Mamlaka za uteuzi tafadhali mturudishie Lukuvi Wizara ya Ardhi

Mamlaka za uteuzi tafadhali mturudishie Lukuvi Wizara ya Ardhi

Escrowseal1

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2014
Posts
4,618
Reaction score
4,605
Waliokalia hii wizara moyo wa nchi wako wapi hatuwaoni wakihangaika na migogoro iliyosheheni wizara hii bali tunaanza kuona rejuvination ya viongozi wakiandamana na wale watu waliojitokeza awamu ya nne na kujitwalia maeneo makubwa makubwa bila kujali wanyonge waganga njaa.

Kwa awamu ya sita sishangai kuona yale yale yanajirudia. Awamu ya sita kuna mambo lazima tuwe macho nayo. Yakiwemo haya ya ardhi, hasa ardhi ya kiuwekezaji yakiwemo kilimo, vitalu vya uwindaji, nk tuliona mengi awamu ya nne na sasa tunaanza kuyaona tena.

Kuweka mambo sawa kwa manufaa ya nchi kiongozi wa hili eneo hawezi kuepuka kupambana site akitatua migogoro, ama kukemewa na wakubwa zake kuhusu kutolewa ardhi kwa wawekezaji. Haya hatuyaoni na mawaziri wa ardhi wamekula chimbo kama hawaongozi ardhi.

Tulimuona Lukuvi akiwa site muda wote na tulisikia akikumbushwa kutoa ardhi kwa waeekezaji nami naamini ni kwa sababu aliiongoza hii wizara kwa uzarendo na wivu mkubwa.

Nashauri mzee wetu arudi huko anakokuweza badala ya kusoma magazeti ikulu na sauti za wengi zitapata faraja.
 
Mama yetu ni wa ajabu sana.
Ameshindwa kuendeleza mafanikio yaliyopatikana chini ya Magu badala yake anasumbuka na njia zilizotumika.
Priority no 1 ilipaswa kuwa kulinda mafanikio kwanza kabla hajafanya reforms and restructuring.
Leo hii kila kitu is back to square 1
Uhalifu
Uwajibikaji
Kujuana
....
 
Mama yetu ni wa ajabu sana.
Ameshindwa kuendeleza mafanikio yaliyopatikana chini ya Magu badala yake anasumbuka na njia zilizotumika.
Priority no 1 ilipaswa kuwa kulinda mafanikio kwanza kabla hajafanya reforms and restructuring.
Leo hii kila kitu is back to square 1
Uhalifu
Uwajibikaji
Kujuana
....
Anafungulia nchi.
 
Lukuvi ndio awe na control ya ardhi nchi nzima na asipokuwepo ni matatizo?
 
Waliokalia hii wizara moyo wa nchi wako wapi .hatuwaoni wakihangaika na migogoro iliyosheheni wizara hii bali tunaanza kuona rejuvination ya viongozi wakiandamana na wale watu waliojitokeza awamu ya nne na kujitwalia maeneo makubwa makubwa bila kujali wanyonge waganga njaa.

Kwa awamu ya sita sishangai kuona yale yale yanajirudia. Awamu ya sita kuna mambo lazima tuwe macho nayo. Yakiwemo haya ya ardhi, hasa ardhi ya kiuwekezaji yakiwemo kilimo, vitalu vya uwindaji, nk tuliona mengi awamu ya nne na sasa tunaanza kuyaona tena.

Kuweka mambo sawa kwa manufaa ya nchi kiongozi wa hili eneo hawezi kuepuka kupambana site akitatua migogoro, ama kukemewa na wakubwa zake kuhusu kutolewa ardhi kwa wawekezaji. Haya hatuyaoni na mawaziri wa ardhi wamekula chimbo kama hawaongozi ardhi.
Tulimuona Lukuvi akiwa site muda wote na tulisikia akikumbushwa kutoa ardhi kwa waeekezaji nami naamini ni kwa sababu aliiongoza hii wizara kwa uzarendo na wivu mkubwa.

Nashauri mzee wetu arudi huko anakokuweza badala ya kusoma magazeti ikulu na sauti za wengi zitapata faraja.

Mamlaka​

Mamlaka za uteuzi zinateua wamama wengi na ili watekeleze mambo ya serikali lazima waombe ushauri kwa waume zao kwanza .​

Na waume zao hawajulikani waliko na huko waliko hawajulikani wanachokifanya.​

 
Waliokalia hii wizara moyo wa nchi wako wapi .hatuwaoni wakihangaika na migogoro iliyosheheni wizara hii bali tunaanza kuona rejuvination ya viongozi wakiandamana na wale watu waliojitokeza awamu ya nne na kujitwalia maeneo makubwa makubwa bila kujali wanyonge waganga njaa.

Kwa awamu ya sita sishangai kuona yale yale yanajirudia. Awamu ya sita kuna mambo lazima tuwe macho nayo. Yakiwemo haya ya ardhi, hasa ardhi ya kiuwekezaji yakiwemo kilimo, vitalu vya uwindaji, nk tuliona mengi awamu ya nne na sasa tunaanza kuyaona tena.

