Mamelodi Sundowns wako Overrated

Mamelodi Sundowns wako Overrated

Muulize haya maswali

Mamelodi kwa sifa zake zote hizo amewai kutwaa ubingwa wa Caf mara ngapi ?

Na pia mamelodi amewai kufika nusu fainali mara ngapi ?

Akikupa majibu utajua mamelodi yupo over rated
Inawezekana kabisa akaishia nusu fainali kama ambavyk amekua akifanya misimu ya hivi karibuni
 
Ni bora ufiche ujinga wako, hujui mpira, Raja wanapangwa vipi na Simba wakati wapi kundi moja?
Je Wasipopangwa nusu hawawezi kukutana?

Huoni hapo nimetaja timu 4 zote zilizoongoza makundi. Ili ufike fainali unawez kukutana na yeyote katika waliobaki
 
Inawezekana kabisa akaishia nusu fainali kama ambavyk amekua akifanya misimu ya hivi karibuni

Ni Lini amefika nusu fainali katika hiyo misimu ya hivi karibuni ?

Taja mwaka gani amefika nusu fainali ili tujue hiyo misimu ya hivi karibuni yukoje
 
Unafungwa na Kaizer na Orlando una mtaka Mamelody[emoji16]
Hahahaha
20230225_102450.jpg
 
Habari wakuu

Awali ya yote ningependa ku-declare interest kuwa nawataka Masandawana. Twende kwenye mada, imezuka mijadala mingi sana mitandaoni hususani kwa baadhi...
Tushajua mshabiki unajifariji
 
Ni Lini amefika nusu fainali katika hiyo misimu ya hivi karibuni ?

Taja mwaka gani amefika nusu fainali ili tujue hiyo misimu ya hivi karibuni yukoje
Kwani alitolewa na petro kwenye raundi gani ?
 
Mechi zake na timu ya Al ahly tu ndio huwa factor ya kumpima mamelodi?

Mamelodi kwa sifa zake zote hizo amewai kutwaa ubingwa wa Caf mara ngapi ?

Na pia mamelodi amewai kufika nusu fainali mara ngapi ?

Tunaomb rekodi zake za kufika hizo stage caf za miaka yote toka timu ya mamelodi imeanzishwa mpaka leo ili tujue kama ni mkali ama yupo over rated.

Mamelodi amewai mfunga waydad ?

Mamelodi amewai mfunga esperence ?

Mamelodi amewai mfunga raja casablanca ?

Mfano mwaka huu Liverpool kamfunga man utd 7 - 0, ndio tuseme liverpool anatisha level ya kutwaa ubingwa sababu kamfunga utd goli 7
Simba ametwaa kombe la CAF mara ngapi
 
Simba ametwaa kombe la CAF mara ngapi

Simba hajawai kutwaa kombe la caf.

Hio haiondoi ukweli kwamba mamelodi hana mpira wala mafanikio kuliko wenzake waliiongoza makundi . Ambao ni esperence, waydad na raja casablanca..

Simba na mamelodi wamezidiana kidogo sana kimafanikio caf.. tofauti na simba alivyozidiwa mbali na esperence, raja, na waydad.

Ni sahihi simba kumtaka mamelodi maana ndio mnyonge kuliko hao wengine
 
Tema mate chini mkuu, Simba hii tutapigwa kama ngoma na mamelody

Binafsi namuomba esperance de tunis.
 
Back
Top Bottom