Mamlaka za uteuzi tafadhali mturudishie Lukuvi Wizara ya Ardhi

Mamlaka za uteuzi tafadhali mturudishie Lukuvi Wizara ya Ardhi

Waliokalia hii wizara moyo wa nchi wako wapi hatuwaoni wakihangaika na migogoro iliyosheheni wizara hii bali tunaanza kuona rejuvination ya viongozi wakiandamana na wale watu waliojitokeza awamu ya nne na kujitwalia maeneo makubwa makubwa bila kujali wanyonge waganga njaa.

Kwa awamu ya sita sishangai kuona yale yale yanajirudia. Awamu ya sita kuna mambo lazima tuwe macho nayo. Yakiwemo haya ya ardhi, hasa ardhi ya kiuwekezaji yakiwemo kilimo, vitalu vya uwindaji, nk tuliona mengi awamu ya nne na sasa tunaanza kuyaona tena.

Kuweka mambo sawa kwa manufaa ya nchi kiongozi wa hili eneo hawezi kuepuka kupambana site akitatua migogoro, ama kukemewa na wakubwa zake kuhusu kutolewa ardhi kwa wawekezaji. Haya hatuyaoni na mawaziri wa ardhi wamekula chimbo kama hawaongozi ardhi.

Tulimuona Lukuvi akiwa site muda wote na tulisikia akikumbushwa kutoa ardhi kwa waeekezaji nami naamini ni kwa sababu aliiongoza hii wizara kwa uzarendo na wivu mkubwa.

Nashauri mzee wetu arudi huko anakokuweza badala ya kusoma magazeti ikulu na sauti za wengi zitapata faraja.
Mbuzi kafia kwa muuza supu
 
Waliokalia hii wizara moyo wa nchi wako wapi hatuwaoni wakihangaika na migogoro iliyosheheni wizara hii bali tunaanza kuona rejuvination ya viongozi wakiandamana na wale watu waliojitokeza awamu ya nne na kujitwalia maeneo makubwa makubwa bila kujali wanyonge waganga njaa.

Kwa awamu ya sita sishangai kuona yale yale yanajirudia. Awamu ya sita kuna mambo lazima tuwe macho nayo. Yakiwemo haya ya ardhi, hasa ardhi ya kiuwekezaji yakiwemo kilimo, vitalu vya uwindaji, nk tuliona mengi awamu ya nne na sasa tunaanza kuyaona tena.

Kuweka mambo sawa kwa manufaa ya nchi kiongozi wa hili eneo hawezi kuepuka kupambana site akitatua migogoro, ama kukemewa na wakubwa zake kuhusu kutolewa ardhi kwa wawekezaji. Haya hatuyaoni na mawaziri wa ardhi wamekula chimbo kama hawaongozi ardhi.

Tulimuona Lukuvi akiwa site muda wote na tulisikia akikumbushwa kutoa ardhi kwa waeekezaji nami naamini ni kwa sababu aliiongoza hii wizara kwa uzarendo na wivu mkubwa.

Nashauri mzee wetu arudi huko anakokuweza badala ya kusoma magazeti ikulu na sauti za wengi zitapata faraja.
Wewe toa ujinga wako hapa..

Kama unampenda Lukuvi mpeleke chumbani kwako ukampe mahaba atakapokushikisha ukuta.
 
Mungu hapendi maskini. Ukiwa maskini tu hata mungu anakuona huna akiri
Mungu anachukia UMASKINI bt anawapenda MASKINI.

Umaskini ni PEPO, linavamia mtu,ukoo au Taifa na wanakuwa ktk Hali hiyo.

Matajiri wengi HUIBA NYOTA ya utajiri Kwa mtu mwenye KIBALI na kulitumia kujitajirisha binafsi, Utajiri BANDIA wa namna hii hutoa SHETANI.

Mungu huwainua maskini Toka chini kabisa Kutoka mavumbini na kuwaketisha juu pamoja na wafalme sababu ANAWAPENDA MASKINI Kwa sababu wamesababishiwa umaskini na IBILISI. Utaona viongozi wengi wametokea familia za kimaskini.

