Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwma kuua na kuteka kwako no mafanikio basi baki na ufahamu wako huohuoMafanikio yepi? Kuua na kuteka
Hakuna cha kazi maalumu kwani hiyo kazi maalumu anaifanyia chumbani?Simliambiwa kapewa kazi maalumu ikulu ama!
Mamlaka za uteuzi zinateua wamama wengi na ili watekeleze mambo ya serikali lazima waombe ushauri kwa waume zao kwanza .
Na waume zao hawajulikani waliko na huko waliko hawajulikani wanachokifanya.
Nyie ndo mlimharibu baada ya kuwa kila akilinda kilichofanywa na jpm, jpm ndo anasifiwa na mama kupondwa eti Hana jipya. Sasa ameona yaishe na yeye aanzishe vya kwake ili vya jpm vibaki palepale. Nani asiyependa sifaMama yetu ni wa ajabu sana.
Ameshindwa kuendeleza mafanikio yaliyopatikana chini ya Magu badala yake anasumbuka na njia zilizotumika.
Priority no 1 ilipaswa kuwa kulinda mafanikio kwanza kabla hajafanya reforms and restructuring.
Leo hii kila kitu is back to square 1
Uhalifu
Uwajibikaji
Kujuana
....
Kwa jpm kujuana ndo kulikuwa kwingi Sana na ajira zilikuwa zinatafutwa kwa remote. Afadhari mama japo kujuana lakini employment vacancies ni lundo ile ya kukutana shule watu mia tano wakati nafasi ni mbili haipo Tena. Muache mama achape kazi. Kuchapa kazi ni akili siyo kufoka.Mama yetu ni wa ajabu sana.
Ameshindwa kuendeleza mafanikio yaliyopatikana chini ya Magu badala yake anasumbuka na njia zilizotumika.
Priority no 1 ilipaswa kuwa kulinda mafanikio kwanza kabla hajafanya reforms and restructuring.
Leo hii kila kitu is back to square 1
Uhalifu
Uwajibikaji
Kujuana
....
Yarudi mara ngapi? Umeme sasa hivi ni wa uhakika? Maji vipi?Kwenye huu utawala yaani baadhi ya mambo yatarudi tu,yale ambayo JPM alikua hayataki.Wahuni watanyanyasa sana wanyonge,ni suala la muda tu.
Lukuvi namkubali sana,sikuona ni kwa nini alitolewa.Waliokalia hii wizara moyo wa nchi wako wapi hatuwaoni wakihangaika na migogoro iliyosheheni wizara hii bali tunaanza kuona rejuvination ya viongozi wakiandamana na wale watu waliojitokeza awamu ya nne na kujitwalia maeneo makubwa makubwa bila kujali wanyonge waganga njaa.
Kwa awamu ya sita sishangai kuona yale yale yanajirudia. Awamu ya sita kuna mambo lazima tuwe macho nayo. Yakiwemo haya ya ardhi, hasa ardhi ya kiuwekezaji yakiwemo kilimo, vitalu vya uwindaji, nk tuliona mengi awamu ya nne na sasa tunaanza kuyaona tena.
Kuweka mambo sawa kwa manufaa ya nchi kiongozi wa hili eneo hawezi kuepuka kupambana site akitatua migogoro, ama kukemewa na wakubwa zake kuhusu kutolewa ardhi kwa wawekezaji. Haya hatuyaoni na mawaziri wa ardhi wamekula chimbo kama hawaongozi ardhi.
Tulimuona Lukuvi akiwa site muda wote na tulisikia akikumbushwa kutoa ardhi kwa waeekezaji nami naamini ni kwa sababu aliiongoza hii wizara kwa uzarendo na wivu mkubwa.
Nashauri mzee wetu arudi huko anakokuweza badala ya kusoma magazeti ikulu na sauti za wengi zitapata faraja.
Be one of them. Nani amekukatazq wewe kunyonya wengine. Au uwezo wa akiri huna. Hii dunia ndugu ni survival of the fittest ndo Mana kipindi Cha jpm wasukuma ndo walidominate kila kona mpaka usalama wa taifaKwenye huu utawala yaani baadhi ya mambo yatarudi tu,yale ambayo JPM alikua hayataki.Wahuni watanyanyasa sana wanyonge,ni suala la muda tu.
ni kweli ila kaka umemjibu kikatili sana, laah !!Be one of them. Nani amekukatazq wewe kunyonya wengine. Au uwezo wa akiri huna. Hii dunia ndugu ni survival of the fittestkaka ndo Mana kipindi Cha jpm wasukuma ndo walidominate kila kona mpaka usalama wa taifa
Dunia hii kama.huna akiri unastahili kufa. Hatuwezi kukumbeleza uishi wakati uwezo wa kuishi hunani kweli ila kaka umemjibu kikatili sana, laah !!
