Mamlaka ya Nidhamu iwafute uanachama Lissu, Heche & Lema kwa kumdhalilisha Mwenyekiti

Mamlaka ya Nidhamu iwafute uanachama Lissu, Heche & Lema kwa kumdhalilisha Mwenyekiti

Valencia_UPV

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2016
Posts
6,974
Reaction score
8,750
Hawa watu wamemdhalilisha Mwenyekiti hadharani. Wafutwe uanachama mapema Sana kabla haijamgharimu Mwenyekiti kwenye Uchaguzi Wajumbe wenyewe hawasomeki mpaka sasa
 
Kazi mnayo, mtakesha mkichambua kila alichoongea Lissu kwenye mdahalo leo.

Mwenyekiti wenu wa mapendano ndio bye bye.
 
Kazi mnayo, mtakesha mkichambua kila alichoongea Lissu kwenye mdahalo leo.

Mwenyekiti wenu wa mapendano ndio bye bye.
Mwenyekiti ana haha redio za huko Buza kakimbia mdahalo
 
Unadhani kila chama ni cha fomu moja na zidumu fikra za mwenyekiti?
 
Kwahy wajumbe hawasomeki halafu hao hao wajumbe ndio unataka wawaondoe hao watu uanachama? Una akili timamu kweli ww?
 
Kazi mnayo, mtakesha mkichambua kila alichoongea Lissu kwenye mdahalo leo.

Mwenyekiti wenu wa mapendano ndio bye bye.
Huyu mna mpango gani nae?
 

Attachments

  • IMG_0659.jpeg
    IMG_0659.jpeg
    507.2 KB · Views: 2
Hawa watu wamemdhalilisha Mwenyekiti hadharani. Wafutwe uanachama mapema Sana kabla haijamgharimu Mwenyekiti kwenye Uchaguzi Wajumbe wenyewe hawasomeki mpaka sasa
Wajumbe wamekula hela alafu wanataka wampe kura lisu kwa kweli hata mimi nisingekubali kutapelewa mara mbili..
 
Hawa watu wamemdhalilisha Mwenyekiti hadharani. Wafutwe uanachama mapema Sana kabla haijamgharimu Mwenyekiti kwenye Uchaguzi Wajumbe wenyewe hawasomeki mpaka sasa
chadema hakuna watu, kuna takataka eti ni senoir vionozi! Yooooooooooooooooote ni takataka
 
Hawa watu wamemdhalilisha Mwenyekiti hadharani. Wafutwe uanachama mapema Sana kabla haijamgharimu Mwenyekiti kwenye Uchaguzi Wajumbe wenyewe hawasomeki mpaka sasa
Ili iweje sasa, Mbowe kajidhalilisha mwenyewe kwa tamaa zake za kijinga. Atoke tu, hatumtaki tena.
 
Hawa watu wamemdhalilisha Mwenyekiti hadharani. Wafutwe uanachama mapema Sana kabla haijamgharimu Mwenyekiti kwenye Uchaguzi Wajumbe wenyewe hawasomeki mpaka sasa
 
Hawa watu wamemdhalilisha Mwenyekiti hadharani. Wafutwe uanachama mapema Sana kabla haijamgharimu Mwenyekiti kwenye Uchaguzi Wajumbe wenyewe hawasomeki mpaka sasa
Lese Majeste is so outdated.
 
Kazi mnayo, mtakesha mkichambua kila alichoongea Lissu kwenye mdahalo leo.

Mwenyekiti wenu wa mapendano ndio bye bye.
Ukiona Mbowe kaondoka Chadema uje na Chadema HAIPO tena. Kwani Maalim Seif alpoondoka CUF, ilibaki?
 
Back
Top Bottom