Mamelodi Sundowns wako Overrated

Mamelodi Sundowns wako Overrated

Mamelodi kibongo bongo ana jina kubwa na anasifiwa na wachambuzi kuliko ubora wake katika michuano ya Africa.

Simba ana nafasi kubwa sana ya kupita akipangiwa Mamelodi.

Ila simba ana nafasi ndogo sana ya kupita kama akipangiwa Wydad , Esperence ama Raja Casablanca.
Mbaya zaidi wengi wao hata mpira hawaangalii ila nao wanafuata tu mkumbo na kusifia ujinga
 
Mamelodi kibongo bongo ana jina kubwa na anasifiwa na wachambuzi kuliko ubora wake katika michuano ya Africa.

Simba ana nafasi kubwa sana ya kupita akipangiwa Mamelodi.

Ila simba ana nafasi ndogo sana ya kupita kama akipangiwa Wydad , Esperence ama Raja Casablanca.
Mwondoe Raja hapo maana hawezi akakutana na mnyama Robo fainali labda nusu fainali
 
Sawa mkuu
Habari wakuu

Awali ya yote ningependa ku-declare interest kuwa nawataka Masandawana. Twende kwenye mada, imezuka mijadala mingi sana mitandaoni hususani kwa baadhi ya wachambuzi wakisema kuwa Mamelodi sundowns sio timu ya kuomba kukutana nayo. Wengine wakaenda mbali zaidi kusema kuwa ndio timu hatari zaidi.

Binafsi naheshimu ubora wa Mamelodi, nilipata wasaa wa kutizama game zao mbili tatu hususani ile game yao ambayo walimpiga Al ahly hamsa pale Africa kusini. Naomba niseme tu kwamba Mamelodi wako Overrated mno.

Nadhani ni kwa sababu ya kumnyanyapaa Al ahly ndicho kinachofanya watu wamzungumzie kiutofauti, ambapo obviously hajaanza leo toka kitambo al ahly anapotua Johannesburg basi Hamsa zina muhusu.

Lakini ni ukweli usiopingika kuwa al ahly pia msimu huu hayupo vizuri, kinacho mbeba ni uzoefu tu ila hana timu, nisingeshangaa angepigwa nje ndani na mnyama simba kama angepangwa group moja.

Turudi sasa kwenye mada yetu, Mamelodi sundowns pamoja na kuwa Overrated sana bado hana mpira wa kutisha, nachelea kusema kuwa hata Raja CA ni maji marefu kwa Mamelodi. Kingine nilichokiona kwa Mamelodi ni aina yao ya uchezaji ambao uko very identical na uchezaji wa simba yani pira biriani a.k.a Sambaloketo.

Hivyo ikitokea timu hizi mbili zikakutana, basi Africa na Dunia kiujumla itashuhudia mechi ya karne, yani historical match, hivyo niwatoe hofu wanasimba wenzangu ambao mmeanza kutishika na maneno ya waganga njaa kuhusu Mamelodi sundowns.

Binafsi sintoshangaa kabisa kama simba akimtoa Sundowns kwenye hatua ya Robo fainali au hatua yoyote tutakayo kutana nae.

Nguvu moja [emoji881]
Sawa mkuu mtawatoa mamelod mkipangwa nao kwa ubora wa kikosi chenu sioni mamelod akivuka mbele yenu kikubwa ni kuendelea kumuheshimu Rage!
 
Mamelodi kibongo bongo ana jina kubwa na anasifiwa na wachambuzi kuliko ubora wake katika michuano ya Africa.

Simba ana nafasi kubwa sana ya kupita akipangiwa Mamelodi.

Ila simba ana nafasi ndogo sana ya kupita kama akipangiwa Wydad , Esperence ama Raja Casablanca.
Ni bora ufiche ujinga wako, hujui mpira, Raja wanapangwa vipi na Simba wakati wapi kundi moja?
 
Sawa mkuu

Sawa mkuu mtawatoa mamelod mkipangwa nao kwa ubora wa kikosi chenu sioni mamelod akivuka mbele yenu kikubwa ni kuendelea kumuheshimu Rage!
Na kuuheshimu mpira kiujumla.
 
Mamelodi msimu uliopita alitolewa na petro ambaye kaishia makundi msimu huu
Ungekuwa kundi la petro ungetoboa mbele ya Wydad na Beloizdad? Waarabu wawili
 
Mechi za mamelody zote nmeangalia mpira walioucheza Cairo ungeuona usingeongea

Mechi zake na timu ya Al ahly tu ndio huwa factor ya kumpima mamelodi?

Mamelodi kwa sifa zake zote hizo amewai kutwaa ubingwa wa Caf mara ngapi ?

Na pia mamelodi amewai kufika nusu fainali mara ngapi ?

Tunaomb rekodi zake za kufika hizo stage caf za miaka yote toka timu ya mamelodi imeanzishwa mpaka leo ili tujue kama ni mkali ama yupo over rated.

Mamelodi amewai mfunga waydad ?

Mamelodi amewai mfunga esperence ?

Mamelodi amewai mfunga raja casablanca ?

Mfano mwaka huu Liverpool kamfunga man utd 7 - 0, ndio tuseme liverpool anatisha level ya kutwaa ubingwa sababu kamfunga utd goli 7
 
Al ahly na Mamelodi wana visasi vyao hivyo ni kawaida yao kukamiana..

Muulize haya maswali

Mamelodi kwa sifa zake zote hizo amewai kutwaa ubingwa wa Caf mara ngapi ?

Na pia mamelodi amewai kufika nusu fainali mara ngapi ?

Akikupa majibu utajua mamelodi yupo over rated
 
Back
Top Bottom