Mamlaka naomba iunde kikosi maalumu kichunguze tukio la kupotea kwa Askari Emmanuelle Govella

Kwa hiyo Uniforms alikuwa anazivalia wapi?
 
Au ni miongoni mwa walioratibu zoezi la Lissu
 
Kwa hiyo Uniforms alikuwa anazivalia wapi?
Askari wengi sikuhizi hawavalii uniform nyumba za kupanga huwa wanaenda kuvalia kituoni shifti ikianza

Ila sasa sijajua wakifua wanaanika wapi? Au ni mwendo wa laundry shop tu
 
Babu yako genius

Kazi ya polisi ni kazi ya laana tupu.

Sitoshauri mwanangu aende huko afadhali jeshini ila sio polisi

Hao watu tangu enzi Yesu walikuwa wamejaa milaana ya kudhulumu watu haki zao rushwa na Mambo kedekede.

Sikiliza kuna mtu anaitwa Zirro anavyoongea utaelewa uwa polisi ni wapuuzi wapuuzi tu
 
Mungu amsaidie huko aliko sijui kakumbana na dhahma gani..lakin naona kuna maajabu hapo simu iwe hewan kwa siku zaid ya kumi tena hadi wasap? Au kuna alikua na hiyo simu alikua anasikilizia? Hiyo simu haikua na paswd? Kuna ujumbe wowote unaonyesha alichat kwa hizo siku?
 
Nowadays kuna ma askar kanzu wamefuga mizuzu na Wana sigda kama waswali sunaaa....

Ukionyeshwa hata huwazanii. Wala nini....save the date.
Nilishawahi kukutana nao,alitusimamisha kwenye gari kukagua maana gari yetu ilititia kidogo
 
kwa maelezo hayo,alikuwa anaishi double life,kuna jambo alikuwa anaficha na hatimaye wahusika wakfanikiwa kufungua codes
 
Ukimya wa mwajiri wake umebeba ujumbe ....
 
Umasikini ndio laana kubwa,wekeza nguvu huko kuuondoa.

Mungu alivyo wa ajabu,mwanao wa kike ataolewa na polisi,na ndiye pekee atakuwa anakutunza.
 
Hakika mkuu Kuna watu wanawaza ujinga wa siasa za maji taka muda wote wanafkiri kila mtu anahitaji masiasa siasa mtu kapotea badala ya kuchangia namna nini kifanyike yaani ni ccm v/s chadema+chuki basi ni upuuzi tu.

Ben saanane yuko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…