Sasa hivi wapo wamejifungia wanatunga sheria nyingine za kuudhibiti upinzani baada ya mbinu zao za mwanzo kukwamaUpinzani umekufa 2020, alisikika mlevi mmoja.
Mkuu inaonekana wewe una macho makali kuliko ya usaKwa picha hii Kuna mbinu flani nimeiona anatumia lisu juu ya usalama wake nimefurahi. Go lisu go
Lazima jiwe aombe pooNa hapo kampeni bado. Hii ngoma si mchezo mwaka huu.
Kabisa kabisa.Huyu jamaa alivyosalimika toka risasi 16 zilizopenya kwenye mwili wake nilijua kuna Mpango wa Mungu....haya tunayoyaona ni maandalizi ya yale mambo makubwa aliyokusudiwa.....
✌️, Nimetazama ziara zake Tena Jana nilitaka niropoke kitu nikanyamaza. Leo nimegundua Jambo flan. Nimependa sana team iko vizuri. Fatilia ziara zake toka ameenda tume Kuna kitu utagunduaMkuu inaonekana wewe una macho makali kuliko ya usa
Anajiharishia mda huu.Upinzani umekufa 2020, alisikika mlevi mmoja.
Majina na namba za simu za Wanachama wa vyama vya siasa lazima yawasilishwe kwa Msajili vya vyamaSasa hivi wapo wamejifungia wanatunga sheria nyingine za kuudhibiti upinzani baada ya mbinu zao za mwanzo kukwama
kwa hiyo pesa yetu ulienda bure kwa usajili mbovu?. [emoji53][emoji53]Hawa ndo watu Meko alitakiwa awanunue ili waunge mkono juhudi, badala yake eti kawanunua akina Silinde na Lijualikali.
Mi nilichogundua ni kubadili aina ya gari Kila siku[emoji3577], Nimetazama ziara zake Tena Jana nilitaka niropoke kitu nikanyamaza. Leo nimegundua Jambo flan. Nimependa sana team iko vizuri. Fatilia ziara zake toka ameenda tume Kuna kitu utagundua