Mamlaka husika mchukulieni hatua huyu mzungu amewatukana dada zetu wa Kitanzania na Watanzania kwa ujumla

Mamlaka husika mchukulieni hatua huyu mzungu amewatukana dada zetu wa Kitanzania na Watanzania kwa ujumla

Hayana lolote hayo mazungu. Tatizo yakija Africa yanapapatikiwa na dada zetu. Yani yamechoka balaa. Ikitokea wamemleta demu kutoka bongo ulaya yani hata miezi mitatu haipiti demu anawatoroka nakuanza kujitegemea na kudharau. Yakijaga bongo yanakujaga na si zaidi ya 3000k usd tena ya kukopa hayana lolote hata sisi wanaume Niggers tumewazidi maisha na tunawagonga madem zao bila hata kuhonga.
Umemaliza kila kituuuuu,
Nimekupenda bure, mwaaaaah!
 
Mpaka sasa hivi najaribu kutafuta mantiki ya yeye kutahadharisha kwamba hii video inaweza kufukuza au kuathiri utalii hapa nchini sipati kabisa... au labda alikuwa anaamanisha utalii wa ngono ambapo hao sexual tourists wakiskia wadada wa huku wana magonjwa kibao ya zinaa wataacha kuja
Tatizo lako umejifungia huko mburahati kwa mfuga mbwa huwezi elewa dunia inaendaje, watu wanatoka mataifa ya mbali kutafuta wenza wa maisha TZ, hayo ya utalii wa ngono unawaza wewe mwenye akili fupi
 
Huyo mzungu kasema tu ukweli, huwa ni mchungu ila ndio ukweli.
 
Huyo mzungu kasema tu ukweli, huwa ni mchungu ila ndio ukweli.
Hahaha chukua hiyo.
20250227_104851.jpg
 
Mkuu unampa tu kama unayo. Mimi natoaga tu. Mmoja alinionaga Facebook akaanza mbali mimi nikamsubiria hadi anaomba. Akaniomba laki nikampa laki mbili hiyo ni baada tumevideo chat/call.

Kwa msichana akiniomba hela haizidi laki nampa tu. Ila dume maamaee kama nyau de adriz eti liniombe hela nalichinjia baharini huko. Yani unahustle halafu unakabidhi jasho lako kwa dume lingine maamaee nyangwisi Maarasmitayo
mwanangu,ata sijamwingizia sausage yangu nimpe ela!!!...mimi sio rugemalila bhana!!
 
Tatizo lako umejifungia huko mburahati kwa mfuga mbwa huwezi elewa dunia inaendaje, watu wanatoka mataifa ya mbali kutafuta wenza wa maisha TZ, hayo ya utalii wa ngono unawaza wewe mwenye akili fupi
Akili fupi? Matako ya bibi yako... karibu watu wote waliocomment hapa wamepingana na huu uzi wako, hii inaonesha kabisa umeandikwa na mtu mjinga, mpuuzi na asiyekuwa na akili hata kidogo anayechukia ukweli.

Kinachokusumbua hasa wewe binti ni usasa wa kipumbavvu na kujiona unaijua dunia wakati ni kapumbavu tu fulani ambaye unaendeshwa na fantasies.

Kwahiyo kwa vile huyo mzungu amewaharibia soko lenu la kupata madanga ya kizungu wewe na wadangaji wenzako wa hapa bongo, basi ndio unaamini eti hata sector yetu ya utalii itaathirika? Kwamba kinachowaleta hao watalii wa kizungu hapa nchini kwetu primarily ni kutafuta wenza wa maisha ambao ni nyie wadada wa kitanzania kisha ndio linakuja suala la kutalii sio? Jinga kabisa wewe na reasoning yako mbovu rudi shule kwanza...!!

