Mamelodi Sundowns wako Overrated

Mamelodi Sundowns wako Overrated

Eeh Mungu baba, saidia hizi mbumbumbu zikutane kweli na wale wajukuu wa Mandela a.k.a Masandawana. Sisi tutakua mashuhuda wa janga litakalotokea!
 
Hao Raja waliowabaka tatu kwa Mkapa, wakikutana na Masandawana wanapigwa kama watoto wadogo.

Anyway, haina haja ya kuandikia mate. Yeyote mtakaepangiwa hapo robo fainali, anatosha kuwashikisha adabu!
 
Narudia tena kusema, sio kosa lako ..
 
Takwimu zinaonesha Al ahly wameruhusu magoli 7 kwenye ligi kwenye mechi 18 na hawajapoteza mchezo, wameruhusu magoli 8 Caf champions league na kati ya hayo magoli 7 wamefungwa na Mamelodi, ajabu humu chambuzi nzala wanasema al ahly ni wabovu ili kuwa downgrade Mamelodi Sundowns. Mamelodi ni kama Barcelona tu, atayewatoa ndio bingwa.
 
Hao Raja waliowabaka tatu kwa Mkapa, wakikutana na Masandawana wanapigwa kama watoto wadogo.

Anyway, haina haja ya kuandikia mate. Yeyote mtakaepangiwa hapo robo fainali, anatosha kuwashikisha adabu!
Tell her
 
Masandawana
IMG_20230322_021410.jpg
 

Habari wakuu

Awali ya yote ningependa ku-declare interest kuwa nawataka Masandawana. Twende kwenye mada, imezuka mijadala mingi sana mitandaoni hususani kwa baadhi ya wachambuzi wakisema kuwa Mamelodi sundowns sio timu ya kuomba kukutana nayo. Wengine wakaenda mbali zaidi kusema kuwa ndio timu hatari zaidi.

Binafsi naheshimu ubora wa Mamelodi, nilipata wasaa wa kutizama game zao mbili tatu hususani ile game yao ambayo walimpiga Al ahly hamsa pale Africa kusini. Naomba niseme tu kwamba Mamelodi wako Overrated mno.

Nadhani ni kwa sababu ya kumnyanyapaa Al ahly ndicho kinachofanya watu wamzungumzie kiutofauti, ambapo obviously hajaanza leo toka kitambo al ahly anapotua Johannesburg basi Hamsa zina muhusu.

Lakini ni ukweli usiopingika kuwa al ahly pia msimu huu hayupo vizuri, kinacho mbeba ni uzoefu tu ila hana timu, nisingeshangaa angepigwa nje ndani na mnyama simba kama angepangwa group moja.

Turudi sasa kwenye mada yetu, Mamelodi sundowns pamoja na kuwa Overrated sana bado hana mpira wa kutisha, nachelea kusema kuwa hata Raja CA ni maji marefu kwa Mamelodi. Kingine nilichokiona kwa Mamelodi ni aina yao ya uchezaji ambao uko very identical na uchezaji wa simba yani pira biriani a.k.a Sambaloketo.

Hivyo ikitokea timu hizi mbili zikakutana, basi Africa na Dunia kiujumla itashuhudia mechi ya karne, yani historical match, hivyo niwatoe hofu wanasimba wenzangu ambao mmeanza kutishika na maneno ya waganga njaa kuhusu Mamelodi sundowns.

Binafsi sintoshangaa kabisa kama simba akimtoa Sundowns kwenye hatua ya Robo fainali au hatua yoyote tutakayo kutana nae.

Nguvu moja [emoji881]
Mimi ni shabiki mwenzako wa Simba, tena mm ni zaidi yako mkuu naweza kukuwekea uthibitisho hapa uone ghetto langu lilivyojaa bidhaa za msimbazi lkn mkuu kwenye ukweli tuuseme tu Mamelody hatumuwezi hata akipanga kikosi cha pili.

Hata unaposema pira biriani siku hizi halipo msimbazi limeenda kwa wenzetu Yanga, kuona ni kuamini mkuu na mpira unachezwa uwanjani kila mtu anaona, hawa mamelody kama wangekutana na watani zetu Yanga angalau kungekuwa na la kuongea lkn sio sisi, Simba hatuna timu mwaka huu zile goli saba zisituvimbishe kichwa tukajiona tupo juu mkuu, goli saba tuliwafunga vipofu wale hawana uwezo.
 
Back
Top Bottom