IbnBattuta
Senior Member
- Feb 20, 2018
- 124
- 185
Wakuu Salaam,
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika.
Barabara tajwa hapo juu amekuwa mwiba mkubwa sana kwa usafiri kwa wakazi wa Ukonga maeneo yanayozunguka Kitunda. Barabara ina hali mbaya sana na inachangia kwa kiasi kikubwa sana kuharibu vyombo vya usafiri vya wakazi wa maeneo hayo na hata kuchangia adha ya usafiri.
Tunaomba mamlaka husika ziangalie kwa jicho pana hii barabara ili iweze kuwa msaada na si kero kwa wananchi.
Ibn Battuta
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika.
Barabara tajwa hapo juu amekuwa mwiba mkubwa sana kwa usafiri kwa wakazi wa Ukonga maeneo yanayozunguka Kitunda. Barabara ina hali mbaya sana na inachangia kwa kiasi kikubwa sana kuharibu vyombo vya usafiri vya wakazi wa maeneo hayo na hata kuchangia adha ya usafiri.
Tunaomba mamlaka husika ziangalie kwa jicho pana hii barabara ili iweze kuwa msaada na si kero kwa wananchi.
Ibn Battuta