Labda nikujuze tu wewe na wajinga wenzio wenye akili kama zako, sababu pekee zinazoweza kuathiri shughuli za utalii kwenye taifa lolote ni hali ya usalama wa taifa husika na sera za kiuchumi hapa hasa tunaongelea inflation... na sio sababu uliyoiweka kichwani mwako ya nyie wadangaji kuharibiwa soko
 
Wanaume pia mmenangwa na kusimangwa na kutukanwa umesikia? Shusha na essay nyingine kuhusu wanaume omba omba mliokandiwa hapo 😄
Hakuna haja ya kushusha essay kuhusu wanaume maana hakuna uongo kwenye hayo aliongea, hivyo basi ni suala la mwanaume yoyote mwenye sifa hizo kuacha mara moja.
 

View: https://youtu.be/9ebMOVI87h0?si=sJm0h1XJPQDVVuaQ

Jana nimetumiwa hiyo link na rafiki zangu ambao sio watanzania wakishtushwa na kukasirishwa na huyo mzungu akiwadhalilisha Watanzania hasa Wanawake,
Kwenye comments nimesikitishwa na baadhi ya wanaume wa Kitanzania wakimsapoti na kujichekesha chekesha kama fisi limeona fupa, mtu anaonesha ubaguzi wazi wazi kwa kuwaita Maskini, mna magonjwa ya zinaa, mnaomba omba, mnafake furaha na maisha bora n.k jitu linafurahi kisa hayo maneno kasema mzungu dah! naimagine huyo mzungu angekua amewasema hivyo Wasouth au Wanigeria sijui kama angekua anapumua sasa hivi,

Serikali inatumia billions of money kuita watalii Tanzania halafu watu kama huyu mzungu wanaongea uzushi na uongo ili kukimbiza watalii Tanzania, mtu kama huyu kwanini asifunzwe ili iwe fundisho kwa wageni wengine wakiwa nchini wafanye kilichowapeleka na sio kuongea uzushi na uongo kwenye mitandao?

(Hii tunaongea wenyewe kama familia) dada zetu wa Dar muwe na stara sisi tushawazoea kutuomba omba hela sasa akitokea mgeni mjikaze basi, wazungu hawajazoea kuombana ombana hela, tulia akupe mwenyewe, sio umekutana na mtu leo kesho unampa mkeka wa matatizo yako, kodi, bills, hospital, mama, wadogo zangu, acheni hizo mjishughulishe kama wenzenu wa mikoa mingine, mnawaponza wengine kwa makosa yenu, kadhalika kaka zetu ukitoka na mzungu usijibweteke bills zote alipe yeye jitutumie angalau hata mgawane nusu kwa nusu, unaweza ukasema nalipia vinywaji, lipia chakula au nalipia usafiri lipia chakula na vinywaji sio unajichekesha kesha tu ikija bill unavizia mwanaume mwenzio alipe haipendezi mbadilike!

Haya twendeni tukamshambulie huyo mzungu kwenye comments atukome waTZ.

Sijamsikiliza lkn kutokana na ulichoandika huenda yuko sahihi. Nasema haya kwa sababu wapo wanawake wanaojiuza,ombaomba na umasikini umetamalaki Africa ikiwemo Tanganyika.
 
Kasema;

1. Wanawake wa bongo wanajali sana hela - Kweli

2. Wanawake wa bongo wanavaa sana mawigi - Kweli

3. Wanawake wa bongo hawajali muda mnapokubaliana kukutana - Kweli

4. Wanawake wa bongo wanataka uhudumie ndugu zao ukiwa nao kwenye mahusiano - Kweli

5. Ni ngumu kufanya maongezi ya maana na mwanamke ambaye hajasoma/hajasafiri nje ya Tanzania - Kweli

Tena haya mambo atakuwa anayapitia zaidi kuliko wenyeji kwasababu ni mzungu. Hajadanganya.
Vyema sana mkuu.
 
Akili fupi? Matako ya bibi yako... karibu watu wote waliocomment hapa wamepingana na huu uzi wako, hii inaonesha kabisa umeandikwa na mtu mjinga, mpuuzi na asiyekuwa na akili hata kidogo anayechukia ukweli.

