Mamlaka naomba iunde kikosi maalumu kichunguze tukio la kupotea kwa Askari Emmanuelle Govella

Mamlaka naomba iunde kikosi maalumu kichunguze tukio la kupotea kwa Askari Emmanuelle Govella

Hakika huyu inspector hajapatikana mpaka leo huu ni mwezi wa tano anaelekea mwezi wa sita,nilimuona mama yake amalia muda wote anasema angalau hata waje waitupe maiti ya mwanae nje ya nyumba yake usiku amzike mwanae.dah maneno ya kukata tamaa!!
Jambo linaumiza sana hili!
 
1636819664829.jpg

Huyo hapo
 
IGP SIRRO kapiga kimya swala hili kama hajui na ni mwezi wa 7 sasa huyu askari hajapatikana
 
Ina maana mpaka leo familia yake haina taarifa yoyote kuhusu ndugu yao

Ova
 
Mh rais nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kukupa Afya njema na kuweza kutekeleza vyema majukumu yako ya kitaifa,mh rais Nina ombi maalum kwako kama mwananchi wako ambaye nimeguswa Sana na tukio la kupotea kwa askari polisi Emmanuelle Govella wa kituo kidogo cha mtumba mji wa kiserikali hapa Dodoma.

Mimi ni jirani hapa Nkuhungu Dodoma na Nyumba ambayo polisi huyu alikuwa amepanga siku ambayo ndugu wa huyo polisi walifika na polisi wa kituo Cha kati dodoma kuvunja mlango ili kujua kwanini askari huyo hapatikani muda mrefu nilikuwepo karibu.

Ilikuwa kati ya tarehe 19| 20 mwezi huu wa saba baada ya kuingia ndani walikuta simu ikiwa na laini zake zote Mbili lakini pia walikuta wallet yake ikiwa na vitambulisho vyake vyote mpaka kadi ya benki pamoja na fedha tasrimu sikujua kiasi gani, namba yake 0768243998 inaonyesha alikuwa hewani mala mwisho ni tarehe 26june hata ukiangalia WhatsApp inaonyesha hivyo mpaka siku wanabomoa kwake zilisha pita siku 24 Sasa Kuna maswali najiuliza ni kweli kwamba askari anapotea ZAIDI ya wiki 3 bila wenzake kujua?

Ombi langu kwako MH RAIS uunde kikosi maalum kichunguze upoteaji wa askari huyu Emmanuel govella Mpaka Leo hii nakutumia maombi haya ni takribani mwezi mmoja na siku 5 askari huyu hajaonekana ,nakutakia majukumu mema na Mwenyezi Mungu akutangulie.

D16F38F5-EBBD-4099-BAD9-F6AB43B52CA2.jpeg
 
Ilikuwa kati ya tarehe 19| 20 mwezi huu wa saba baada ya kuingia ndani walikuta simu ikiwa na laini zake zote Mbili lakini pia walikuta wallet yake ikiwa na vitambulisho vyake vyote mpaka kadi ya benki pamoja na fedha tasrimu sikujua kiasi gani, namba yake 0768243998 inaonyesha alikuwa hewani mala mwisho ni tarehe 26june hata ukiangalia WhatsApp inaonyesha hivyo mpaka siku wanabomoa kwake zilisha pita siku 24 Sasa Kuna maswali najiuliza ni kweli kwamba askari anapotea ZAIDI ya wiki 3 bila wenzake kujua?
Pole, Mkuu kwa tukio hilo. Lakini Mkuu, weka vizuri mtiririko wa tarehe tuunganishe dots vizuri.
 
Kwa hiyo hata nguo alikuwa havai anapokwenda kazini
Unabeba kwenye begi unaenda kuvalia ofisini kwako au dressing rum popote pale au hutaki kunanguo zakuvaa hao wanaovaa mjini labda hawana nauli siunajua punguzo la nauli
 
Back
Top Bottom