Kuweka mambo sawa kwa manufaa ya nchi kiongozi wa hili eneo hawezi kuepuka kupambana site akitatua migogoro, ama kukemewa na wakubwa zake kuhusu kutolewa ardhi kwa wawekezaji. Haya hatuyaoni na mawaziri wa ardhi wamekula chimbo kama hawaongozi ardhi.
Tulimuona Lukuvi akiwa site muda wote na tulisikia akikumbushwa kutoa ardhi kwa waeekezaji nami naamini ni kwa sababu aliiongoza hii wizara kwa uzarendo na wivu mkubwa.

Nashauri mzee wetu arudi huko anakokuweza badala ya kusoma magazeti ikulu na sauti za wengi zitapata faraja.
Hata wakumrudisha watamtumbua tu mana hawezi endana na matakwa ya mgaso a.k.a mafisadi papa..ambao wako kimaslahi yao zaidi na wala sio wanachi.

Inshu hapa ni kupiga chini kabisa kampuni yote ya mgaso kuanzia head hadi huyu bitozo.
Mana nchi sasa imakaliwa na genge la matapeli.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama yetu ni wa ajabu sana.
Ameshindwa kuendeleza mafanikio yaliyopatikana chini ya Magu badala yake anasumbuka na njia zilizotumika.
Priority no 1 ilipaswa kuwa kulinda mafanikio kwanza kabla hajafanya reforms and restructuring.
Leo hii kila kitu is back to square 1
Uhalifu
Uwajibikaji
Kujuana
....
Mafanikio yepi? Kuua na kuteka
 
Waliokalia hii wizara moyo wa nchi wako wapi .hatuwaoni wakihangaika na migogoro iliyosheheni wizara hii bali tunaanza kuona rejuvination ya viongozi wakiandamana na wale watu waliojitokeza awamu ya nne na kujitwalia maeneo makubwa makubwa bila kujali wanyonge waganga njaa.

Kwa awamu ya sita sishangai kuona yale yale yanajirudia. Awamu ya sita kuna mambo lazima tuwe macho nayo. Yakiwemo haya ya ardhi, hasa ardhi ya kiuwekezaji yakiwemo kilimo, vitalu vya uwindaji, nk tuliona mengi awamu ya nne na sasa tunaanza kuyaona tena.

Kuweka mambo sawa kwa manufaa ya nchi kiongozi wa hili eneo hawezi kuepuka kupambana site akitatua migogoro, ama kukemewa na wakubwa zake kuhusu kutolewa ardhi kwa wawekezaji. Haya hatuyaoni na mawaziri wa ardhi wamekula chimbo kama hawaongozi ardhi.
Tulimuona Lukuvi akiwa site muda wote na tulisikia akikumbushwa kutoa ardhi kwa waeekezaji nami naamini ni kwa sababu aliiongoza hii wizara kwa uzarendo na wivu mkubwa.

Nashauri mzee wetu arudi huko anakokuweza badala ya kusoma magazeti ikulu na sauti za wengi zitapata faraja.
Nakazia ✍️✍️✍️
Lukuvi alifanya KAZI ya kutukuka pale Ardhi
 
Huyu baba alikuwa ameifahwmu vema hii wizara. Mama Angelina alipaswa kuendelea kuwa mwanafunzi wa huyu baba kwa muda fulani halafu baadaye ndiyo aje kuwa waziri kwmili
 
Waliokalia hii wizara moyo wa nchi wako wapi hatuwaoni wakihangaika na migogoro iliyosheheni wizara hii bali tunaanza kuona rejuvination ya viongozi wakiandamana na wale watu waliojitokeza awamu ya nne na kujitwalia maeneo makubwa makubwa bila kujali wanyonge waganga njaa.

Kwa awamu ya sita sishangai kuona yale yale yanajirudia. Awamu ya sita kuna mambo lazima tuwe macho nayo. Yakiwemo haya ya ardhi, hasa ardhi ya kiuwekezaji yakiwemo kilimo, vitalu vya uwindaji, nk tuliona mengi awamu ya nne na sasa tunaanza kuyaona tena.

Kuweka mambo sawa kwa manufaa ya nchi kiongozi wa hili eneo hawezi kuepuka kupambana site akitatua migogoro, ama kukemewa na wakubwa zake kuhusu kutolewa ardhi kwa wawekezaji. Haya hatuyaoni na mawaziri wa ardhi wamekula chimbo kama hawaongozi ardhi.

Tulimuona Lukuvi akiwa site muda wote na tulisikia akikumbushwa kutoa ardhi kwa waeekezaji nami naamini ni kwa sababu aliiongoza hii wizara kwa uzarendo na wivu mkubwa.

Nashauri mzee wetu arudi huko anakokuweza badala ya kusoma magazeti ikulu na sauti za wengi zitapata faraja.
Naunga mkono hoja kwa asilimia [emoji817].Naona mdororo mkubwa wa videndo kwenye maamuzi mbali mbali yanahusu ardhi.
 
Hata wakumrudisha watamtumbua tu mana hawezi endana na matakwa ya mgaso a.k.a mafisadi papa..ambao wako kimaslahi yao zaidi na wala sio wanachi.

Inshu hapa ni kupiga chini kabisa kampuni yote ya mgaso kuanzia head hadi huyu bitozo.
Mana nchi sasa imakaliwa na genge la matapeli.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtawezana??
 
Kwa kweli hii wizara imekua yatima yake makampuni ya upimaji yamekula ela za watu yamesepa hakuna wa kumsemea mtanzania mnyonge sikumpenda Sana magu lakini hii awamu nahisi tumepigwa na kutu kizito
 
Back
Top Bottom