Mamlaka za Uteuzi wa Viongozi zinadhihirisha wazi kuna tatizo kwenye utaratibu wa "Vetting"

Mamlaka za Uteuzi wa Viongozi zinadhihirisha wazi kuna tatizo kwenye utaratibu wa "Vetting"

Hao wote tayari ni vetted unahitaji vetting nyingine ya nini?. Sina shida hata wakiwa Waislamu watupu as long as wamekidhi sifa na vigezo. Enzi za Nyerere ni Wakristo walijaa kila mahali, hakuna aliyeshangaa!.
Tangu tumepata uhuru na kuanzisha JWTZ ma CDF ni Wakristu tuu, hata Abdallah Twalipo ni kama Jaji Ramadhan au Anna Abdallah, mkewe ni Mkristo watoto Wakristo!.https://www.jamiiforums.com/threads/je-kuna-uhusiano-wa-dini-kabila-na-ukakamavu-watu-wa-dini-kabila-fulani-ni-wazuri-zaidi-jeshini-kuliko-dini-kabila-nyingine.1572678/

Blaza alipojaza Wasukuma kwanza tulisema humu Tuhuma za Ukabila: Wasukuma si Miongoni mwa Makabila yenye Ukabila, tatizo ndio walio wengi! kisha tukamshitaki Wito kwa Bunge letu tukufu: Mkithibisha hii Nepotism ya ajabu na zile Boeing ni TT, then hatufai!.

Mwisho wa siku aliondolewa!.
P
Unajua kama vetting ni zoezi endelevu kwa viongozi na watumishi wa serikali? hao wote niliowataja matendo yao ni ya hovyo sn tunawajua lakini ndiyo wameikamata system yote
 
❇️ Human beings ni mnyama kama wanyamapori wowote ila tuna kakitu kidogo kina tutofautisha lakini Kuna wakati tunafanana kabisa

❇️ Huwezi kujua ni dakika ngapi mtu anabadilika au hakuna kipimo duniani Cha kupima mtu anaweza nini tofauti na kufuatilia mienendo ya mabadiliko ya tabia yake. Kwa mtu anayefamya kitu Cha gafla huwashtua watu " Hivi kweli ni Fulani kafanyaa? Siamini"

❇️ Mamlaka zinafanya kazi yake ya kitaalamu ya venting tena kwa kufuatilia mienendo yake yote ya nyuma na kufaulu saafi kabisa lakini, huwezi kujua ni katika point gani tabia ya mtu itabadilika, ama kwa hasira ( provocation) ama kwa ulevi wowote uwe wa madaawa ,pombe au Madaraka ,au kurukwa na akili na kuibadilisha tabia yake au kuibua kitu kilicho ndani Sana kwake ambacho sio rahisi kukigundua kwa vetting.

❇️ Ninamshukuru na kumpongeza Sana Mh. Raisi kwa kuchukua hatua za haraka za kuutengua uwaziri wake ili kumuondolea ministerial immunity na benefits kuviwezesha vyombo vya Dola kushugulikia kwa uhuru TUHUMA dhidi yake ambazo hazijathibitishwa na vilevile kuwa Raisi wa mfano wa kumuwadhibisha waziri ili kulinda image nzuri ya Baraza la mawaziri.

❇️ Hapa Kuna mambo mengi ya kujifunza . Tukumbuke huyu alikuwa upinzani na kule alikuwa kama wenzake na sifa kedekede kuwa ni kamanda, na mkombozi mpaka alipotoka kwa vyeo hivyo. Amepata uongozi yametokea haya,, hizi bado ni tuhuma zinaweza kuthibitishwa au kubatilishwa pale ambapo atapewa haki ya kusikilizwa ( AUDI ALTERAM PARTEM) Lakini mfano ithibitishwe inatupa picha gani kwa Hawa wengine wanaotupigia kelele kuwa ni wakombozi wanasiasa na Wana harakati? Je! Walipata nafasi kumbe yaweza kutokea kama haya kumbe sio malaika

❇️ Kwa upande mwingine unaweza kukuta katika hatua hizi za awali Sasa vyombo vya USALAMA vinaingiliwa na Wana harakati na wanasiasa kushinikiza nini Cha kufanya mtu anaweza kuwaza labda wale so called makamanda ,wakombozi wenzake wamefurahi kwa kuwa aliwatosa au kule alikoenda amechukuwa nafasi za wazawa waliokulia humo, au wanahatakati wamepata platform za kusukuma ajenda hayo ni mambo ya kuchukuliws kwa tahadhari katika hatua hizi

❇️ Yote kwa yote tuachie uhuru vyombo vya Dola na vya kisheria vifanye kazi zao kwenye hili bila uoga au kupendelea pande zozote ili haki ya Kila mmoja ipatikane baada ya mchakato kukamilika. Tofauti na hapo tutakuwa tunahukumu kwa midomo au kutokuhakikisha haki ya kijana inapatikana kama kweli alitendewa jambo hilo la kikatili na la kinyama lakini kama ni tofauti na upande mwingine update haki yake
 
