Mamlaka za Uteuzi wa Viongozi zinadhihirisha wazi kuna tatizo kwenye utaratibu wa "Vetting"

Kwenye suala la tumpe muda hapo mkuu natofautiana na wewe, Nchi haiongozwi kama Familia, ndio maana kuna OBR pale washauri kibao wanamwacha afanye makosa hadharani?
 
Tatizo ni connection na networking huku weledi,uadilifu ukiachwa kando kwa sababu ama za kimaslahi,kiitikadi ama ukabila ama uswahiba🤔
 
Kaka Pascal hoja yako ni nzito sana, inamaana Nzilankende alikuwa siyo Mtanzania plus hao uliowataja?

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Hata uwe na CV iliyoshiba pages 1000 lakini kama hauna connection sahau teuzi Mkuu.

Nape aliteuliwa Waziri akiwa hana hata Shahada ndiyo amepata kama sio mwaka jana basi mwaka juzi.

Kwahiyo hakuna Vetting inafanyika zaidi ya Connection tu
Na matokeo ya haya ni kuongozwa na ma-zuzu.
 
Kuna tatizo kubwa, kama tungekuwa serious na vetting hata huyu SSH asingepewa umakamu wa Rais in the first place, kikitokea cha kutokea anakuwa Rais. Pale angekuwa labda majaliwa.

Level yake ilibidi iishie kama naibu waziri wa kina mama, watoto na jinsia au kwenye NGO moja ya kuomba misaada na kuandaa makongamo, warsha, semina na kusafiri safiri duniani.
 
Tatizo siyo vetting
Tatizo ni teuzi za kufafijiana.

Baada ya kufariki yule simba wa yuda, mama aliamuakuwarejesha wale waliotemwana mfumo.

Ameanza kuona matokeo yake ndo anakumbuka shuka kumekucha.

Tatizo ni yeye SSH. Hata vetting ikiwa vizuri sijui kama anatiliab ushauri maanani.

Yeye anchagua na kutengua jinsi anavyojisikia na inategemea anaamkaje, au madhara yakishakuwa makubwa sana kama issue ya umeme, wizara ya nishati au issue ya DP world ndio anafanya maamuzi.
 
Hata uwe na CV iliyoshiba pages 1000 lakini kama hauna connection sahau teuzi Mkuu.

Nape aliteuliwa Waziri akiwa hana hata Shahada ndiyo amepata kama sio mwaka jana basi mwaka juzi.

Kwahiyo hakuna Vetting inafanyika zaidi ya Connection tu
Uko sahihi sana, maana hata hata hao wafanya vetting wanapatikana kwa connections!
 
Kile kijitabu kiitachwo katiba kinampa rais ruhusa ya kufuata ushauri au kutupilia mbali. Je unajua hao wafanya vetting wanapatikana vipi? Tatizo ni kubwa kuliko unavyofikiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…