FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Habari za mda huu wakubwa
Leo itakuwa mechi ya ki historia apo BONDENI
ALAHALY CAIRO watakuwa wageni wa mamelody sundown MASANDAWANA
ikimbukwe mechi ya kwanza al ahaly alilazimisha sare akiwa kweke je leo kipi kitampata?
Wapenzi wa simba na yanga kaeni kitako muangalie mpira safi kutoka vijana wa MAMELODY
MAIULA uyu ata Manchester United anaaza winger ya Antony
PETER SHALULILR anacheza number 9 ya nunez Liverpool
NEO MAEMA ukimuangalia kwa umakini unaweza mkataa Martin odergard wa arsenal
Leo itakuwa mechi ya ki historia apo BONDENI
ALAHALY CAIRO watakuwa wageni wa mamelody sundown MASANDAWANA
ikimbukwe mechi ya kwanza al ahaly alilazimisha sare akiwa kweke je leo kipi kitampata?
Wapenzi wa simba na yanga kaeni kitako muangalie mpira safi kutoka vijana wa MAMELODY
MAIULA uyu ata Manchester United anaaza winger ya Antony
PETER SHALULILR anacheza number 9 ya nunez Liverpool
NEO MAEMA ukimuangalia kwa umakini unaweza mkataa Martin odergard wa arsenal