Hao wote tayari ni vetted unahitaji vetting nyingine ya nini?. Sina shida hata wakiwa Waislamu watupu as long as wamekidhi sifa na vigezo. Enzi za Nyerere ni Wakristo walijaa kila mahali, hakuna aliyeshangaa!.
Tangu tumepata uhuru na kuanzisha JWTZ ma CDF ni Wakristu tuu, hata Abdallah Twalipo ni kama Jaji Ramadhan au Anna Abdallah, mkewe ni Mkristo watoto Wakristo!.https://www.jamiiforums.com/threads/je-kuna-uhusiano-wa-dini-kabila-na-ukakamavu-watu-wa-dini-kabila-fulani-ni-wazuri-zaidi-jeshini-kuliko-dini-kabila-nyingine.1572678/

Blaza alipojaza Wasukuma kwanza tulisema humu Tuhuma za Ukabila: Wasukuma si Miongoni mwa Makabila yenye Ukabila, tatizo ndio walio wengi! kisha tukamshitaki Wito kwa Bunge letu tukufu: Mkithibisha hii Nepotism ya ajabu na zile Boeing ni TT, then hatufai!.

Mwisho wa siku aliondolewa!.
P
Hapana kwenye uongozi hatusemi "sina shida", its not about you. Uamuzi wowote ambao haupokelewi vizuri na unaowaongoza na kwa jambo ambalo linaepukika ni vizuri ukaepukwa. Dini ikijengewa hoja potovu na hasi inaweza gawanya watu na kundi fulani likaona linabaguliwa iwe kikabila,kidini,kikanda na vinginevyo. Balance is very important. Mwalimu Nyerere na wengine si malaika kila kitu tuchukue kwao,we can do better.
 
Uwaziri haihitaji Shahada,
Hahahaha.........

Kuna Mheshimiwa mmoja aliwahi kuniambiwa hivyo eti yeye anahitaji kujua kusoma na kuandika tu inatosha sio haya madigrii yetu 🙌
 
Kwa muda wa miaka 3 ya utawala wa Rais Samia, kumekuwa na Teuzi na Tenguzi au kubadilishwa kwa nafasi za Kiutawala kwa wanaoteuliwa na wakati mwingine bila hata kuelezwa sababu.

Samia amekuwa akiteua na kutengua au kuwarejesha watu walioondolewa kazini kwa sababu mbalimbali. Na wapo ambao ameendelea kuwakumbatia licha ya kuwa na kashfa mbaya kiuongozi.

Baadhi ya Viongozi hao ni pamoja na Makonda, Chalamila, Biswalo Mganga, Kingai na wengine wengi.

Hapa tu inaonesha aidha kuna shida katika idara ya Usalama wa Taifa eneo la Mahusiano kwa Umma au Rais anapuuza makandokando yaliyopo nyuma ya anaowateua kwa maslahi yake binafsi.
Vetting ya Tzn ni who knows who hasa kwenye nafasi za Kisiasa kidogo kwenye utendaji au utaalamu.
 
Kwa muda wa miaka 3 ya utawala wa Rais Samia, kumekuwa na Teuzi na Tenguzi au kubadilishwa kwa nafasi za Kiutawala kwa wanaoteuliwa na wakati mwingine bila hata kuelezwa sababu.

Samia amekuwa akiteua na kutengua au kuwarejesha watu walioondolewa kazini kwa sababu mbalimbali. Na wapo ambao ameendelea kuwakumbatia licha ya kuwa na kashfa mbaya kiuongozi.

Baadhi ya Viongozi hao ni pamoja na Makonda, Chalamila, Biswalo Mganga, Kingai na wengine wengi.

Hapa tu inaonesha aidha kuna shida katika idara ya Usalama wa Taifa eneo la Mahusiano kwa Umma au Rais anapuuza makandokando yaliyopo nyuma ya anaowateua kwa maslahi yake binafsi.
Hata huyu Gekul msije shangaa anarudishwa kivingine
 
Kama tiss na watu wa mamlaka ya uteuzi wanapata watu wabovu, machawa, mafisadi pia watu makatiri je unategemea sisi kama nchi tutatoka hapa tulipo kweli? maana kila mtu ni mbovu na mpigaji yaani Kuna watu wapo maofisini ila hawakutakiwa kuwepo, Sasa kama vetting tu ya viongozi inawashinda si ndo maana kila siku tuko pale pale na matatizo yetu ni yale yale kila siku
 
Kama kungekuwa na vetting hata Jiwe asingekuwa prezda
Mkuu OKW BOBAN SUNZU, naunga mkono hoja, tungekuwa na good, real and true intelligentsia, baada ya bandiko kama hili Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli watu wangefanya their homework well, with tharaly background check, they would have known the truth!, but wale jamaa zetu, yale ni manunga embe!, good for nothing!.

