Uchaguzi 2020 Mamia wajitokeza kumdhamini Tundu Lissu Bariadi Mkoa wa Simiyu

Uchaguzi 2020 Mamia wajitokeza kumdhamini Tundu Lissu Bariadi Mkoa wa Simiyu

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chadema Mhe. Tundu Lissu akiwa ameambatana na Mgombea Mwenza Mhe. Salum Juma Mwalim, akizungumza na Wananchi wa Bariadi Mkoa wa Simiyu waliofika kwa ajili ya kumdhamini, leo Alhamis, Agosti 13, 2020.

1597310203348.png

1597310243801.png

 
Sasa hivi wapo wamejifungia wanatunga sheria nyingine za kuudhibiti upinzani baada ya mbinu zao za mwanzo kukwama
Majina na namba za simu za Wanachama wa vyama vya siasa lazima yawasilishwe kwa Msajili vya vyama
 
[emoji3577], Nimetazama ziara zake Tena Jana nilitaka niropoke kitu nikanyamaza. Leo nimegundua Jambo flan. Nimependa sana team iko vizuri. Fatilia ziara zake toka ameenda tume Kuna kitu utagundua
Mi nilichogundua ni kubadili aina ya gari Kila siku
 
Back
Top Bottom