Alishindwa kumnunua ndio sababu akaamua kumchapa zile mvua za risasi, mchana kweupe. JPM katili sana.Hawa ndo watu Meko alitakiwa awanunue ili waunge mkono juhudi, badala yake eti kawanunua akina Silinde na Lijualikali.
CHADEMA ni mpango wa munguMgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chadema Mhe. Tundu Lissu akiwa ameambatana na Mgombea Mwenza Mhe. Salum Juma Mwalim, akizungumza na Wananchi wa Bariadi Mkoa wa Simiyu waliofika kwa ajili ya kumdhamini, leo Alhamis, Agosti 13, 2020.
Mkuu nimegee siri ata PM[emoji3577], Nimetazama ziara zake Tena Jana nilitaka niropoke kitu nikanyamaza. Leo nimegundua Jambo flan. Nimependa sana team iko vizuri. Fatilia ziara zake toka ameenda tume Kuna kitu utagundua
Chini ya ushauri wa Chaubanga, alinunua VIHEREHEREHawa ndo watu Meko alitakiwa awanunue ili waunge mkono juhudi, badala yake eti kawanunua akina Silinde na Lijualikali.
Tuendelee kumuombea[emoji3577], Nimetazama ziara zake Tena Jana nilitaka niropoke kitu nikanyamaza. Leo nimegundua Jambo flan. Nimependa sana team iko vizuri. Fatilia ziara zake toka ameenda tume Kuna kitu utagundua
Unajua watu wa Kanda ya Ziwa, ni watu wema sana na wenye huruma sana. Umati huo umetoka kuja kumuona mtu aliyepigwa risasi na kupona, ni kwa mapenzi tu. Umati huo ni wale wanaoshanga lile tukio, siyo hao watakao piga kura come 28th October, 2020.Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chadema Mhe. Tundu Lissu akiwa ameambatana na Mgombea Mwenza Mhe. Salum Juma Mwalim, akizungumza na Wananchi wa Bariadi Mkoa wa Simiyu waliofika kwa ajili ya kumdhamini, leo Alhamis, Agosti 13, 2020.
Safi sana.Hahahahahaaaaaaaaa Kumbe!
Roho ngumu hii umerithi kwa shetani mwenyewe
Msajili ataweza kuwapigia wote kuhakikisha?Majina na namba za simu za Wanachama wa vyama vya siasa lazima yawasilishwe kwa Msajili vya vyama
Unadhani watazidi hapo?Na hapo kampeni bado. Hii ngoma si mchezo mwaka huu.
Unataka umfanyeje?Mkuu nimegee siri ata PM
Sijui na yule mlevi mwingine anaitwa shibuda,na yule Mataga anaitwa UTAMBI/katambi wanasemaje?Upinzani umekufa 2020, alisikika mlevi mmoja.
Unataka kusema wananchi wote hao ni wajinga?13 August 2020
Bariadi, Tanzania
Tundu Antipas Lissu awashukuru wana wa Bariadi
Magufuli kasema mkichukua nchi mtavunja madaraja. .. phd thinkingUpinzani umekufa 2020, alisikika mlevi mmoja.
Akili mbovu zilitumikaHawa ndo watu Meko alitakiwa awanunue ili waunge mkono juhudi, badala yake eti kawanunua akina Silinde na Lijualikali.