama waydad casablanca ni ngumu kwa simba kuzifunga sababu huwa hazichezi mpira wa possession. Zinakuachia mpira ucheze wewe huku wao wanapiga mipira mirefu na kukufunga kibabe
Na hizo timu zinatwaa ubingwa mara nyingi kuliko mamelodi. Na huwa zinafanya vizuri kuliko mamelodi. Hata mamelodi mwenyewe hajawai kuzitoa hizo timu anapokutana nazo kwenye mitoano ya caf.
Jiulize mamelodi mara ya mwisho kuvuka robo fainali ilikuwa lini ?
Pia jiulize mamelodi amewai kutwaa ubingwa wa caf mara ngapi ?
Kisha maswali hayo hayo jiulize pia kwa esperence na waydad casablanca. Utapata majibu timu gani ni hatari zaidi kwa simba kati ya hizo 3 zilizoongoza makundi
Kila msimu mamelodi ni mzuri sana kwenye hatua ya makundi. Huwa anaongoza kundi lake kwa point kibao. Shida ya mamelodi huwa kwenye hatua za mtoano hasa robo. Huwa anatolewa kirahisi sana
Wewe ni shabiki wa timu gani mkuu ?..Brother acha ushabiki kuwa realistic Simba hana uwezo wa Ku battle na Mamelodi Sundowns labda itokee tu maajabu ambayo kwenye football yapo lakini kwa quality, experience, technical bench hizi timu ni mbigu na aridhi
Hawakuzwi ila uwezo unaongea at least wao wana kombeIle tu kuishia robo fainali misimu mitano mfululizo hatua ambayo hata Simba Sc anaifikia, itoshe kukufahamisha kwamba mnawakuza for nothing.
A very lame comparison. Hapa tunawalinganisha Mamelodi na Simba, sio Mamelodi na Al Hilal.Nenda katazame mechi zote mbili za mwaka huu 2023 zilizochezwa caf kati
Mamelodi vs Al hilal ya sudan.
Ya kwanza south africa
Na ya pili sudan
Jiulize Al Hilal na simba wana tofauti gani kiuwezo.
Hakuna cha ku-edit mkuu, ndo uhalisia Mamelodi wako Overrated sana ukilinganisha na wanacho kionesha uwanjani, ni mara 10 ungeniambia Raja CAUmeandika personal feelings ndugu yangu ila naomba siku moja ukae uangalie mechi zote walizocheza CAFCL Huu msimu afu uje uedit thread
Real MadridWewe ni shabiki wa timu gani mkuu ?..
Al ahly ya mwaka huu umeiona au unaongea tu kwa historia ?Niambie hio nafasi kubwa kwa Simba kumfunga Mamelodi umei determine vipi? sababu kama ni clubs ranking Mamelodi wapo juu, statistics wapo juu wewe ulisha wahi hata kutoa draw na Al Ahly pale Cairo? tuachieni ujinga