Kinachokusumbua hasa wewe binti ni usasa wa kipumbavvu na kujiona unaijua dunia wakati ni kapumbavu tu fulani ambaye unaendeshwa na fantasies.

Kwahiyo kwa vile huyo mzungu amewaharibia soko lenu la kupata madanga ya kizungu wewe na wadangaji wenzako wa hapa bongo, basi ndio unaamini eti hata sector yetu ya utalii itaathirika? Kwamba kinachowaleta hao watalii wa kizungu hapa nchini kwetu primarily ni kutafuta wenza wa maisha ambao ni nyie wadada wa kitanzania kisha ndio linakuja suala la kutalii sio? Jinga kabisa wewe na reasoning yako mbovu rudi shule kwanza...!!

Labda nikujuze tu wewe na wajinga wenzio wenye akili kama zako, sababu pekee zinazoweza kuathiri shughuli za utalii kwenye taifa lolote ni hali ya usalama wa taifa husika na sera za kiuchumi hapa hasa tunaongelea inflation... na sio sababu uliyoiweka kichwani mwako ya nyie wadangaji kuharibiwa soko
Unaona sasa!? ni mpumbavu pekee anayeweza kupaniki namna hii ndio maana mnatukanwa na kuburuzwa na hao wazungu choka mbaya mnajichekesha chekesha kama matahira,
Pyeeeeeeeeee kubwa jingaaaaaaaa hiloooooooo 🤣🤣🤣🤣

Nasubiri essay nyingine 🍿🥤
 

View: https://youtu.be/9ebMOVI87h0?si=sJm0h1XJPQDVVuaQ

Jana nimetumiwa hiyo link na rafiki zangu ambao sio watanzania wakishtushwa na kukasirishwa na huyo mzungu akiwadhalilisha Watanzania hasa Wanawake,
Kwenye comments nimesikitishwa na baadhi ya wanaume wa Kitanzania wakimsapoti na kujichekesha chekesha kama fisi limeona fupa, mtu anaonesha ubaguzi wazi wazi kwa kuwaita Maskini, mna magonjwa ya zinaa, mnaomba omba, mnafake furaha na maisha bora n.k jitu linafurahi kisa hayo maneno kasema mzungu dah! naimagine huyo mzungu angekua amewasema hivyo Wasouth au Wanigeria sijui kama angekua anapumua sasa hivi,

Serikali inatumia billions of money kuita watalii Tanzania halafu watu kama huyu mzungu wanaongea uzushi na uongo ili kukimbiza watalii Tanzania, mtu kama huyu kwanini asifunzwe ili iwe fundisho kwa wageni wengine wakiwa nchini wafanye kilichowapeleka na sio kuongea uzushi na uongo kwenye mitandao?

(Hii tunaongea wenyewe kama familia) dada zetu wa Dar muwe na stara sisi tushawazoea kutuomba omba hela sasa akitokea mgeni mjikaze basi, wazungu hawajazoea kuombana ombana hela, tulia akupe mwenyewe, sio umekutana na mtu leo kesho unampa mkeka wa matatizo yako, kodi, bills, hospital, mama, wadogo zangu, acheni hizo mjishughulishe kama wenzenu wa mikoa mingine, mnawaponza wengine kwa makosa yenu, kadhalika kaka zetu ukitoka na mzungu usijibweteke bills zote alipe yeye jitutumie angalau hata mgawane nusu kwa nusu, unaweza ukasema nalipia vinywaji, lipia chakula au nalipia usafiri lipia chakula na vinywaji sio unajichekesha kesha tu ikija bill unavizia mwanaume mwenzio alipe haipendezi mbadilike!

Haya twendeni tukamshambulie huyo mzungu kwenye comments atukome waTZ.


Ukitaka tuepukane na haya yote basi tuacheni kuomba omba, tuacheni chuki na kushikashika wanawake, nenda nchi za kiislamu kama utakutana na huu ujinga
 
Back
Top Bottom