Mamlaka husika fanyieni utafiti haya malori aina ya FUSO

Mamlaka husika fanyieni utafiti haya malori aina ya FUSO

Utafiti wa kutosha ufanyike kuhusiana na mwenendo wa haya maliri jamii ya FUSO!!!
Magari haya yamekuwa ni chanzo kikubwa sana cha ajali zinazo poteza maisha ya watanzania wengi!! Yan kama utasafiri usiku ndio utaona namaanusha nn!?? Mwendo wa haya magari sio mchezo ni hatari sana kwa watumiaji wengine wa barabara!!!aina ya madereva wa Fuso ni watu waliojitoa mhanga kwa kweli!! Pia ni watumiaji wazuri sana wa bangi ,mirungi ,k vant ,gongo nk!!! Wamekuwa ni chanzo kikubwa cha ajali!
Pili Haya malori ni tani nne lakini hayo mabodi ya fuso ( ambayo yamejengwa hapa Tanzania) yanabeba mpaka tani 12!!! Au zaidi !! Hii ni hatari mno!! Hasa kwenye mifumo ya break!!! Fuso nyingi huanguaka au kugonga sababu ni ujazo mkubwa unao sababisha break kufeil !!
Ajali zipo lakini umeona semi zimeongezewa Trailer Ndogo au ukisafiri unaangalia Fuso Tu!!!..Ajali siyo Gari ni Madereva wenu!!..
 
Fuso zizuiwe tabia ya kuongeza body urefu kwenda juu na zbak vipis kma znavyotoka kiwandani, maana inasababisha boss anaweka mzigo wake uliozidi uwezo wa gari na dereva akiona nafas kdogo anaongeza na mzigo wake huko barabaran mwsho wa siku gar inatembea inayumba barabara nzima tunao safir usik nafkiri huwa tunaziona vzur kabsa gar inayumba balaa
Wewe acha kupanda Malorry panda Basi kwenye safari zako!!
 
Wazee wa zzziiiiii chaaaaa zzziiiiiii chaaaa zzziiiiii chaaaaaa, na kuchafua cabin kwa stickers, wamiliki wa fuso wananatakiwa wazuiwe hii tabia ya kuongeza ukubwa wa body huko nyuma na zbak vpis kma znavyotoka kiwandani.
Waambie Tanroads kwenye Mizani hawapimi vizuri kwasababu hizi Gari lazima zipite Mizani!!..wewe unaona zimezidisha lakini serikali inaona Bado!!
 
Sidhani kama umemuelewa mtoa mada. Ukweli kwamba fuso la tani 5 kubeba tani 15 unajifanya hujui? Bodi zinafanyiwa modification na kuweza kubeba mzigo mkubwa kwa madai kwamba engine za hizi gari zina nguvu, bila kuzingatia uwiano wa uzito na bodi ya gari katika ile Centroid( centre of mass) na vitu kama hivyo.
Serikali inasemaje!!!.. Mizani vipi?!!..kuna vitu Mnajifanya mnajua sana!!..Pandeni mabasi mkiwa mnasafiri muache kudandia Malorry
 
Mkuu juma kuna namna wanayatengeneza hapa tanzania wanaongeza uwezo wa gari kubeba mzigo nafikiri ni hao wamatumbi unaosema(natania). Sasa shida huwa gari inakuwa inalemewa na mzigo ambao ni mkubwa kwake kwa tunaosafiri hasa usiku utaona ni jinsi gani hizo gari haziwezi kutulia barabaran hasa ukiwa unaifata kwa nyuma utagundua hiyo shida.
Hizi Fuso ni kwaajili ya light cargo!!.. Ikifika Bongo nyingi wanaziongezea chases..alafu wengine wanaweka na diff nyingine!!.. ukiangalia uzito wa gari na engine capacity yake ni vitu 2 tofauti!!..Ndio maana unaona huko kwenye Mizani zinapita bila mashaka kabisa!!..Gari yenye uzito wa 3/4/5 Tones ,hii inaweuzo wa kubabe 10/12/15 Tones!!..Hawa wa Tandam ndio kiboko hawa Hadi 20/22/24 Tones wanabeba!!.. Tatizo hapa siyo Magari kwasababu Serikali inaruhusu na sio kwamba yamezidisha uzito!!!...Madereva wetu ndio shida tuache kupotosha kuhusu Hizi Fuso/Isuzu/Hino na Nissan ni Gari nzuri na zinafanya Kazi kubwa kwenye uchumi wetu!!..
 