Hivi nyie wapuuz wa dikteta muuaji, kwani huyo Lukuvi hiyi wizara ya baba yake au kazaliwa nayo,Waliokalia hii wizara moyo wa nchi wako wapi hatuwaoni wakihangaika na migogoro iliyosheheni wizara hii bali tunaanza kuona rejuvination ya viongozi wakiandamana na wale watu waliojitokeza awamu ya nne na kujitwalia maeneo makubwa makubwa bila kujali wanyonge waganga njaa.
Kwa awamu ya sita sishangai kuona yale yale yanajirudia. Awamu ya sita kuna mambo lazima tuwe macho nayo. Yakiwemo haya ya ardhi, hasa ardhi ya kiuwekezaji yakiwemo kilimo, vitalu vya uwindaji, nk tuliona mengi awamu ya nne na sasa tunaanza kuyaona tena.
Kuweka mambo sawa kwa manufaa ya nchi kiongozi wa hili eneo hawezi kuepuka kupambana site akitatua migogoro, ama kukemewa na wakubwa zake kuhusu kutolewa ardhi kwa wawekezaji. Haya hatuyaoni na mawaziri wa ardhi wamekula chimbo kama hawaongozi ardhi.
Tulimuona Lukuvi akiwa site muda wote na tulisikia akikumbushwa kutoa ardhi kwa waeekezaji nami naamini ni kwa sababu aliiongoza hii wizara kwa uzarendo na wivu mkubwa.
Nashauri mzee wetu arudi huko anakokuweza badala ya kusoma magazeti ikulu na sauti za wengi zitapata faraja.
Nyie mmmmbwa si kutwa mnamtukana Samia humu??! Sasa huyo sukuma gang mwenzenu akawe waziri huko chatoWaliokalia hii wizara moyo wa nchi wako wapi hatuwaoni wakihangaika na migogoro iliyosheheni wizara hii bali tunaanza kuona rejuvination ya viongozi wakiandamana na wale watu waliojitokeza awamu ya nne na kujitwalia maeneo makubwa makubwa bila kujali wanyonge waganga njaa.
Kwa awamu ya sita sishangai kuona yale yale yanajirudia. Awamu ya sita kuna mambo lazima tuwe macho nayo. Yakiwemo haya ya ardhi, hasa ardhi ya kiuwekezaji yakiwemo kilimo, vitalu vya uwindaji, nk tuliona mengi awamu ya nne na sasa tunaanza kuyaona tena.
Kuweka mambo sawa kwa manufaa ya nchi kiongozi wa hili eneo hawezi kuepuka kupambana site akitatua migogoro, ama kukemewa na wakubwa zake kuhusu kutolewa ardhi kwa wawekezaji. Haya hatuyaoni na mawaziri wa ardhi wamekula chimbo kama hawaongozi ardhi.
Tulimuona Lukuvi akiwa site muda wote na tulisikia akikumbushwa kutoa ardhi kwa waeekezaji nami naamini ni kwa sababu aliiongoza hii wizara kwa uzarendo na wivu mkubwa.
Nashauri mzee wetu arudi huko anakokuweza badala ya kusoma magazeti ikulu na sauti za wengi zitapata faraja.
Magufuli alikuwa dikteta na fisadi,hapaswi kuigwa lolote, msimpangie Rais kkkkenge nyieMama yetu ni wa ajabu sana.
Ameshindwa kuendeleza mafanikio yaliyopatikana chini ya Magu badala yake anasumbuka na njia zilizotumika.
Priority no 1 ilipaswa kuwa kulinda mafanikio kwanza kabla hajafanya reforms and restructuring.
Leo hii kila kitu is back to square 1
Uhalifu
Uwajibikaji
Kujuana
....
Huyo gpm alikuwa muuaji wa hao wanyongeKwenye huu utawala yaani baadhi ya mambo yatarudi tu,yale ambayo JPM alikua hayataki.Wahuni watanyanyasa sana wanyonge,ni suala la muda tu.
MPUMBAVU mmoja alilima mashamba la mizabibu akavuna mavuno mengi na kupata faida.Dunia hii kama.huna akiri unastahili kufa. Hatuwezi kukumbeleza uishi wakati uwezo wa kuishi huna