Ni hatari sana KUJILIMBIKIZIA utajiri mkubwa na ukashindwa kuwainua maskini walokuzunguka maana AMANI,FURAHA,USINGIZI vitaondolewa kwako Ili usiufurahie utajiri BANDIA. Amen
Illusion. Unajaribu kujifariji eti. Mungu hayupo ndugu
Biblia inasema, "MPUMBAVU amesema moyoni mwake kuwa hakuna MUNGU."

Usijedhani mtu kuwa TAJIRI, msomi Kwa level ya Professor, Kiongozi mkubwa mahal Fulani kwamba ndo haezi kuwa MPUMBAVU.

Upo duniani uzao waIbilisi uliojichanganya na uzao wa mwanadamu, hao ndio YESU aliwaita UZAO WA NYOKA, watu wa aina hiyo hata ukeshe ukimuelewesha uwepo wa Mungu hatokuelewa maana wametokea KUZIMUNI Kwa baba Yao SHETANI.
 
Msoga gang wameamua awe Mabula huku wakimuandaa Riz.Nchi ngumu hii Mkuu!
Waliokalia hii wizara moyo wa nchi wako wapi hatuwaoni wakihangaika na migogoro iliyosheheni wizara hii bali tunaanza kuona rejuvination ya viongozi wakiandamana na wale watu waliojitokeza awamu ya nne na kujitwalia maeneo makubwa makubwa bila kujali wanyonge waganga njaa.

Kwa awamu ya sita sishangai kuona yale yale yanajirudia. Awamu ya sita kuna mambo lazima tuwe macho nayo. Yakiwemo haya ya ardhi, hasa ardhi ya kiuwekezaji yakiwemo kilimo, vitalu vya uwindaji, nk tuliona mengi awamu ya nne na sasa tunaanza kuyaona tena.

Kuweka mambo sawa kwa manufaa ya nchi kiongozi wa hili eneo hawezi kuepuka kupambana site akitatua migogoro, ama kukemewa na wakubwa zake kuhusu kutolewa ardhi kwa wawekezaji. Haya hatuyaoni na mawaziri wa ardhi wamekula chimbo kama hawaongozi ardhi.

Tulimuona Lukuvi akiwa site muda wote na tulisikia akikumbushwa kutoa ardhi kwa waeekezaji nami naamini ni kwa sababu aliiongoza hii wizara kwa uzarendo na wivu mkubwa.

Nashauri mzee wetu arudi huko anakokuweza badala ya kusoma magazeti ikulu na sauti za wengi zitapata faraja.
 
Tatizo kubwa ni ule ushamba wake wa kudharau ile dubwasha iliosumbua ulimwengu
We ndio uache upumbaf, ni mali ipi aliyokusanya? una uhakika gani kama kifo chake kilisababishwa na upumbav wake au wapumbaf kama wewe wasiolitakia mema Taifa hili?
 
Utakuta Hawa wanaolalamika hapa jukwani wengi hawajawahi kumiliki aridhi.
 
Waliokalia hii wizara moyo wa nchi wako wapi hatuwaoni wakihangaika na migogoro iliyosheheni wizara hii bali tunaanza kuona rejuvination ya viongozi wakiandamana na wale watu waliojitokeza awamu ya nne na kujitwalia maeneo makubwa makubwa bila kujali wanyonge waganga njaa.

Kwa awamu ya sita sishangai kuona yale yale yanajirudia. Awamu ya sita kuna mambo lazima tuwe macho nayo. Yakiwemo haya ya ardhi, hasa ardhi ya kiuwekezaji yakiwemo kilimo, vitalu vya uwindaji, nk tuliona mengi awamu ya nne na sasa tunaanza kuyaona tena.

Kuweka mambo sawa kwa manufaa ya nchi kiongozi wa hili eneo hawezi kuepuka kupambana site akitatua migogoro, ama kukemewa na wakubwa zake kuhusu kutolewa ardhi kwa wawekezaji. Haya hatuyaoni na mawaziri wa ardhi wamekula chimbo kama hawaongozi ardhi.