Fuso zizuiwe tabia ya kuongeza body urefu kwenda juu na zbak vipis kma znavyotoka kiwandani, maana inasababisha boss anaweka mzigo wake uliozidi uwezo wa gari na dereva akiona nafas kdogo anaongeza na mzigo wake huko barabaran mwsho wa siku gar inatembea inayumba barabara nzima tunao safir usik nafkiri huwa tunaziona vzur kabsa gar inayumba balaa
Kwa sheria za TANROADS uzidishe gari unadhani utatoboa kweli ndugu yangu? Hata misugusugu hufiki😂😂


Tena katika nchi zina she ria za hovyo SADC yote Tz inaongoza. Trela zenyewe za semi tunatembea nchi zaidi ya 4 vizuri ila TANROADS wanakwambia ABNORMAL LOAD sembuse wawaache was Fuso
 
Stability inapungua kwa kuongeza urefu wa body kwenda juu
Brake pad zinazotengenezwa kuhimili mzigo tani 6 unakumbana na tan 10 ndio maana brake pad za fuso Huwa zinakwisha mapema mno pili mfumo wa biashara bongo Bado koz hata wamiliki hawaoni huruma Kwa gari zao engine D17 mfano imetengenezwa maybe kuvuta tani 8 ww unaongeza axle kuwa tandamu engine Ile Ile GIA box Ile Ile inavuta tan 15 au 17 yaan Iman yangu inaniambia fuso ni gari Bora sana ukifuata matumizi yalivoelekezwa. Fuso zinaonewa sana
 
Alfajiri ya leo, maelezo ya mashuhuda saa 9 usiku eneo la Kanisa la sabato Dodoma, Barabara hii hutumika na magari yote ya transit, mpaka muda huu wahusika hawajatoa magari haya kitu ambacho kinaweza sababisha ajali nyingine
IMG20210912084117.jpg
 
Sidhani kama umemuelewa mtoa mada. Ukweli kwamba fuso la tani 5 kubeba tani 15 unajifanya hujui? Bodi zinafanyiwa modification na kuweza kubeba mzigo mkubwa kwa madai kwamba engine za hizi gari zina nguvu, bila kuzingatia uwiano wa uzito na bodi ya gari katika ile Centroid( centre of mass) na vitu kama hivyo.
Asante sana umeniekewa !!! Wengi wamekurupuka hawaelewi !!! Ila nakuapia hizi gari ni chanzo kikubwa cha ajali
 
Kwa hiyo trafiki hawazioni fuso zinazofungasha mabehewa kuliko uwezo wa mifumo yake, kama ni rahisi hivyo kufanya modification gari iweze kuvuta uzito mkubwa, leo hii baby walker ingeweza kufungiwa trela la tani 7......
 
Brake pad zinazotengenezwa kuhimili mzigo tani 6 unakumbana na tan 10 ndio maana brake pad za fuso Huwa zinakwisha mapema mno pili mfumo wa biashara bongo Bado koz hata wamiliki hawaoni huruma Kwa gari zao engine D17 mfano imetengenezwa maybe kuvuta tani 8 ww unaongeza axle kuwa tandamu engine Ile Ile GIA box Ile Ile inavuta tan 15 au 17 yaan Iman yangu inaniambia fuso ni gari Bora sana ukifuata matumizi yalivoelekezwa. Fuso zinaonewa sana
Kuna wakati zinaingia miaka ile ya 2000+ bima nyingi walisita kuzikatia comprehensive insurance wakiona body umeifanyia modification maana zilikuwa zinapiga chini mno
 
Back
Top Bottom