Mateso chakubanga
JF-Expert Member
- May 10, 2021
- 587
- 800
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha za inaonekana lakini ai wamepanga foleni ya kulipia umeme??Yaani source ni ya huyuhuyu Ibra Rabhi mwenye chuki kuu dhidi ya Israel!!??
Mtahangaika sana wafuasi wa baba wa uongo.
Wamepewa information na wenzao vipi Base za Israel zilivyo chakazwa, Israel angetuonyesha hizo base.Haya majitu ni makatili lakini wakati huo ni maoga ya kufa balaa.
Naomba tuenyeshe na picha za bezi zilizo tandikwa na magobole ili tuthaminishe athari iliyopatikana.😂🙏🙏Wengi hawakuamini nchi yao kumbe haina uwezo wowote wa maana, haya magobole yote yalipigwa chini kizembe sana, ina maana Iran kwa sasa iko uchi...
![]()
Ndio ajabu sasa, yenyewe yanaogopa kufa ila kuua wengine yanapendaHaya majitu ni makatili lakini wakati huo ni maoga ya kufa balaa.
🤣🤣 hayo kama makuku ya kisasaHaya majitu ni makatili lakini wakati huo ni maoga ya kufa balaa.
Hiyo ni booster huwa inakua separate wakati warhead inaenda kulenga target 🎯 nenda shule we mkunya ufute ujinga.Wengi hawakuamini nchi yao kumbe haina uwezo wowote wa maana, haya magobole yote yalipigwa chini kizembe sana, ina maana Iran kwa sasa iko uchi...
![]()
hakuna cha kama unapesa au masikini kila mtu anajali maisha yake.Kama una pesa hata kama unajua nchi Yako itashinda ni vyema kuhama, ila kama unajua itapigwa ni Bora kukaa ili uongezee nguvu,Ile kizalendo
maskini ya Mungu waisrael nao wamekuwa wakimbizi kama wa congo na burundi,kweli malipo hapa hapa ku-duniaKutokana na mgogoro mkubwa ulioibuka kati ya Iran na Israel pia uvamizi wa makombora na drones za Iran ndani ya ardhi ya israel kumekua na hofu kwa raia wa Israel hivyo kuikimbia nchi yao
Picha za inaonekana lakini ai wamepanga foleni ya kulipia umeme??