Mamlaka naomba iunde kikosi maalumu kichunguze tukio la kupotea kwa Askari Emmanuelle Govella

Mkuu Bado nasimamia nilichokueleza jambo ambalo pengine linaweza kufanywa na baadhi ya askari wachache haliwezi kuwa ni mpango wa jeshi.
 
Mpuuzi wa kiwango cha lami wewe unataka unataka nikuambie alipo wakati ndg zake wapo? Umerusha mada humu Jf members tumtafute? Polisi wenzie hawajui alipo kwanza naomba kujua jinsia yako maana inawezekana ni hawara yako kakukopa nenda chukua gwanda zake vaa kaweke barrier pale Maria de mathias uvune, acha shobo
Mkuu kwa vyovyote wewe ni pumbavu to the highest level,huna Cha kuchangia ZAIDI ya chuki pimbi!!!
 
Askari kupotea/ kufa sawa tu. Wale ni binadamu washenzi na wapuuzi sana
 
Jinga kweli aliyekuomba umtafute nani?
 
Jinga kweli aliyekuomba umtafute nani?
Mimi Kuna sehemu nimezungumzia kumtafuta insp? Aliyeleta Uzi ww kumtafuta niwe Mimi? Umeshindwa kumtafuta Dom na viunga vyake kwa haraka unaleta Jf alafu unabwatuka kumbe ww zwazwa tu, huna vyanzo vya maana vya kumpata, acha vyombo vya uchunguzi vifanye yao
 
Kama huna la kuchangia si upige kimya umbwa wewe
 
Ukifuatilia kwa umakini stori hii eneo la kuanza kufuatilia kupotea kwa huyo askari ni Yale mawasiliano yake ya mwisho yaani tarehe 25 June na 26 haijalishi hata kama ni askari wenzie.
 
Ukifuatilia kwa umakini stori hii eneo la kuanza kufuatilia kupotea kwa huyo askari ni Yale mawasiliano yake ya mwisho yaani tarehe 25 June na 26 haijalishi hata kama ni askari wenzie.
Kuna stori za vijiwe vya kahawa zinasema labda watumie mbwa maalumu kufuatilia harufu yake.
 
Ukifuatilia kwa umakini stori hii eneo la kuanza kufuatilia kupotea kwa huyo askari ni Yale mawasiliano yake ya mwisho yaani tarehe 25 June na 26 haijalishi hata kama ni askari wenzie.
Nilimuona tbc kamanda wa dodoma anasema wao watambua kama mtoro nikasema dodoma hawana kamanda.
 
Hakika huyu inspector hajapatikana mpaka leo huu ni mwezi wa tano anaelekea mwezi wa sita,nilimuona mama yake amalia muda wote anasema angalau hata waje waitupe maiti ya mwanae nje ya nyumba yake usiku amzike mwanae.dah maneno ya kukata tamaa!!
 
Huyo polisi aliyewasiliana nae mara ya mwisho, akiulizwa anajibu nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…