Tulimuona Lukuvi akiwa site muda wote na tulisikia akikumbushwa kutoa ardhi kwa waeekezaji nami naamini ni kwa sababu aliiongoza hii wizara kwa uzarendo na wivu mkubwa.

Nashauri mzee wetu arudi huko anakokuweza badala ya kusoma magazeti ikulu na sauti za wengi zitapata faraja.
Na Kalemani arudi Nishati(TANESCO)
 
Hahahah
Maneno yake kanisani ndio yalimponza alipokuwa anabinua mdomo na kusema mnajua madhara yao
Halafu wakubwa wa kanisa wakiunga mkono hoja

Mdini sana na mbaguzi hafai kuongoza watu wa tofauti
Chuki muwe mnaongea bila waandishi wa habari ila mkirekodi kuna wengine hamjui kesho watakuwa na cheo gani

Wapo wengi wanaoweza kuifanya hiyo kazi bila SHOBO
 
Huu ni uongo, last week Waziri alikuwa mbezi Jogoo anadikiliza wananchi na moja ya kero alizotatua ni kuunda kamati ya urasimishaji ardhi ambayo itafanya kazi kuondoa mgogoro mkubwa wa ardhi uliokuwa inasumbua watu wa mbezi Jogoo mpaka karibu na salasala machimboni.

Na baada ya hapo walikuwa Chanukah huko, Sasa unataka kutuambia sababu kwenu Kuna mgogoro ndio hafanyi kazi?

Atakuja tu give a time na fikisheni malalamiko yenu kwake atakuja tu.
 
Waliokalia hii wizara moyo wa nchi wako wapi hatuwaoni wakihangaika na migogoro iliyosheheni wizara hii bali tunaanza kuona rejuvination ya viongozi wakiandamana na wale watu waliojitokeza awamu ya nne na kujitwalia maeneo makubwa makubwa bila kujali wanyonge waganga njaa.

Kwa awamu ya sita sishangai kuona yale yale yanajirudia. Awamu ya sita kuna mambo lazima tuwe macho nayo. Yakiwemo haya ya ardhi, hasa ardhi ya kiuwekezaji yakiwemo kilimo, vitalu vya uwindaji, nk tuliona mengi awamu ya nne na sasa tunaanza kuyaona tena.

Kuweka mambo sawa kwa manufaa ya nchi kiongozi wa hili eneo hawezi kuepuka kupambana site akitatua migogoro, ama kukemewa na wakubwa zake kuhusu kutolewa ardhi kwa wawekezaji. Haya hatuyaoni na mawaziri wa ardhi wamekula chimbo kama hawaongozi ardhi.

Tulimuona Lukuvi akiwa site muda wote na tulisikia akikumbushwa kutoa ardhi kwa waeekezaji nami naamini ni kwa sababu aliiongoza hii wizara kwa uzarendo na wivu mkubwa.

Nashauri mzee wetu arudi huko anakokuweza badala ya kusoma magazeti ikulu na sauti za wengi zitapata faraja.
Chawa mmekosa posho huko iringa etii, kaeni juani, mmekula mno, na wenzenu pia wale
 


👆🏻👆🏻👆🏻👆🏻👆🏻👆🏻
Mbunge kama huyo,pamoja na kua yeye ni CCM,lakini anaonyesha tofauti iliyopo kati ya Lukuvi wa kipindi cha JPM na hawa waliowekwa na mama kwenye ardhi.Msikilize uelewe anacholalamikia mbunge huyo.
 
Waliokalia hii wizara moyo wa nchi wako wapi hatuwaoni wakihangaika na migogoro iliyosheheni wizara hii bali tunaanza kuona rejuvination ya viongozi wakiandamana na wale watu waliojitokeza awamu ya nne na kujitwalia maeneo makubwa makubwa bila kujali wanyonge waganga njaa.

