Lukuvi yuko wapi kwanza. Ni ukweli usiopingika kuwa yule ni jumbo. Ardhi aliiweza na baada ya kuondoka madudu yamerudi pale pale. Mama tunaomba mrudishe Lukuvi ardhi.Yule jamaa ni presidential material na dada hataki wa hivyo maana anajua watampoka nafasi..π
Wewe ni mfuasi wa Nani kwelii!!nyie wafuasi wa dikteta muuaji lazima mtage mbbbbbwa nyie
Pole Lukuvi, sahau kabisa kuridishwa baraza la mawaziri. Tunajuwa ulikuwa unapata uwaziri kwa kuwa snitch watu kwenye mamlaka zilizokupa nafasi kutokana na tabia yako ya unafiki.
Hata wanafiki wanazeeka, Lukuvi umezeeka hutakiwi tena
Tanzania tunakosa kuwa na mpango kazi kama alivoshauri askofu gwajima. Kila anayeingia madarakani anaweka kundi lake na anakuja na mambo yake mwenyewe.
Hakika hatuwezi kuwa na nchi ambayo linalofanyika ni kufurahishana na kulindana.....huku dunia na nchi zingine zinapambana wananchi wake wawe na maisha mazuri mfano: majirani zetu Kenya wazee wanalipwa mshahara japo kuwapunguzia machungu ya maisha.
Ww km hueleawi kitu juu ya shida tunazopata wizara ya ardhi ni bora ukae kimyaLukuvi ndio awe na control ya ardhi nchi nzima na asipokuwepo ni matatizo?
Ajenda ya kipuuzi kumtegemea mtu mmoja.Ww km hueleawi kitu juu ya shida tunazopata wizara ya ardhi ni bora ukae kimya
Huyu ambaye mnasema mdini mwanaye wa kike kaolewa na mwarabu mvaa kanzu na jambia mtoto wa Shabib
Unadhani katiba mpya ndiyo tiba? Nadhani uzalendo ni tiba kuu.Sasa hao wakiambiwa katiba mpya hawatak which is which???
Sio Lukuvi tu mama tuna muomba aturudishie na Mchengerwa pale utumishiMama yetu ni wa ajabu sana.
Ameshindwa kuendeleza mafanikio yaliyopatikana chini ya Magu badala yake anasumbuka na njia zilizotumika.
Priority no 1 ilipaswa kuwa kulinda mafanikio kwanza kabla hajafanya reforms and restructuring.
Leo hii kila kitu is back to square 1
Uhalifu
Uwajibikaji
Kujuana
....
Huyu mama ana viwanja km vyote mbezi beach...hii inchi imepitia mambo mengi sanaUkweli unaonekana ni kwamba Lukuvi alijitahidi kufanya kazi kutokana na mamlaka yake ya uteuzi ilibyotaka mambo ya ardhi yaende.
Katika kipindi chake ndio hati zilitoka zaidi na kwa uwazi bila rushwa. Wizara hiyo alipitaga Rita mlaki akajitwalia viwanja kibao ikiwemo kile mwanae anajenga KFC hapo mbezi kwa zena.
Kwenye huu utawala yaani baadhi ya mambo yatarudi tu,yale ambayo JPM alikua hayataki.Wahuni watanyanyasa sana wanyonge,ni suala la muda tu.