Mamlaka ya Bandari (TPA) yatoa ufafanuzi kuhusu hali ya ajira za Watumishi wa Bandari ya Dar es Salaam

Hebu tueleze mkuu upogaji wa TPA ni upi!?
Mtu anayehusika na kuchukua kodi ni TRA hao TPA wanapiga madili gani!?
Au ndio hearsay
Hebu acha utaahira. Kila mara tunasiki kwenye vyombo vya habari wanaopelekwa mahakamani kutokea TPA kwa matumizi mabaya ya fedha huwa ni majini? Hata hapa JF search TPA utapata majibu ya swali lako. Pumbavu sana
 
Uwe unanitaja endapo umeandika point.
 
Sasa nafikiri kila mtanzania ameanza kuwaelewa TEC na Chadema,Dr Slaa na Mwambukusi!
 
Porojo porojo..mtu anakuambia unaweza kuondoka lkn hata usipotaka kuondoka baki tu..bado tunakuhitaji sehemu nyingine....kweli??Huu ni mtego...Kama mnawahitaji kwa nini mnawaambia waondoke..hao DPW si waajiri wa kwao wengine??
 
Haujui kitu ndio maana umeshindwa kusema huo upigaji.
TPA wanamishara mizuri ambayo hata mhudumu kuwa na gari sio ajabu. Posho zao zinatosha kuwa mshara wa mtu flani. Mtu yeyote wa bank anayetoa mikopo hawezi kusita kumpa mtu wa TPA
Sio kazi yangu kukuthibitishia maku kama wewe kuhusu huo upigaji. Fuatilia kwenye vyombo vya habari uone ni kesi ngapi kuhusu upigaji bandarini badala ya kubishana kingese hapa.
 
Maza anapiga pesa ya kampeni
 
Sio kazi yangu kukuthibitishia maku kama wewe kuhusu huo upigaji. Fuatilia kwenye vyombo vya habari uone ni kesi ngapi kuhusu upigaji bandarini badala ya kubishana kingese hapa.
Maku ni wewe, mama, na baba yako walio kuzaa.
Wewe first na trusted source yako no vyombo vya habari wakati mimi source yangu insider wa TPA no wonder umeshindwa kusema huo upigaji course hujui kitu.
 
Maku ni wewe, mama, na baba yako walio kuzaa.
Wewe first na trusted source yako no vyombo vya habari wakati mimi source yangu insider wa TPA no wonder umeshindwa kusema huo upigaji course hujui kitu.
Kama mama yako amekuwa insider wa TPA ndo itakuwa kweli. Shenz
 
Kama mama yako amekuwa insider wa TPA ndo itakuwa kweli. Shenz
Taja huo wizi wanaiba vipi kama huwezi kaa kimya.
Kama wewe ulikosa nafasi ya kuajiriwa TPA usijenge chuki komaa huko halmashauri pambana sana na uchawa utatoka kuwachukia haikusaidii kitu.
Hela yao ya uhamisho ni sawa na mafao yako ya kustaafu huko halmashauri
 
sio rahisi kwa ule mkataba mmh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…