Robati
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 701
- 685
Alishindwa kumnunua ndio sababu akaamua kumchapa zile mvua za risasi, mchana kweupe. JPM katili sana.Hawa ndo watu Meko alitakiwa awanunue ili waunge mkono juhudi, badala yake eti kawanunua akina Silinde na Lijualikali.