Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Tunaongelea simba na mamelodi mambo ya arsenal au city yanatoka wapiMkuu Arsenal, Man city, Tottenham zote ni timu kubwa barani ulaya ila hawana kombe la Uefa,,..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaongelea simba na mamelodi mambo ya arsenal au city yanatoka wapiMkuu Arsenal, Man city, Tottenham zote ni timu kubwa barani ulaya ila hawana kombe la Uefa,,..
Mlipita mlichukua kombe kwani2018 tulipita mbele ya Al ahly na Js Soura, wale walikuwa ni wasukuma sio ?
Ni kweli sijui mpira ila maelezo yanajitoshelezaMpira mchezo wa wazi mkuu,, labda kama hujui mpira
Tell herHao Raja waliowabaka tatu kwa Mkapa, wakikutana na Masandawana wanapigwa kama watoto wadogo.
Anyway, haina haja ya kuandikia mate. Yeyote mtakaepangiwa hapo robo fainali, anatosha kuwashikisha adabu!
Kwa hiyo Simba ni bora kuliko Raja?Jiulize kwa nini Raja hakumchapa Horoya 7 ila Simba akamchapa 7 Horoya?
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Misimu ya hivi karibuni (karibia mitano), wamekuwa wakiishia robo fainali kama Simba Sc tu, tangu achukue kombe 2016.Inawezekana kabisa akaishia nusu fainali kama ambavyk amekua akifanya misimu ya hivi karibuni
Ile yule mwenye mdomo mwekundu asioweza kuuziba muda wote ndio mchezaji mzuri?Sio kwa wachezaji hawa ase, hawa kina Chama anaekimbia upande upande kama kachezewa spika?
Nguvu moja...Binafsi sintoshangaa kabisa kama simba akimtoa Sundowns kwenye hatua ya Robo fainali au hatua yoyote tutakayo kutana nae.
Nguvu moja![]()
Mimi ni shabiki mwenzako wa Simba, tena mm ni zaidi yako mkuu naweza kukuwekea uthibitisho hapa uone ghetto langu lilivyojaa bidhaa za msimbazi lkn mkuu kwenye ukweli tuuseme tu Mamelody hatumuwezi hata akipanga kikosi cha pili.
Habari wakuu
Awali ya yote ningependa ku-declare interest kuwa nawataka Masandawana. Twende kwenye mada, imezuka mijadala mingi sana mitandaoni hususani kwa baadhi ya wachambuzi wakisema kuwa Mamelodi sundowns sio timu ya kuomba kukutana nayo. Wengine wakaenda mbali zaidi kusema kuwa ndio timu hatari zaidi.
Binafsi naheshimu ubora wa Mamelodi, nilipata wasaa wa kutizama game zao mbili tatu hususani ile game yao ambayo walimpiga Al ahly hamsa pale Africa kusini. Naomba niseme tu kwamba Mamelodi wako Overrated mno.
Nadhani ni kwa sababu ya kumnyanyapaa Al ahly ndicho kinachofanya watu wamzungumzie kiutofauti, ambapo obviously hajaanza leo toka kitambo al ahly anapotua Johannesburg basi Hamsa zina muhusu.
Lakini ni ukweli usiopingika kuwa al ahly pia msimu huu hayupo vizuri, kinacho mbeba ni uzoefu tu ila hana timu, nisingeshangaa angepigwa nje ndani na mnyama simba kama angepangwa group moja.
Turudi sasa kwenye mada yetu, Mamelodi sundowns pamoja na kuwa Overrated sana bado hana mpira wa kutisha, nachelea kusema kuwa hata Raja CA ni maji marefu kwa Mamelodi. Kingine nilichokiona kwa Mamelodi ni aina yao ya uchezaji ambao uko very identical na uchezaji wa simba yani pira biriani a.k.a Sambaloketo.
Hivyo ikitokea timu hizi mbili zikakutana, basi Africa na Dunia kiujumla itashuhudia mechi ya karne, yani historical match, hivyo niwatoe hofu wanasimba wenzangu ambao mmeanza kutishika na maneno ya waganga njaa kuhusu Mamelodi sundowns.
Binafsi sintoshangaa kabisa kama simba akimtoa Sundowns kwenye hatua ya Robo fainali au hatua yoyote tutakayo kutana nae.
Nguvu moja [emoji881]