Na ili kuzuia such mistakes zisijirudie, nimeshauri let's employ modern technology of DNA Ili kuepuka possibility ya kutawaliwa na wageni, kuna haja kutumia DNA kuthibitisha asili halisi za viongozi wetu wakuu? ili makosa yale yasijirudie!.
Biteko, Bashungwa needs to be screened tharaly!.
P
 
Mkuu OKW BOBAN SUNZU, naunga mkono hoja, tungekuwa na good, real and true intelligentsia, baada ya bandiko kama hili Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli watu wangefanya their homework well, with tharaly background check, they would have known the truth!, but wale jamaa zetu, yale ni manunga embe!, good for nothing!.

Na ili kuzuia such mistakes zisijirudie, nimeshauri let's employ modern technology of DNA Ili kuepuka possibility ya kutawaliwa na wageni, kuna haja kutumia DNA kuthibitisha asili halisi za viongozi wetu wakuu? ili makosa yale yasijirudie!.
Biteko, Bashungwa needs to be screened tharaly!.
P
Hapo mwisho ulipotoa tahadhari kwa mawaziri usipafafanue. Acha ikae hivyo
 
Fanyeni mabadiliko ya katiba bunge liwe linafanya vetting na kuwathibitusha wateule.
Kama una bunge kama hilo la chama kimoja hapo Dodoma hata hiyo vetting yao haitakusaidia.
 
[emoji3588] Human beings ni mnyama kama wanyamapori wowote ila tuna kakitu kidogo kina tutofautisha lakini Kuna wakati tunafanana kabisa

[emoji3588] Huwezi kujua ni dakika ngapi mtu anabadilika au hakuna kipimo duniani Cha kupima mtu anaweza nini tofauti na kufuatilia mienendo ya mabadiliko ya tabia yake. Kwa mtu anayefamya kitu Cha gafla huwashtua watu " Hivi kweli ni Fulani kafanyaa? Siamini"

[emoji3588] Mamlaka zinafanya kazi yake ya kitaalamu ya venting tena kwa kufuatilia mienendo yake yote ya nyuma na kufaulu saafi kabisa lakini, huwezi kujua ni katika point gani tabia ya mtu itabadilika, ama kwa hasira ( provocation) ama kwa ulevi wowote uwe wa madaawa ,pombe au Madaraka ,au kurukwa na akili na kuibadilisha tabia yake au kuibua kitu kilicho ndani Sana kwake ambacho sio rahisi kukigundua kwa vetting.

[emoji3588] Ninamshukuru na kumpongeza Sana Mh. Raisi kwa kuchukua hatua za haraka za kuutengua uwaziri wake ili kumuondolea ministerial immunity na benefits kuviwezesha vyombo vya Dola kushugulikia kwa uhuru TUHUMA dhidi yake ambazo hazijathibitishwa na vilevile kuwa Raisi wa mfano wa kumuwadhibisha waziri ili kulinda image nzuri ya Baraza la mawaziri.

[emoji3588] Hapa Kuna mambo mengi ya kujifunza . Tukumbuke huyu alikuwa upinzani na kule alikuwa kama wenzake na sifa kedekede kuwa ni kamanda, na mkombozi mpaka alipotoka kwa vyeo hivyo. Amepata uongozi yametokea haya,, hizi bado ni tuhuma zinaweza kuthibitishwa au kubatilishwa pale ambapo atapewa haki ya kusikilizwa ( AUDI ALTERAM PARTEM) Lakini mfano ithibitishwe inatupa picha gani kwa Hawa wengine wanaotupigia kelele kuwa ni wakombozi wanasiasa na Wana harakati? Je! Walipata nafasi kumbe yaweza kutokea kama haya kumbe sio malaika

[emoji3588] Kwa upande mwingine unaweza kukuta katika hatua hizi za awali Sasa vyombo vya USALAMA vinaingiliwa na Wana harakati na wanasiasa kushinikiza nini Cha kufanya mtu anaweza kuwaza labda wale so called makamanda ,wakombozi wenzake wamefurahi kwa kuwa aliwatosa au kule alikoenda amechukuwa nafasi za wazawa waliokulia humo, au wanahatakati wamepata platform za kusukuma ajenda hayo ni mambo ya kuchukuliws kwa tahadhari katika hatua hizi

[emoji3588] Yote kwa yote tuachie uhuru vyombo vya Dola na vya kisheria vifanye kazi zao kwenye hili bila uoga au kupendelea pande zozote ili haki ya Kila mmoja ipatikane baada ya mchakato kukamilika. Tofauti na hapo tutakuwa tunahukumu kwa midomo au kutokuhakikisha haki ya kijana inapatikana kama kweli alitendewa jambo hilo la kikatili na la kinyama lakini kama ni tofauti na upande mwingine update haki yake
Ndugu, "venting" inayofanya mamlaka ni nini hiyo!!??
 
Back
Top Bottom