Kwa awamu ya sita sishangai kuona yale yale yanajirudia. Awamu ya sita kuna mambo lazima tuwe macho nayo. Yakiwemo haya ya ardhi, hasa ardhi ya kiuwekezaji yakiwemo kilimo, vitalu vya uwindaji, nk tuliona mengi awamu ya nne na sasa tunaanza kuyaona tena.

Kuweka mambo sawa kwa manufaa ya nchi kiongozi wa hili eneo hawezi kuepuka kupambana site akitatua migogoro, ama kukemewa na wakubwa zake kuhusu kutolewa ardhi kwa wawekezaji. Haya hatuyaoni na mawaziri wa ardhi wamekula chimbo kama hawaongozi ardhi.

Tulimuona Lukuvi akiwa site muda wote na tulisikia akikumbushwa kutoa ardhi kwa waeekezaji nami naamini ni kwa sababu aliiongoza hii wizara kwa uzarendo na wivu mkubwa.

Nashauri mzee wetu arudi huko anakokuweza badala ya kusoma magazeti ikulu na sauti za wengi zitapata faraja.
Tanzania tunakosa kuwa na mpango kazi kama alivoshauri askofu gwajima. Kila anayeingia madarakani anaweka kundi lake na anakuja na mambo yake mwenyewe.
Hakika hatuwezi kuwa na nchi ambayo linalofanyika ni kufurahishana na kulindana.....huku dunia na nchi zingine zinapambana wananchi wake wawe na maisha mazuri mfano: majirani zetu Kenya wazee wanalipwa mshahara japo kuwapunguzia machungu ya maisha.
 
Waliokalia hii wizara moyo wa nchi wako wapi hatuwaoni wakihangaika na migogoro iliyosheheni wizara hii bali tunaanza kuona rejuvination ya viongozi wakiandamana na wale watu waliojitokeza awamu ya nne na kujitwalia maeneo makubwa makubwa bila kujali wanyonge waganga njaa.

Kwa awamu ya sita sishangai kuona yale yale yanajirudia. Awamu ya sita kuna mambo lazima tuwe macho nayo. Yakiwemo haya ya ardhi, hasa ardhi ya kiuwekezaji yakiwemo kilimo, vitalu vya uwindaji, nk tuliona mengi awamu ya nne na sasa tunaanza kuyaona tena.

Kuweka mambo sawa kwa manufaa ya nchi kiongozi wa hili eneo hawezi kuepuka kupambana site akitatua migogoro, ama kukemewa na wakubwa zake kuhusu kutolewa ardhi kwa wawekezaji. Haya hatuyaoni na mawaziri wa ardhi wamekula chimbo kama hawaongozi ardhi.

Tulimuona Lukuvi akiwa site muda wote na tulisikia akikumbushwa kutoa ardhi kwa waeekezaji nami naamini ni kwa sababu aliiongoza hii wizara kwa uzarendo na wivu mkubwa.

Nashauri mzee wetu arudi huko anakokuweza badala ya kusoma magazeti ikulu na sauti za wengi zitapata faraja.
Sijui kama umeweka muda wa kutafakari kuhusu ushauri wako huu, au ndiyo hivyo tena mada hapa JF ni kama ushindani tu wa kuziweka hata zisizostahiri kuwekwa.

Ya nini Lukuvi ahangaike tena na mambo ya kuteuliwa? Alipoachishwa nafasi hiyo aliambiwa kwa nini kaachwa?

Ningekuelewa vyema sana kama ungemshauri asimame mbele za waTanzania aonekane yeye kama yeye Lukuvi. Kama huelewi, mwambie afanye mipango ya kugombea kiti hicho kinachoteua wengine badala ya yeye kusubiri kuteuliwa.
 
Kwa kweli hii wizara imekua yatima yake makampuni ya upimaji yamekula ela za watu yamesepa hakuna wa kumsemea mtanzania mnyonge sikumpenda Sana magu lakini hii awamu nahisi tumepigwa na kutu kizito
Bado.

You ain't seen nothing yet!
 
Back
Top Bottom